Tetesi: Tanzania inalipwa mabilioni ya fedha toka nje ambazo zimefanywa siri na serikali hazina rekodi, tumenunulia ndege, na kujenga SGR na Stiegler nk

Tetesi: Tanzania inalipwa mabilioni ya fedha toka nje ambazo zimefanywa siri na serikali hazina rekodi, tumenunulia ndege, na kujenga SGR na Stiegler nk

Tetesi zlizopo ni kwamba serikali ya Tanzania imekuwa ikilipwa mabilioni ya fedha na kampuni za nje lakini fedha hizi zimefanywa siri bila kuingizwa katika kasri za serikali, na hivyo kuwa nje ya wigo wa ukaguzi wa serikali kutia na CAG. Hili ndilo simulizi lililopo.

Nitawawapa dondoo za mazungumzo yaliyofanyika.

"Asikudanganye mtu, suala la Tanzania kununua ndege kwa fedha za kodi na pia kujenga Stiegler na SGR, daraja la Salenda na hizo flyover na mabarabara na miradi mikubwa inayofanyika, sio kwamba ni fedha za kodi. Tanzania haina ubavu huo wa fedha za kodi kufanya miradi mikubwa kama hiyo. Mnadanganywa. Tanzania imekuwa ikilipwa mabilioni ya fedha ambayo zimefanywa siri, na uongozi wa nchi kutumia fedha hizo kama mtaji wa kisiasa".

Lakini je, fedha hizo zinatoka wapi, na kwa nini Tanzania ilipwe? Simulizi linaendelea.

"Fedha hizo ni fedha za Helium ya Tanzania. Katika nchi ambazo zimebarikiwa rasilimali asili Tanzania labda inaongoza. Kuanzia miaka ya 2010 dunia ilionekana kwamba inaishiwa gesi ya Helium ambayo imekuwa ikitengenezwa viwandani na kuuzwa kwa bei kubwa"

"Kuna nchi sita tu duniani zinazozalisha Helium kwa sasa, na viwanda 14 duniani. Karibu nusu ya hii gesi inatoka USA. na theruthi moja inatoka Qatar. Sasa viwanda vyote hivi 14 vilivyopo duniani, vinazalisha Helium kutokana na natural gas. Tanzania ni nchi pekee duniani ambayo Helium imepetikana ardhini kwa wingi sana na ndio maana sasa iko katika nafasi ya kuongoza soko la Helium duniani".

"Hii gesi inapopatikana ardhini inakuwa na concentration ya wastani wa 2% na hivyo kufanya bei yake kuwa juu sana kwa kuchimba, na ndio maana inazalishwa viwandani. Sasa jambo moja la ajabu lilitokea. Mwaka 2015 wataalamu waligundua hii gesi Tanzania ikiwa inapatikana kwa kiwango cha juu sana, kati ya 5-15%. Hii ilifanya Tanzania kuwa nchi pekee ambayo ina Helium ardhini ambayo inaweza kuchimbwa na kuzalishwa kwa gharama ya chini kuliko inavyozalishwa na viwanda hivi 14 katika nchi 6 duniani. Na matokeo ni kwamba Tanzania ikajikuta katika nafasi ya kuongeongoza soko la Helium duniani, kama ambavyo Saudi Arabia inaongoza soko la mafuta duniani."

"Kwa sasa kuna upungufu mkubwa wa Helium. Kufuatia upungufu wa hii gesi, Marekani hata walianza kuweka hifadhi kubwa ya gesi hii kwa ajili ya matumizi ya baadae. Upungufu wa hii gesi umefanya bei yake uongezeka kwa zaidi ya asilimia 135% kwa mwaka mmoja tu!"

"Hii gesi ya Helium ni muhimu sana na itaipaisha Tanzania kiuchumi kuliko hata kama ingekuwa na mafuta. Matumizi ya hii gesi ni pamoja na kwenye mambo kama welding na hata utaalamu wa space (kwa kiingereza uses of Helium gas: are arc welding, chromatography, medical lasers, optical fiber, intercontinental ballistic missiles, space travel, etc)"

"Lakini sasa kukawa na tatizo. Ikiwa Tanzania ingeruhusiwa kuchimba hii Helium na kuuza, basi ingeuza kwa bei poa kiasi kwamba ingeua kabisa uzalishaji wa hivi viwanda 14, USA akiwa mzalishaji mkubwa. Basi inaonekana kulikuwa na makubaliano kwamba Tanzania icheleweshe uzalishaji wa Helium hadi wakati unaokubalika. Lakini kwa kufanya hivyo, lazima kulikuwa na makubaliano kwamba Tanzaia ilipwe fedha nyingi kama "compensation" ya kuzuia uzalishaji wa Helium ili kunusuru kampuni zinazouza Helium kwa sasa. Hiyo ndiyo fedha inayofanya miradi yenu ambayo wanasiasa wenu wanawaambia eti ni kodi za wananchi ili kuji-promote kisiasa. Habari ya ugunduzi wa Heluim Tanzania na umuhimu wa hii gesi katika soko la dunia, ilipaswa kuwa kubwa kuliko kama Tanzania ingegundua mafuta. Sasa jiulize, kwa nini wanasiasa wenu wamekaa kimya kuhusu huu ugunduzi mkubwa uliofanyika Tanzania? Tanzania ni nchi pekee duniani unapata Helium ardhini na utatawala soko la dunia kama ilivyo kwa Tanzanite, na mnakaa kimya, kwa nini?"

