Tanzania inayotaka kujitegemea kiuchumi sasa inarudi zama za kutembeza bakuli ughaibuni

Tanzania inayotaka kujitegemea kiuchumi sasa inarudi zama za kutembeza bakuli ughaibuni

Dalili ya mvua ni mawingu, hali hii inatokana na matamshi na vision ya kiongozi aliyeko Madarakani.

Si kweli kwamba utaratibu wa uwekezaji nchini ni mbaya, nakataa hili kwa ushahidi kwa kupitia kauli ya mfanyabiashara maarufu hapa nchini Rostom Aziz aliyoitoa akiwa ziarani Kenya aliyeambatana na Rais Samia.

Alisema, mfano kuna kampuni 530 za Kenya zimewekeza nchini Tanzania,hebu lingania makampuni ya Tanzania nchini Kenya ,ambayo ni 30 tu, hivyo uwekezaji nchini kwetu ni rahisi kabisa, ispokuwa kuna machache ya kurekebisha kulingana na matakwa ya muda husika.

Hivyo sisi tumefungua fursa zaidi kuliko wenzetu, isipokuwa wenzetu wametugeuza sisi ndio raw materials producers wa viwanda vyao na wanahakikisha hatukui kwenye eneo la viwanda nchini. Hili Magufuli alilipinga kwa nguvu zote ndio maana akaja na sera ya viwanda.

Niseme tu hayati Magufuli alikuwa ni mtu ambaye Mara nyingi alifanya tafiti na kupata takwimu kabla ya Maamuzi magumu kutolewa, hii ilimfanya aheshimike sana duniani licha ya mahasimu wake kumshusha thamani.

Hayati Magufuli enzi ya utawala wake hakupenda kabisa ubabaishaji na hili lilimgharimu sana .ndicho kilichopelekea baadhi ya makampuni na wafanyabiashara matapeli kukimbia nchini, ambao Mama Samia kaenda kuwapigia Magoti.

Sasa naiona Tanzania inarudi ilipotoka, Tanzania inaenda kuwa nchi ya wachuuzi tena ,pamoja na raslimali lukuki ilizonazo,hii inaendana pia na kushuka kwa morali ya uwajibikaji wa baadhi ya viongozi wetu na kujiingiza kwenye rushwa.

Maneno aliyosema Rais Samia alipokutana na wafanyabiashara nchini Kenya ya kwamba anaenda kuifungua nchi. Je, ni lini nchi hii ilifunga mipaka yake?

Nafikiri angesema hakusanyi kodi tena wawekezaji ruksa kufanyabiashara nchini bila masharti tungrmuelewa na jambo hilo halipo duniani, kodi ndio msingi wa maendeleo, serikali kama haikusanyi kodi haina uhalali wa kutawala.

Mwisho kataja bandari ya Bagamoyo na eneo la viwanda, tusikubali uharaka haraka wake kusaini hii mikataba bila ya kujiridhisha, bunge lihakikishe mikataba hii haisainiwi gizani kama alivyofanya kwenye hili bomba la kuuza gasi nchini Kenya.

Mambo haya yalifanyika sana enzi za awamu ya nne, na yameligharimu sana taifa baada ya hayati Magufuli kutaka kuinasua nchi kwenye ujinga huu, naona Mama Samia anataka kupita kulekule kulipotugharimu. Vinginevyo nchi hii tunaenda kugawana mbao, Magufuli kaondoka kawatoa watanzania tongotongo machoni.
Mungu wetu aliye mkuu anatupenda sana Watanzania kwa kweli. Yatupasa tumshukuru sana kwa kuwa ametutendea yaliyo mema sana Watanzania kwa yale yaliyotokea mwezi March mwaka huu.

Mungu asingeingilia kati, ni dhahiri bin shahiri kuwa nchi yetu ilikuwa inakwenda kuwa Zimbabwe nyingine by the end of this year!
 
Pamoja na mapungufu yake yote JPM atabaki kuwa kiongozi bora kwenye utawala wote awamu zote Tanzania.
 
Mungu wetu aliye mkuu anatupenda sana Watanzania kwa kweli. Yatupasa tumshukuru sana kwa kuwa ametutendea yaliyo mema sana Watanzania kwa yale yaliyotokea mwezi March mwaka huu.

