Tanzania inayotaka kujitegemea kiuchumi sasa inarudi zama za kutembeza bakuli ughaibuni

Kwa mara ya kwanza Magufuli ndani ya muda mfupi kututoa mstari wa nchi maskini mpaka nchi yenye uchumi wa kati , it's wonderful!, endelea na majungu kama ni mtaji
Walioutufikisha hapo ni JK ($480) na Mkapa ($330).
Magufuli ($100) mpira ulimgonga kalio akiwa kwenye mstari wa goli na mpira ukatinga wavuni wenyewe!
 
Kujitegemea kiuchumi sio kujitenga
Tungejitenga tusingefikia uchumi wa kati ,hatukujitenga kwa miaka 55 lakini tumeendelea kuwa nchi maskini , Magufuli miaka mitano tumeingia uchumi wa kati ,ficha upumbavu wako
 
Walioutufikisha hapo ni JK ($480) na Mkapa ($330).
Magufuli ($100) mpira ulimgonga kalio akiwa kwenye mstari wa goli na mpira ukatinga wavuni wenyewe!
Ndie aliytufikisha uchumi wa kati ndani ya miaka 5 tu toka mstari wa nchi maskini ,ficha upumbavut wako
 
Tulifikia vipi uchumi wa kati kama alifunga uchumi?,acheni ujinga basi
Hata hujui uchumi wa Kati maana yake ni Nini.

Halafu kumbuka watangulizi wake ndio waaliofanya kazi kubwa tangu 1995 ulipozindukiwa Vision 2025. Usiongee Kama kutoweo kilichokatwa kichwa. The fundamental micro and macro economic policies zilizowekwa na watangulizi wa mwenda zake. Kisha angalia alipotea wapi

Rudi kwenye mfano wangu wa Mimba, ilitoa mimba haikurudishi kuwa bikra Bali mwili unahesabu umezaa Mara ya Ila watoto mfu.

Sorry for my language lakini itakusaidia kuwaza kwa kushirikisha ubongo
 
Hatuombi tunakopa na hakuna asiekopa dunia hii , America ni nchi tajiri lakini inakopa sembuse sisi?,tofautisha msaada na mkopo
 
Hatuombi tunakopa na hakuna asiekopa dunia hii , America ni nchi tajiri lakini inakopa sembuse sisi?,tofautisha msaada na mkopo
Basi tunaendelea kukopa hakuna cha tofauti hata kikwete alikopa, magufuli kakopa na mama samia kakopa.
 
Ndie aliytufikisha uchumi wa kati ndani ya miaka 5 tu toka mstari wa nchi maskini ,ficha upumbavut wako
Soma namba nilizokupa uelimike ndugu. Matusi hayakusaidii!
 
Mleta Mada unaposema bunge lisikubali mikataba hii isainiwe gizani kama mkataba wa kuuza gas kenyaj

Je mkataba upi Kabla ya huu wa kuuza gas Kenya kuwahi kuwekwa hadharani? Tunasheria mbovu kupindukia hili suala la kusaini mikataba gizani wapinzani wa kweli wamelipigia Sana kelele lkn nyie vijana wa lumumba mkaja hapa na hadithi za abunuasi ohooo eti wametumwa na mabeberu . Sasa si Mnaona
 
Logical arguments ni muhimu wakati mwingine yaani unapigana vita vya uchumi na nani?kwa sababu nilichoona awamu tano ilichofanya ni ku initiated ni negotiations iliyozaa agreements kati ya makampuni haya ya uchimbaji Wa madini mpaka tukapata 16% stake na mgawo wa 50/50 economical benefits ,faida ya pili ni mabadiliko ya sheria ya madini ya mwaka 2017 ambayo inatamka madini yote kuwa chini wa umiliki wa serikali , Sasa Hapo kuna vita gani tena ?aproacha ilitumika kuyaleta hayo Makampuni kwenye meza ya mazangumzo ndiyo ilikuwa Harsh hakuna vita tuache kupotosha....
 
Rais wa JMT mama Samia yupo vizuri sana, anaongea ukweli na siyo kufichaficha@ anasema hali kwa sahizi siyo nzuri tujifunge mkanda ili baadaye panapo majariwa tutafurahi wenyewe@ hatumii nguvu kubwa, kwa maneno yake hata Kama una njaa unahisi kushiba tu. Mungu mbariki Rais wetu Samia S.H na zaidi ya yote ibariki Tanzania
 
Jakaya alikuwa na maneno matamu huku taifa linaambulia vyandarua kwenye safari zake, hopeless kabisa !
 
Kwanza kbs acha ujinga mkuu kiongoz alieko madarakani ndo kitu gan? Mtaje Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania. Suala la kufungua nchi kibiashara kwanza ww hujui chochote mpaka upinge, yy yupo jikoni anajua in and out. Scenario ya kwamba NCHI inarudishwa kama awamu ya nne huo ni ujinga haiwezekan muaminishe watu kua kiongoz bora ni aliepita. Awamu yake ishapita muache Rais afanye kaz yake, kama vp hama NCHI au nenda kale ulipopeleka mboga. OVER!!
 
mkuu Magufuli alidumaza sekta binafsi na uwekezaji nchini, kwa kodi kubwa na sera zisizotabirika hadi wafanyabishara kukimbia, kuna mazuri aliyafanya ndio kama ujenxzi wa miundombinu na Samia kasema ataendeleza. Ilani itatekelezwa na Samia ana namna yake ya kuitekeleza, tatizo sio ilani,
Na je kwani Samia katembeza bakuli? na je Magufuli alikuwa haombi msaada? alikuwa hapokei msaada?

Na tangia lini waweklezaji wakawa wabaya kwa nchi? nchi kama Marfekani, Uingereza zenyewe zimepiga hatua kutokana na mitaji ya watu wa nje kuwekeza huko, Tanzania ndio isihitaji wawekezaji?

na je Magufuli nae alipokuwa akimpond Kikwete wakati yeye alikuwa sehemu ya Serikali yake ni kwa nini na yeye asijiuzulu?
 
sukuma GANG mtapata taabu sana. mnapaswa mtambue mtu wetu kaenda zake na chuki na ulaghai wake aliokuwa anawaaminisha kuwa ni mzalendo sijui mpenda wanyonge
 
hii
na huu ni kweli. jamaa kauwa uchumi kwa kuendesha nchi kimachinga kama sakosi ya babake
 
Kwa hiyo watanzania halisi wanaanzia mashariki kuelekea linakozania jua, uenda kweli!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…