NB: Kwa wale mnaochangia mada hii bila kufikirisha sana ubongo wenu, jiulizeni jambo hili: Je implications za Tanzania kuwa nchi pekee duniani yenye Helium inayopatikana ardhini kwa wingi, ambayo inaweza kuua soko la nchi 6 pekee duniani zinazozalisha Helium kwa sasa, huku Marekani ikiwa imeshikilia zaidi ya asilimia 50% ya soko hilo, ni nini? Jiulizeni pia kwa nini serikali yetu imekaa kimya sana kuhusu huu ugunduzi wa Helium nchini ambayo itatatuweka karibu sawa kimapato na nchi zinazozalisha mafuta?

Pia tafakarini sana kile Bloomberg wamesema kuhusu ugunduzi wa Helium Tanzania, "With such extreme sensitivity in this market, a big new helium source could, just maybe, transform a whole country’s economy. A country such as, say, Tanzania".


Reference: In Photos: Massive Underground Helium Reserve Found in Tanzania
Reference: That huge helium deposit under Tanzania is even bigger than we thought
Reference: Tanzania could become top helium producer - African Business Magazine

Taarifa ya Bloomberg Businessweek juu ya Helium ya Tanzania
2019-08-28


Helium is produced on Earth by the natural radioactive decay of uranium and thorium, which are present in all rocks. But that process takes a long time—as in billions of years—so you’d need some seriously old stones. And because such old rocks don’t have a lot of gas-trapping formations, you’d need some geologic activity to break them apart and form fractures through which the helium could escape. Then you’d need heat to push the helium up through the fractures, and sedimentary formation at the surface to store it in traps between the layers of sediment, as in a reservoir.

Ballentine and colleague Diveena Danabalan identified Tanzania as one place with this kind of interplay at work. Ancient rocks formed in the African tectonic plate about 2 billion years ago, making them sufficiently old for radioactive decay to produce a lot of helium. Thirty million years ago, the plate began to pull apart, forming the Great Rift Valley, which reaches 1,700 miles from southern Tanzania up to Eritrea and the Red Sea. That process created fractures that allow magma to escape; the magma would provide the heat necessary to force the helium upward. Meanwhile, at the surface, sediments were deposited, providing the reservoirs where helium could be found. “That combination of factors makes possible helium accumulation at the surface,” says Emmanuel Kazimoto, a geology lecturer at the University of Dar es Salaam.

Among the key uses for helium today are arc welding, chromatography, medical lasers, optical fiber, intercontinental ballistic missiles, and space travel. The Large Hadron Collider, the particle accelerator outside Geneva wrestling with the biggest questions of physics, needs 120 metric tons of helium a week to keep running. Helium can make things superconductive, meaning they can transmit electricity basically forever without generating any heat, and other helium properties make the element essential for semiconductor manufacturing. Every MRI machine in the world bathes its magnetic coils in liquid helium to prevent overheating.

Like the price of lithium, the price of helium is one of the more opaque among commodities, but reports said it jumped 135% from the previous year. With such extreme sensitivity in this market, a big new helium source could, just maybe, transform a whole country’s economy. A country such as, say, Tanzania.

Kuna sehemu yoyote ambayo inaonyesha helium imeshaanza kuchimbwa? Ninachoelewa hakuna kitu kama hicho
 
Kuna sehemu yoyote ambayo inaonyesha helium imeshaanza kuchimbwa? Ninachoelewa hakuna kitu kama hicho
Hakuna sehemu duniani Helium inachimbwa, Tanzania itakuwa ya kwanza. Hadi sasa Helium inazalishwa na nchi sita tu duniani, kwa kutumia natural gas, njia ambayo ina gharama kubwa kuliko kuchimba ardhini. Tanzania ni nchi pekee duniani ambayo ina Helium ardhini kwa kiwango kinachoweza kuchimbwa.
 
Tetesi zlizopo ni kwamba serikali ya Tanzania imekuwa ikilipwa mabilioni ya fedha na kampuni za nje lakini fedha hizi zimefanywa siri bila kuingizwa katika kasri za serikali, na hivyo kuwa nje ya wigo wa ukaguzi wa serikali kutia na CAG. Hili ndilo simulizi lililopo.

Nitawawapa dondoo za mazungumzo yaliyofanyika.

"Asikudanganye mtu, suala la Tanzania kununua ndege kwa fedha za kodi na pia kujenga Stiegler na SGR, daraja la Salenda na hizo flyover na mabarabara na miradi mikubwa inayofanyika, sio kwamba ni fedha za kodi. Tanzania haina ubavu huo wa fedha za kodi kufanya miradi mikubwa kama hiyo. Mnadanganywa. Tanzania imekuwa ikilipwa mabilioni ya fedha ambayo zimefanywa siri, na uongozi wa nchi kutumia fedha hizo kama mtaji wa kisiasa".