Mungu asingeingilia kati, ni dhahiri bin shahiri kuwa nchi yetu ilikuwa inakwenda kuwa Zimbabwe nyingine by the end of this year!
Kwa mara ya kwanza Magufuli ndani ya muda mfupi kututoa mstari wa nchi maskini mpaka nchi yenye uchumi wa kati , it's wonderful!, endelea na majungu kama ni mtaji
 
Hivi unataka kuniambia sisi hatuna akili kabisa mpaka tuingie mikataba ya kinyonyaji? Kinachotakiwa ni kila upande ufaidike lakini kuacha eti kwa kuogopa tutaibiwa huu ni zaidi ya ujinga.
Hatuna akili eeh!,umesahau ya JMK?
 
Bunge gan hilo lijiridhishe la kijan pole...yan tunakatiba ya hovyo na watunga sheria na wasimamiaji hovyo
 
Dalili ya mvua ni mawingu, hali hii inatokana na matamshi na vision ya kiongozi aliyeko Madarakani.

Si kweli kwamba utaratibu wa uwekezaji nchini ni mbaya, nakataa hili kwa ushahidi kwa kupitia kauli ya mfanyabiashara maarufu hapa nchini Rostom Aziz aliyoitoa akiwa ziarani Kenya aliyeambatana na Rais Samia.

Alisema, mfano kuna kampuni 530 za Kenya zimewekeza nchini Tanzania,hebu lingania makampuni ya Tanzania nchini Kenya ,ambayo ni 30 tu, hivyo uwekezaji nchini kwetu ni rahisi kabisa, ispokuwa kuna machache ya kurekebisha kulingana na matakwa ya muda husika.

Hivyo sisi tumefungua fursa zaidi kuliko wenzetu, isipokuwa wenzetu wametugeuza sisi ndio raw materials producers wa viwanda vyao na wanahakikisha hatukui kwenye eneo la viwanda nchini. Hili Magufuli alilipinga kwa nguvu zote ndio maana akaja na sera ya viwanda.

Niseme tu hayati Magufuli alikuwa ni mtu ambaye Mara nyingi alifanya tafiti na kupata takwimu kabla ya Maamuzi magumu kutolewa, hii ilimfanya aheshimike sana duniani licha ya mahasimu wake kumshusha thamani.

Hayati Magufuli enzi ya utawala wake hakupenda kabisa ubabaishaji na hili lilimgharimu sana .ndicho kilichopelekea baadhi ya makampuni na wafanyabiashara matapeli kukimbia nchini, ambao Mama Samia kaenda kuwapigia Magoti.

Sasa naiona Tanzania inarudi ilipotoka, Tanzania inaenda kuwa nchi ya wachuuzi tena ,pamoja na raslimali lukuki ilizonazo,hii inaendana pia na kushuka kwa morali ya uwajibikaji wa baadhi ya viongozi wetu na kujiingiza kwenye rushwa.

Maneno aliyosema Rais Samia alipokutana na wafanyabiashara nchini Kenya ya kwamba anaenda kuifungua nchi. Je, ni lini nchi hii ilifunga mipaka yake?

Nafikiri angesema hakusanyi kodi tena wawekezaji ruksa kufanyabiashara nchini bila masharti tungrmuelewa na jambo hilo halipo duniani, kodi ndio msingi wa maendeleo, serikali kama haikusanyi kodi haina uhalali wa kutawala.

Mwisho kataja bandari ya Bagamoyo na eneo la viwanda, tusikubali uharaka haraka wake kusaini hii mikataba bila ya kujiridhisha, bunge lihakikishe mikataba hii haisainiwi gizani kama alivyofanya kwenye hili bomba la kuuza gasi nchini Kenya.

Mambo haya yalifanyika sana enzi za awamu ya nne, na yameligharimu sana taifa baada ya hayati Magufuli kutaka kuinasua nchi kwenye ujinga huu, naona Mama Samia anataka kupita kulekule kulipotugharimu. Vinginevyo nchi hii tunaenda kugawana mbao, Magufuli kaondoka kawatoa watanzania tongotongo machoni.
Bora tu
Bora tutembeze bakuli tukiwa huru kuliko kuuwa watu, kupoteza na kufunga kisa tujitegemee
Tunatembeza bakuli kwa uwazi zaidi kuliko kuambiwa ni pesa zetu za ndani wakati tunakopa kisirisiri mpaka deni la Taifa linatisha.
 
Mkuu Mambo ya uchumi waachie uchumi.

Ukiharibu uchumi ni sawa na kutoa mimba. Itabidi ukae muda fulani upite mwili urecove Kisha mchakato wa kupata mimba ingine ifanyike.

