Yesu Anakuja JF-Expert Member Joined Apr 10, 2019 Posts 12,675 Reaction score 25,924 Sep 1, 2023 Thread starter #41 mandawa said: Wanafiki tu, mbona wakati wanajutia hawarudishi maokoto waliyopewa? Ni Hali ya kujitetea ili wakifa waache hadithi nzuri... Bahati mbaya mabaya ndio yanahadithiwa mpaka kiama...ngoja na bi mkubwa anze uandishi wake kuhusu bandari! ππ Click to expand... walitakiwa baada ya kujuta, wajikute wapo kisutu.
mandawa said: Wanafiki tu, mbona wakati wanajutia hawarudishi maokoto waliyopewa? Ni Hali ya kujitetea ili wakifa waache hadithi nzuri... Bahati mbaya mabaya ndio yanahadithiwa mpaka kiama...ngoja na bi mkubwa anze uandishi wake kuhusu bandari! ππ Click to expand... walitakiwa baada ya kujuta, wajikute wapo kisutu.