Lakini je, fedha hizo zinatoka wapi, na kwa nini Tanzania ilipwe? Simulizi linaendelea.

"Fedha hizo ni fedha za Helium ya Tanzania. Katika nchi ambazo zimebarikiwa rasilimali asili Tanzania labda inaongoza. Kuanzia miaka ya 2010 dunia ilionekana kwamba inaishiwa gesi ya Helium ambayo imekuwa ikitengenezwa viwandani na kuuzwa kwa bei kubwa"

"Kuna nchi sita tu duniani zinazozalisha Helium kwa sasa, na viwanda 14 duniani. Karibu nusu ya hii gesi inatoka USA. na theruthi moja inatoka Qatar. Sasa viwanda vyote hivi 14 vilivyopo duniani, vinazalisha Helium kutokana na natural gas. Tanzania ni nchi pekee duniani ambayo Helium imepetikana ardhini kwa wingi sana na ndio maana sasa iko katika nafasi ya kuongoza soko la Helium duniani".

"Hii gesi inapopatikana ardhini inakuwa na concentration ya wastani wa 2% na hivyo kufanya bei yake kuwa juu sana kwa kuchimba, na ndio maana inazalishwa viwandani. Sasa jambo moja la ajabu lilitokea. Mwaka 2015 wataalamu waligundua hii gesi Tanzania ikiwa inapatikana kwa kiwango cha juu sana, kati ya 5-15%. Hii ilifanya Tanzania kuwa nchi pekee ambayo ina Helium ardhini ambayo inaweza kuchimbwa na kuzalishwa kwa gharama ya chini kuliko inavyozalishwa na viwanda hivi 14 katika nchi 6 duniani. Na matokeo ni kwamba Tanzania ikajikuta katika nafasi ya kuongeongoza soko la Helium duniani, kama ambavyo Saudi Arabia inaongoza soko la mafuta duniani."

"Kwa sasa kuna upungufu mkubwa wa Helium. Kufuatia upungufu wa hii gesi, Marekani hata walianza kuweka hifadhi kubwa ya gesi hii kwa ajili ya matumizi ya baadae. Upungufu wa hii gesi umefanya bei yake uongezeka kwa zaidi ya asilimia 135% kwa mwaka mmoja tu!"

"Hii gesi ya Helium ni muhimu sana na itaipaisha Tanzania kiuchumi kuliko hata kama ingekuwa na mafuta. Matumizi ya hii gesi ni pamoja na kwenye mambo kama welding na hata utaalamu wa space (kwa kiingereza uses of Helium gas: are arc welding, chromatography, medical lasers, optical fiber, intercontinental ballistic missiles, space travel, etc)"

"Lakini sasa kukawa na tatizo. Ikiwa Tanzania ingeruhusiwa kuchimba hii Helium na kuuza, basi ingeuza kwa bei poa kiasi kwamba ingeua kabisa uzalishaji wa hivi viwanda 14, USA akiwa mzalishaji mkubwa. Basi inaonekana kulikuwa na makubaliano kwamba Tanzania icheleweshe uzalishaji wa Helium hadi wakati unaokubalika. Lakini kwa kufanya hivyo, lazima kulikuwa na makubaliano kwamba Tanzaia ilipwe fedha nyingi kama "compensation" ya kuzuia uzalishaji wa Helium ili kunusuru kampuni zinazouza Helium kwa sasa. Hiyo ndiyo fedha inayofanya miradi yenu ambayo wanasiasa wenu wanawaambia eti ni kodi za wananchi ili kuji-promote kisiasa. Habari ya ugunduzi wa Heluim Tanzania na umuhimu wa hii gesi katika soko la dunia, ilipaswa kuwa kubwa kuliko kama Tanzania ingegundua mafuta. Sasa jiulize, kwa nini wanasiasa wenu wamekaa kimya kuhusu huu ugunduzi mkubwa uliofanyika Tanzania? Tanzania ni nchi pekee duniani unapata Helium ardhini na utatawala soko la dunia kama ilivyo kwa Tanzanite, na mnakaa kimya, kwa nini?"

NB: Kwa wale mnaochangia mada hii bila kufikirisha sana ubongo wenu, jiulizeni jambo hili: Je implications za Tanzania kuwa nchi pekee duniani yenye Helium inayopatikana ardhini kwa wingi, ambayo inaweza kuua soko la nchi 6 pekee duniani zinazozalisha Helium kwa sasa, huku Marekani ikiwa imeshikilia zaidi ya asilimia 50% ya soko hilo, ni nini? Jiulizeni pia kwa nini serikali yetu imekaa kimya sana kuhusu huu ugunduzi wa Helium nchini ambayo itatatuweka karibu sawa kimapato na nchi zinazozalisha mafuta?

Pia tafakarini sana kile Bloomberg wamesema kuhusu ugunduzi wa Helium Tanzania, "With such extreme sensitivity in this market, a big new helium source could, just maybe, transform a whole country’s economy. A country such as, say, Tanzania".