Kwa lugha nyepesi ukiubomoa uchumi utahitaji muda mrefu kuujenga kuliko muda uliotumia kuubomoa.

Sasa mjengaji lazima atumie mbinu mpya na mabadala kuujenga upya. Sasa mama Samia anaujenga upya uchumi wetu.

Kuna kitu kinaitwa open and closed economy, mwendazake alichukua approach ya kufunga uchumi.

Fanya kila kitu mwenyewe, timua wawekezaji wa nje na hata kufrustrate wa ndani na kuondoka kwenye Kenya, Rwanda, Zambia na Malawi. Sasa tunaenda kufungua upya uchumi.

Suala la kukusanya Kodi lipo pale pale
Tulifikia vipi uchumi wa kati kama alifunga uchumi?,acheni ujinga basi
 
Wachaga wana biashara zao karibu kila mahali ndani ya Tanzania, including vijijini!

Kinyume chake, unakuta jamii zingine hawana biashara yoyote ya kueleweka hata kwenye maeneo yao wenyewe!!! Na hata wale wenye biashara, unakuta wapo maeneo yao tu, na wanashindwa kuvuka hata wilaya ya jirani hata kama wana uwezo huo kibiashara!!

Je, unataka kusema Tanzania inatoa fursa kwa Wachaga peke yake na sio kwa jamii zingine na ndo maana wao utawakuta karibu kila sehemu?!
Acha mawazo ya ukabila. Unadhani hakuna kabila lisilofanya biashara? Yapo makabila kibao. Ila hawatafuti sifa kama wachaga. Ni kabila gani Tanzania utazunguka usilikute? Mfano tu wakinga ni kabila la wafanya biashara. Na wanafedha. Wametulia uwezi kuta mkinga anajisifu. Wachaga, wachaga labda kwa wale wasio wajua wachaga. Sioni cha ajabu. Kuna kipindi tulienda eneo moja, mchaga akaanza sifa huku wameenea wachaga ndo wenye mashamba. Baada ya utafiti walioenea ilikuwa ni kabila tofauti na wachaga. Tuache sifa za kijinga. Tuongelee utaifa. Si uchaga. Moshi huko ni shida tu.
 
Vita ya kiuchumi huwezi ipangua kwa kuwalamba watu miguu, kutembeza bakuli na ku compromise na kila kitu. Nchi yoyote yenye viongozi makini, huhakikisha wanatumia kila walichonacho +resources za nchi nyingine kujikwamua. Tulianza kupiga hatua, tukafika mpaka uchumi wa kati wa chini sio haba ila huko tuendako naona tunarudi tena kwenye group la nchi masikini kwa uzembe wa watawala wasio na maono. Inasikitisha Sana, endeleeni kupiga makofi na vigelegele.
Hatua gani nyie Mataga mbona hamtuambii kwa nini tumekopa sana kuliko awamu zote? Mbona hamtuambii kwanini mifuko ya hifadhi haina pesa za wachangiaji? Mbona hamtuambii mlikuwa na lengo gani kupora hela za watu hovyo? Anayeona Jiwe alikuwa anajenga uchumi wa nchi hii ni mbumbumbu kabisa wa uchumi.
 
Sukuma gang,give us a break...

huyo mwendazake alifanikiwa kuwa brainwash nyinyi tuh na sio sisi sote,Kwan suala la wawekezaji kukimbia na wafanya biashara kufunga biashara zao na uchumi kuyumba na hali ya maisha kuwa mbaya kipindi Cha mwendazake lilikuwa ni la kificho?Tulieni,mmesumbua Sana enz zenu Acha nchi iwekwe sawaa,kaa kwa kutulia hivyo hivyo
 
Watoto wana Njaaa wanataka kula, Mama anataka kutulisha na hataki kujifanya Masikini Jeuri, ni wakati sasa tupatd Msaada ulipo tutoke hapa tulipo

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
 
Dalili ya mvua ni mawingu, hali hii inatokana na matamshi na vision ya kiongozi aliyeko Madarakani.

Si kweli kwamba utaratibu wa uwekezaji nchini ni mbaya, nakataa hili kwa ushahidi kwa kupitia kauli ya mfanyabiashara maarufu hapa nchini Rostom Aziz aliyoitoa akiwa ziarani Kenya aliyeambatana na Rais Samia.

