Tanzania inaweza kuwa na mabalozi wawili katika nchi moja?

Tanzania inaweza kuwa na mabalozi wawili katika nchi moja?

pilipili kichaa

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2013
Posts
18,406
Reaction score
14,643
Wajuzi habari za mchana wa leo.
Juzi nimemsikia Raisi wa Zanzibar akiagana na mabalozi wanaokwenda kuwakilisha ktk nchi mbalimbali.
Ila sikujua kama ni hawahawa wa Tz alikuwa akiagana nao au amefanya uteuzi wa mabalozi kutoka ZNZ.
Nilishangaa zaidi baada ya kuona kuna balozi anakwenda Brazil wakati mie najua huko kuna Balozi Emanuel Nchimbi.

Naombeni ufafanuzi wajuzi wa mambo,
 
Back
Top Bottom