Reference: In Photos: Massive Underground Helium Reserve Found in Tanzania
Reference: That huge helium deposit under Tanzania is even bigger than we thought
Reference: Tanzania could become top helium producer - African Business Magazine

Taarifa ya Bloomberg Businessweek juu ya Helium ya Tanzania
2019-08-28


Helium is produced on Earth by the natural radioactive decay of uranium and thorium, which are present in all rocks. But that process takes a long time—as in billions of years—so you’d need some seriously old stones. And because such old rocks don’t have a lot of gas-trapping formations, you’d need some geologic activity to break them apart and form fractures through which the helium could escape. Then you’d need heat to push the helium up through the fractures, and sedimentary formation at the surface to store it in traps between the layers of sediment, as in a reservoir.

Ballentine and colleague Diveena Danabalan identified Tanzania as one place with this kind of interplay at work. Ancient rocks formed in the African tectonic plate about 2 billion years ago, making them sufficiently old for radioactive decay to produce a lot of helium. Thirty million years ago, the plate began to pull apart, forming the Great Rift Valley, which reaches 1,700 miles from southern Tanzania up to Eritrea and the Red Sea. That process created fractures that allow magma to escape; the magma would provide the heat necessary to force the helium upward. Meanwhile, at the surface, sediments were deposited, providing the reservoirs where helium could be found. “That combination of factors makes possible helium accumulation at the surface,” says Emmanuel Kazimoto, a geology lecturer at the University of Dar es Salaam.

Among the key uses for helium today are arc welding, chromatography, medical lasers, optical fiber, intercontinental ballistic missiles, and space travel. The Large Hadron Collider, the particle accelerator outside Geneva wrestling with the biggest questions of physics, needs 120 metric tons of helium a week to keep running. Helium can make things superconductive, meaning they can transmit electricity basically forever without generating any heat, and other helium properties make the element essential for semiconductor manufacturing. Every MRI machine in the world bathes its magnetic coils in liquid helium to prevent overheating.

Like the price of lithium, the price of helium is one of the more opaque among commodities, but reports said it jumped 135% from the previous year. With such extreme sensitivity in this market, a big new helium source could, just maybe, transform a whole country’s economy. A country such as, say, Tanzania.

Kaka Riwaya hii. Habari haina Ukweli

1. Fedha zote za Umma lazima ziingie mfuko Mkuu Hazina. Ni LAZIMA. Huwezi kununua ndege etc bila ya Fedha kutoka Hazina. Kuwa nchi inapokea Fedha kutoka nje haiwezekani hata Kidogo. Mfumo wa Fedha wa Dunia lazima ungeshanasa maana Fedha zalipwa kaa Benki. Makampuni ya Ujenzi kama Reli ya SGR yanalia hayalipwi. Hakuna Fedha. Uliza suppliers wa SGR watakwambia.

2. helium ina mgogoro mkubwa kati ya kampuni ya HeliumOne na kampuni ya Heritage. Hakuna linaloweza kufanyika kwa sasa kwenye Helium.Pia potential ya Tanzania ya Helium ni kuingiza kama $200m kwa mwaka kama exports na sio kodi za Serikali.

so hii ni hadithi. Fiction
 
Kaka Riwaya hii. Habari haina Ukweli

1. Fedha zote za Umma lazima ziingie mfuko Mkuu Hazina. Ni LAZIMA. Huwezi kununua ndege etc bila ya Fedha kutoka Hazina. Kuwa nchi inapokea Fedha kutoka nje haiwezekani hata Kidogo. Mfumo wa Fedha wa Dunia lazima ungeshanasa maana Fedha zalipwa kaa Benki. Makampuni ya Ujenzi kama Reli ya SGR yanalia hayalipwi. Hakuna Fedha. Uliza suppliers wa SGR watakwambia.

2. helium ina mgogoro mkubwa kati ya kampuni ya HeliumOne na kampuni ya Heritage. Hakuna linaloweza kufanyika kwa sasa kwenye Helium.Pia potential ya Tanzania ya Helium ni kuingiza kama $200m kwa mwaka kama exports na sio kodi za Serikali.

so hii ni hadithi. Fiction
Shukurani sana Zitto! Hizi ndizo point zinazotakiwa kwenye habari inayotolewa kama tetesi ili kubainisha ukweli!
 
Vipi upande wa madini napo unamaoni gani?

Maana kumekuwa na kauli kuwa tuyaache chini wakati utafika tutayatumia.

Sent using Jamii Forums mobile app
hizo porojo .Teknolojia zikibamdilika tunaweza kuja kulia. mfano mmadini ya ulanga yalikuwa hot cake kwa kutengenezea vioo vya madirisha na vioo vya magari leo hii ulanga ni takataka tu

tuna chuma liganga hatuchimbi tunakaa tukiota kuwa soko litabaki hivyo milele .Watu wanagundua teknolojia mpya kila siku iko siku tutalia kwa ujnga wa kutokuwahi
 
Hakuna sehemu duniani Helium inachimbwa, Tanzania itakuwa ya kwanza. Hadi sasa Helium inazalishwa na nchi sita tu duniani, kwa kutumia natural gas, njia ambayo ina gharama kubwa kuliko kuchimba ardhini. Tanzania ni nchi pekee duniani ambayo ina Helium ardhini kwa kiwango kinachoweza kuchimbwa.