Alisema, mfano kuna kampuni 530 za Kenya zimewekeza nchini Tanzania,hebu lingania makampuni ya Tanzania nchini Kenya ,ambayo ni 30 tu, hivyo uwekezaji nchini kwetu ni rahisi kabisa, ispokuwa kuna machache ya kurekebisha kulingana na matakwa ya muda husika.

Hivyo sisi tumefungua fursa zaidi kuliko wenzetu, isipokuwa wenzetu wametugeuza sisi ndio raw materials producers wa viwanda vyao na wanahakikisha hatukui kwenye eneo la viwanda nchini. Hili Magufuli alilipinga kwa nguvu zote ndio maana akaja na sera ya viwanda.

Niseme tu hayati Magufuli alikuwa ni mtu ambaye Mara nyingi alifanya tafiti na kupata takwimu kabla ya Maamuzi magumu kutolewa, hii ilimfanya aheshimike sana duniani licha ya mahasimu wake kumshusha thamani.

Hayati Magufuli enzi ya utawala wake hakupenda kabisa ubabaishaji na hili lilimgharimu sana .ndicho kilichopelekea baadhi ya makampuni na wafanyabiashara matapeli kukimbia nchini, ambao Mama Samia kaenda kuwapigia Magoti.

Sasa naiona Tanzania inarudi ilipotoka, Tanzania inaenda kuwa nchi ya wachuuzi tena ,pamoja na raslimali lukuki ilizonazo,hii inaendana pia na kushuka kwa morali ya uwajibikaji wa baadhi ya viongozi wetu na kujiingiza kwenye rushwa.

Maneno aliyosema Rais Samia alipokutana na wafanyabiashara nchini Kenya ya kwamba anaenda kuifungua nchi. Je, ni lini nchi hii ilifunga mipaka yake?

Nafikiri angesema hakusanyi kodi tena wawekezaji ruksa kufanyabiashara nchini bila masharti tungrmuelewa na jambo hilo halipo duniani, kodi ndio msingi wa maendeleo, serikali kama haikusanyi kodi haina uhalali wa kutawala.

Mwisho kataja bandari ya Bagamoyo na eneo la viwanda, tusikubali uharaka haraka wake kusaini hii mikataba bila ya kujiridhisha, bunge lihakikishe mikataba hii haisainiwi gizani kama alivyofanya kwenye hili bomba la kuuza gasi nchini Kenya.

Mambo haya yalifanyika sana enzi za awamu ya nne, na yameligharimu sana taifa baada ya hayati Magufuli kutaka kuinasua nchi kwenye ujinga huu, naona Mama Samia anataka kupita kulekule kulipotugharimu. Vinginevyo nchi hii tunaenda kugawana mbao, Magufuli kaondoka kawatoa watanzania tongotongo machoni.

Mama akaze hapo hapo wa kurokota makopo wacha warokote.
 
Kweli tupu
Ukiwachunguza wanaomponda ni wazee wa janja janja, ninachoamini alirudishia Tanzania heshima, alionesha nchi za Afrika tunaweza bila utegemezi, mama mtamsifia sana ndio kwanza hana hata mwaka siku si haba mtaanza tena kumponda, sisi tupo hapa.
 
Vita ya kiuchumi huwezi ipangua kwa kuwalamba watu miguu, kutembeza bakuli na ku compromise na kila kitu. Nchi yoyote yenye viongozi makini, huhakikisha wanatumia kila walichonacho +resources za nchi nyingine kujikwamua. Tulianza kupiga hatua, tukafika mpaka uchumi wa kati wa chini sio haba ila huko tuendako naona tunarudi tena kwenye group la nchi masikini kwa uzembe wa watawala wasio na maono. Inasikitisha Sana, endeleeni kupiga makofi na vigelegele.

Meza imepinduka. Aliyesema hii awamu ya tano yuko wapi?
 