Mkuu everything, including Helium gas project was put on hold. How could someone with no on going project pays you? Is that the way white boys gamble?
I don't think so. At least with the information I have, hata helium project nao wanahangaika kwenye corridor za wizara waanze kuichimba hiyo gas.
 
Sasa kati ya Waziri wa Fedha na hao walipaji nani muongo??? Maana trunaambiwa tumekopa trillions
 

BY the way, hili suala la deposit ya Helium Tanzania na revenue ya Helium One ya wastani wa $200m kwa mwaka limeangaliwa kwa undani kweli? Ninavyoelewa, chanzo kikubwa cha Helium cha sasa, USA, karibu kinakuwa depleted. Hebu angalia hii article ya BBC;

Helium shortage: 'Prices just keep going up and up'
By Katie Hope Business reporter, BBC News
17 September 2019

"Prices just keep going up and up," says Steve Durnford, director of family business Balloons of London.

The store, which sells party balloons to both individuals and firms, is a victim of a global shortage in helium that has seen prices for the gas surge.

Mr Durnford says the cost of the helium he buys has risen three times this year, between 8% and 10% each time.

It's not just celebrations suffering. The gas is also essential in medicine, electronics and deep-sea diving.

For example, it's crucial in the magnetic resonance imaging (MRI) scans that doctors use to get detailed images from inside patients.

It's also important in deep sea diving and in scientific research, as well as for the production of computer chips and liquid crystal displays such as TV screens.

There's no central wholesale price for the gas, because it is not traded on global markets.

Phil Kornbluth, the founder of Kornbluth Helium Consulting, which advises clients on commercial aspects of the global helium business, says the "price has gone up an awful lot in a short space of time".

"There's no magic number. The price of helium varies quite a bit around the world, depending on where you are in the supply chain and whether you're buying at source and how you're buying it as a liquid or as a gas, for example," he says.

"But it's safe to say the price has gone up 50% to 100%, depending on who you are and where you are in the supply chain."

Mr Kornbluth says the catalyst for the latest rise in price was a US government auction of crude helium in August last year.

The national helium reserve is now one of the biggest suppliers of helium. It was originally set up as a strategic store for supplying gas to US airships, but has auctioned its supplies annually to private industry since 2013. However, this was the last such auction until 2021.

At the auction, the average price for crude helium rose a whopping 135% year-on-year as industrial users acted to boost stocks for future years.

"It wasn't very difficult for major suppliers to pass this increase on to their customers, so it did affect worldwide pricing," says Mr Kornbluth.

What is helium and what is it used for?
  • Helium is an inert gas, which means that it does not react with other substances. It has the lowest boiling point of any element at -269C and a low density, which is why it is used to make items float
  • It is used in the space industry to keep satellite instruments cool and clean out rocket engines. It was also used to cool the liquid oxygen and hydrogen that powered the Apollo space vehicles
  • Helium is used as a cooling medium for the Large Hadron Collider (LHC) and the superconducting magnets in medical MRI scanners
  • Helium is often used to fill party balloons, weather balloons and airships because of its low density
  • A mixture of 80% helium and 20% oxygen is used by deep-sea divers and others working under pressurised conditions
A single auction can have so much influence over pricing because there are very few helium suppliers.

The gas, which is formed by the decay of radioactive rocks in the earth's crust, accumulates in natural gas deposits and is collected as a by-product of the gas industry.

Separating the helium from the natural gas and storing the helium is expensive, time-consuming and difficult and therefore relatively rare.

One of the UK's biggest helium suppliers, BOC warns on its website that orders may be restricted because of the current shortage.

"Due to a global helium shortage, all pure helium and balloon gas orders are currently on a full-for-empty basis only and are being fairly allocated to all our customers," it says.

New supplies
Mr Kornbluth says the current shortage should ease from next year, with new supplies then expected to come into the market from Algeria and Qatar, and subsequently from Russia in 2021.

But David Cole-Hamilton, emeritus professor of chemistry at the University of St Andrews, says given helium's importance in medical fields, its use for balloons should be banned.

He estimates that about 10% of the overall supply of helium is used for balloons, something he says is "absurd" given its supply is so limited.

"If you said to people, do you want a helium balloon or an MRI scan for your daughter, it's an obvious choice," he says.

But Mr Durnford says people will continue to buy them for special occasions. "People are only 30, 40 or 50 once. If they want it, they will have it," he says.
 
Mkuu everything, including Helium gas project was put on hold. How could someone with no on going project pays you? Is that the way white boys gamble?
I don't think so. At least with the information I have, hata helium project nao wanahangaika kwenye corridor za wizara waanze kuichimba hiyo gas.
Good point. But the question then is, why was Helium production in the country put on hold, while government is in such dire need of forex? Was it pressure from the US government?

Would our government reveal to Helium One the actual reasons why they are told to put Helium production on hold? I recall Helium One said they were ready to start production in 2020.
 
Good point. But the question then is, why was Helium production in the country put on hold, while government is in such dire need of forex? Was it pressure from the US government?

Would our government reveal to Helium One the actual reasons why they are told to put Helium production on hold? I recall Helium One said they were ready to start production in 2020.

Mining and extraction industries were all subjected to scrutiny after the Barrick/Acacia issue. The government wanted everything to be reviewed to ensure the country gets the benefits.
Slowly, things have started showing a life again. And the changes have made every player aware of the need to play by the rules of the game that exist.
Ni ngumu sana kuchimba Helium kinyemela. Sababu hata infrastructure bado hawajaiweka sawa
 
Kaka Riwaya hii. Habari haina Ukweli

1. Fedha zote za Umma lazima ziingie mfuko Mkuu Hazina. Ni LAZIMA. Huwezi kununua ndege etc bila ya Fedha kutoka Hazina. Kuwa nchi inapokea Fedha kutoka nje haiwezekani hata Kidogo. Mfumo wa Fedha wa Dunia lazima ungeshanasa maana Fedha zalipwa kaa Benki. Makampuni ya Ujenzi kama Reli ya SGR yanalia hayalipwi. Hakuna Fedha. Uliza suppliers wa SGR watakwambia.

2. helium ina mgogoro mkubwa kati ya kampuni ya HeliumOne na kampuni ya Heritage. Hakuna linaloweza kufanyika kwa sasa kwenye Helium.Pia potential ya Tanzania ya Helium ni kuingiza kama $200m kwa mwaka kama exports na sio kodi za Serikali.

so hii ni hadithi. Fictional
Mh zitto my hero we ndio sababu ya Mimi kusoma uchumi,nilikuwa napenda sana anavyo chambua na kutoa hoja zako bungeni 2008-2010.wewe ndio role model wangu ipo siku nitakutafuta.
 
BY the way, hili suala la deposit ya Helium Tanzania na revenue ya Helium One ya wastani wa $200m kwa mwaka limeangaliwa kwa undani kweli? Ninavyoelewa, chanzo kikubwa cha Helium cha sasa, USA, karibu kinakuwa depleted. Hebu angalia hii article ya BBC;

Helium shortage: 'Prices just keep going up and up'
By Katie Hope Business reporter, BBC News
17 September 2019

"Prices just keep going up and up," says Steve Durnford, director of family business Balloons of London.

The store, which sells party balloons to both individuals and firms, is a victim of a global shortage in helium that has seen prices for the gas surge.

Mr Durnford says the cost of the helium he buys has risen three times this year, between 8% and 10% each time.

It's not just celebrations suffering. The gas is also essential in medicine, electronics and deep-sea diving.

For example, it's crucial in the magnetic resonance imaging (MRI) scans that doctors use to get detailed images from inside patients.

It's also important in deep sea diving and in scientific research, as well as for the production of computer chips and liquid crystal displays such as TV screens.

There's no central wholesale price for the gas, because it is not traded on global markets.

Phil Kornbluth, the founder of Kornbluth Helium Consulting, which advises clients on commercial aspects of the global helium business, says the "price has gone up an awful lot in a short space of time".

"There's no magic number. The price of helium varies quite a bit around the world, depending on where you are in the supply chain and whether you're buying at source and how you're buying it as a liquid or as a gas, for example," he says.

"But it's safe to say the price has gone up 50% to 100%, depending on who you are and where you are in the supply chain."

Mr Kornbluth says the catalyst for the latest rise in price was a US government auction of crude helium in August last year.

The national helium reserve is now one of the biggest suppliers of helium. It was originally set up as a strategic store for supplying gas to US airships, but has auctioned its supplies annually to private industry since 2013. However, this was the last such auction until 2021.

At the auction, the average price for crude helium rose a whopping 135% year-on-year as industrial users acted to boost stocks for future years.

"It wasn't very difficult for major suppliers to pass this increase on to their customers, so it did affect worldwide pricing," says Mr Kornbluth.

What is helium and what is it used for?
  • Helium is an inert gas, which means that it does not react with other substances. It has the lowest boiling point of any element at -269C and a low density, which is why it is used to make items float
  • It is used in the space industry to keep satellite instruments cool and clean out rocket engines. It was also used to cool the liquid oxygen and hydrogen that powered the Apollo space vehicles
  • Helium is used as a cooling medium for the Large Hadron Collider (LHC) and the superconducting magnets in medical MRI scanners
  • Helium is often used to fill party balloons, weather balloons and airships because of its low density
  • A mixture of 80% helium and 20% oxygen is used by deep-sea divers and others working under pressurised conditions
A single auction can have so much influence over pricing because there are very few helium suppliers.

The gas, which is formed by the decay of radioactive rocks in the earth's crust, accumulates in natural gas deposits and is collected as a by-product of the gas industry.

Separating the helium from the natural gas and storing the helium is expensive, time-consuming and difficult and therefore relatively rare.

One of the UK's biggest helium suppliers, BOC warns on its website that orders may be restricted because of the current shortage.

"Due to a global helium shortage, all pure helium and balloon gas orders are currently on a full-for-empty basis only and are being fairly allocated to all our customers," it says.

New supplies
Mr Kornbluth says the current shortage should ease from next year, with new supplies then expected to come into the market from Algeria and Qatar, and subsequently from Russia in 2021.

But David Cole-Hamilton, emeritus professor of chemistry at the University of St Andrews, says given helium's importance in medical fields, its use for balloons should be banned.

He estimates that about 10% of the overall supply of helium is used for balloons, something he says is "absurd" given its supply is so limited.

"If you said to people, do you want a helium balloon or an MRI scan for your daughter, it's an obvious choice," he says.

But Mr Durnford says people will continue to buy them for special occasions. "People are only 30, 40 or 50 once. If they want it, they will have it," he says.
Tatizo kubwa katika nchi yetu ni usiri mkubwa ambao unatamalaki katika mikataba nyeti ya madini, mafuta (kama yatakuwepo) na gesi asilia Ndio maana jambo hili hupelekea hisia tofauti kwa wadadisi na wafukunyuku wa mambo.

Historia inathibitisha kusa viongozi wetu licha ya kuonyesha kukosa umakini wa kuingia ktk mikataba ya miradi husika, pia hujikuta wakibanwa na masharti ya kimkataba na kuishia kuwalaumu hao inaowaita kuwa mabeberu. Ni vyema jopo la wataalamu wazalendo na pia waliibobea katika masuala ya madini, mafuta na gesi asili wangaliandaliwa mazingira rafiki na endelevu kwenda kujifunza ktk nchi nyingine hasa za Afrika, ambazo imethibika hunufaika kwa tija kimikataba kupitia rasilimali kama hizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hizo porojo .Teknolojia zikibamdilika tunaweza kuja kulia. mfano mmadini ya ulanga yalikuwa hot cake kwa kutengenezea vioo vya madirisha na vioo vya magari leo hii ulanga ni takataka tu

tuna chuma liganga hatuchimbi tunakaa tukiota kuwa soko litabaki hivyo milele .Watu wanagundua teknolojia mpya kila siku iko siku tutalia kwa ujnga wa kutokuwahi
Shida mabeberu ni wanyonyaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tetesi zlizopo ni kwamba serikali ya Tanzania imekuwa ikilipwa mabilioni ya fedha na kampuni za nje lakini fedha hizi zimefanywa siri bila kuingizwa katika kasri za serikali, na hivyo kuwa nje ya wigo wa ukaguzi wa serikali kutia na CAG. Hili ndilo simulizi lililopo.

Nitawawapa dondoo za mazungumzo yaliyofanyika.

"Asikudanganye mtu, suala la Tanzania kununua ndege kwa fedha za kodi na pia kujenga Stiegler na SGR, daraja la Salenda na hizo flyover na mabarabara na miradi mikubwa inayofanyika, sio kwamba ni fedha za kodi. Tanzania haina ubavu huo wa fedha za kodi kufanya miradi mikubwa kama hiyo. Mnadanganywa. Tanzania imekuwa ikilipwa mabilioni ya fedha ambayo zimefanywa siri, na uongozi wa nchi kutumia fedha hizo kama mtaji wa kisiasa".

Lakini je, fedha hizo zinatoka wapi, na kwa nini Tanzania ilipwe? Simulizi linaendelea.

"Fedha hizo ni fedha za Helium ya Tanzania. Katika nchi ambazo zimebarikiwa rasilimali asili Tanzania labda inaongoza. Kuanzia miaka ya 2010 dunia ilionekana kwamba inaishiwa gesi ya Helium ambayo imekuwa ikitengenezwa viwandani na kuuzwa kwa bei kubwa"

"Kuna nchi sita tu duniani zinazozalisha Helium kwa sasa, na viwanda 14 duniani. Karibu nusu ya hii gesi inatoka USA. na theruthi moja inatoka Qatar. Sasa viwanda vyote hivi 14 vilivyopo duniani, vinazalisha Helium kutokana na natural gas. Tanzania ni nchi pekee duniani ambayo Helium imepetikana ardhini kwa wingi sana na ndio maana sasa iko katika nafasi ya kuongoza soko la Helium duniani".

"Hii gesi inapopatikana ardhini inakuwa na concentration ya wastani wa 2% na hivyo kufanya bei yake kuwa juu sana kwa kuchimba, na ndio maana inazalishwa viwandani. Sasa jambo moja la ajabu lilitokea. Mwaka 2015 wataalamu waligundua hii gesi Tanzania ikiwa inapatikana kwa kiwango cha juu sana, kati ya 5-15%. Hii ilifanya Tanzania kuwa nchi pekee ambayo ina Helium ardhini ambayo inaweza kuchimbwa na kuzalishwa kwa gharama ya chini kuliko inavyozalishwa na viwanda hivi 14 katika nchi 6 duniani. Na matokeo ni kwamba Tanzania ikajikuta katika nafasi ya kuongeongoza soko la Helium duniani, kama ambavyo Saudi Arabia inaongoza soko la mafuta duniani."

"Kwa sasa kuna upungufu mkubwa wa Helium. Kufuatia upungufu wa hii gesi, Marekani hata walianza kuweka hifadhi kubwa ya gesi hii kwa ajili ya matumizi ya baadae. Upungufu wa hii gesi umefanya bei yake uongezeka kwa zaidi ya asilimia 135% kwa mwaka mmoja tu!"

"Hii gesi ya Helium ni muhimu sana na itaipaisha Tanzania kiuchumi kuliko hata kama ingekuwa na mafuta. Matumizi ya hii gesi ni pamoja na kwenye mambo kama welding na hata utaalamu wa space (kwa kiingereza uses of Helium gas: are arc welding, chromatography, medical lasers, optical fiber, intercontinental ballistic missiles, space travel, etc)"

"Lakini sasa kukawa na tatizo. Ikiwa Tanzania ingeruhusiwa kuchimba hii Helium na kuuza, basi ingeuza kwa bei poa kiasi kwamba ingeua kabisa uzalishaji wa hivi viwanda 14, USA akiwa mzalishaji mkubwa. Basi inaonekana kulikuwa na makubaliano kwamba Tanzania icheleweshe uzalishaji wa Helium hadi wakati unaokubalika. Lakini kwa kufanya hivyo, lazima kulikuwa na makubaliano kwamba Tanzaia ilipwe fedha nyingi kama "compensation" ya kuzuia uzalishaji wa Helium ili kunusuru kampuni zinazouza Helium kwa sasa. Hiyo ndiyo fedha inayofanya miradi yenu ambayo wanasiasa wenu wanawaambia eti ni kodi za wananchi ili kuji-promote kisiasa. Habari ya ugunduzi wa Heluim Tanzania na umuhimu wa hii gesi katika soko la dunia, ilipaswa kuwa kubwa kuliko kama Tanzania ingegundua mafuta. Sasa jiulize, kwa nini wanasiasa wenu wamekaa kimya kuhusu huu ugunduzi mkubwa uliofanyika Tanzania? Tanzania ni nchi pekee duniani unapata Helium ardhini na utatawala soko la dunia kama ilivyo kwa Tanzanite, na mnakaa kimya, kwa nini?"

NB: Kwa wale mnaochangia mada hii bila kufikirisha sana ubongo wenu, jiulizeni jambo hili: Je implications za Tanzania kuwa nchi pekee duniani yenye Helium inayopatikana ardhini kwa wingi, ambayo inaweza kuua soko la nchi 6 pekee duniani zinazozalisha Helium kwa sasa, huku Marekani ikiwa imeshikilia zaidi ya asilimia 50% ya soko hilo, ni nini? Jiulizeni pia kwa nini serikali yetu imekaa kimya sana kuhusu huu ugunduzi wa Helium nchini ambayo itatatuweka karibu sawa kimapato na nchi zinazozalisha mafuta?

Pia tafakarini sana kile Bloomberg wamesema kuhusu ugunduzi wa Helium Tanzania, "With such extreme sensitivity in this market, a big new helium source could, just maybe, transform a whole country’s economy. A country such as, say, Tanzania".

Mwisho tafakarini sana matumizi ya Helium, kutia ndani matumizi yake katika makombora ya masafa marefu (intercontinental ballistic missiles), space travel, chromatography, medical lasers, optical fiber nk


Reference: In Photos: Massive Underground Helium Reserve Found in Tanzania
Reference: That huge helium deposit under Tanzania is even bigger than we thought
Reference: Tanzania could become top helium producer - African Business Magazine

Taarifa ya Bloomberg Businessweek juu ya Helium ya Tanzania
2019-08-28


Among the key uses for helium today are arc welding, chromatography, medical lasers, optical fiber, intercontinental ballistic missiles, and space travel. The Large Hadron Collider, the particle accelerator outside Geneva wrestling with the biggest questions of physics, needs 120 metric tons of helium a week to keep running. Helium can make things superconductive, meaning they can transmit electricity basically forever without generating any heat, and other helium properties make the element essential for semiconductor manufacturing. Every MRI machine in the world bathes its magnetic coils in liquid helium to prevent overheating.

Like the price of lithium, the price of helium is one of the more opaque among commodities, but reports said it jumped 135% from the previous year. With such extreme sensitivity in this market, a big new helium source could, just maybe, transform a whole country’s economy. A country such as, say, Tanzania.

Helium prices

Current price: $37.50 per 1000 cubic feet
View attachment 1331611
NA HILI DENI LA TRILIONI 60 LNATOKA WAPI KAMA SIO MIKOPO?
 
Mkuu angalia mbali zaidi ya hapo. Tunalipwa fedha ambayo haiingii kwenye rekodi za serikali ili serikali iliyopo madarakani iseme sisi tuna tumia kodi za wananchi vizuri na kujipa kiki ya kisiasa kuwa wamefanya miradi mikubwa tofauti na viongozi waliopita?

You are very cheap. Kwako Bora Siasa kuliko maendeleo. Tz mna kazi sana kama akili yako ndo imeishia Hapo.
 
Back
Top Bottom