Vita ya kiuchumi huwezi ipangua kwa kuwalamba watu miguu, kutembeza bakuli na ku compromise na kila kitu. Nchi yoyote yenye viongozi makini, huhakikisha wanatumia kila walichonacho +resources za nchi nyingine kujikwamua. Tulianza kupiga hatua, tukafika mpaka uchumi wa kati wa chini sio haba ila huko tuendako naona tunarudi tena kwenye group la nchi masikini kwa uzembe wa watawala wasio na maono. Inasikitisha Sana, endeleeni kupiga makofi na vigelegele.
Alifanikiwa kuwaaongopea nyinyi wenyewe washamba wenzake wasukuma,

Eti oooh hii nchi ni tajir,tunafanya kila kitu kwa fedha zetu za ndaniii,kumbe miyeyusho tuuuh,madeni kila kona,sasa sijui alikua anamdanganya nani,anakopa fedha huko nje kisha anakuja kutunanga huku kuwa anafanya Maendeleo kwa fedha zetu za ndani,kaacha legacy mbovu tuh usituambie lolote kuhusu yule mshamba
 
Ukiwachunguza wanaomponda ni wazee wa janja janja, ninachoamini alirudishia Tanzania heshima, alionesha nchi za Afrika tunaweza bila utegemezi, mama mtamsifia sana ndio kwanza hana hata mwaka siku si haba mtaanza tena kumponda, sisi tupo hapa.

Hadi tulipo hatuna cha kumponda labda kama wewe ni nabii Tito.
 
Ukiwachunguza wanaomponda ni wazee wa janja janja, ninachoamini alirudishia Tanzania heshima, alionesha nchi za Afrika tunaweza bila utegemezi, mama mtamsifia sana ndio kwanza hana hata mwaka siku si haba mtaanza tena kumponda, sisi tupo hapa
Wazee Wa janja janja kivip we Msukuma?

Inshort kifo chake kimewapagawisha nyinyi tuh huko kwenu,huku wengine tunaweka sherehe kila siku,wewe unajua Kaua watu wangapi huku nyumban Mtwara kwa kucheza na zao letu la korosho??

Sisi hatuwez kumsamehe kwa umaskin aliotusababishia kwa maamuz yake ya hovyo kwenye zao la korosho huyo jamaa,

Tena ukitukumbusha unazid kututia hasira
 
Dalili ya mvua ni mawingu, hali hii inatokana na matamshi na vision ya kiongozi aliyeko Madarakani.

Si kweli kwamba utaratibu wa uwekezaji nchini ni mbaya, nakataa hili kwa ushahidi kwa kupitia kauli ya mfanyabiashara maarufu hapa nchini Rostom Aziz aliyoitoa akiwa ziarani Kenya aliyeambatana na Rais Samia.

Alisema, mfano kuna kampuni 530 za Kenya zimewekeza nchini Tanzania,hebu lingania makampuni ya Tanzania nchini Kenya ,ambayo ni 30 tu, hivyo uwekezaji nchini kwetu ni rahisi kabisa, ispokuwa kuna machache ya kurekebisha kulingana na matakwa ya muda husika.

Hivyo sisi tumefungua fursa zaidi kuliko wenzetu, isipokuwa wenzetu wametugeuza sisi ndio raw materials producers wa viwanda vyao na wanahakikisha hatukui kwenye eneo la viwanda nchini. Hili Magufuli alilipinga kwa nguvu zote ndio maana akaja na sera ya viwanda.

Niseme tu hayati Magufuli alikuwa ni mtu ambaye Mara nyingi alifanya tafiti na kupata takwimu kabla ya Maamuzi magumu kutolewa, hii ilimfanya aheshimike sana duniani licha ya mahasimu wake kumshusha thamani.

Hayati Magufuli enzi ya utawala wake hakupenda kabisa ubabaishaji na hili lilimgharimu sana .ndicho kilichopelekea baadhi ya makampuni na wafanyabiashara matapeli kukimbia nchini, ambao Mama Samia kaenda kuwapigia Magoti.

Sasa naiona Tanzania inarudi ilipotoka, Tanzania inaenda kuwa nchi ya wachuuzi tena ,pamoja na raslimali lukuki ilizonazo,hii inaendana pia na kushuka kwa morali ya uwajibikaji wa baadhi ya viongozi wetu na kujiingiza kwenye rushwa.

Maneno aliyosema Rais Samia alipokutana na wafanyabiashara nchini Kenya ya kwamba anaenda kuifungua nchi. Je, ni lini nchi hii ilifunga mipaka yake?

Nafikiri angesema hakusanyi kodi tena wawekezaji ruksa kufanyabiashara nchini bila masharti tungrmuelewa na jambo hilo halipo duniani, kodi ndio msingi wa maendeleo, serikali kama haikusanyi kodi haina uhalali wa kutawala.

Mwisho kataja bandari ya Bagamoyo na eneo la viwanda, tusikubali uharaka haraka wake kusaini hii mikataba bila ya kujiridhisha, bunge lihakikishe mikataba hii haisainiwi gizani kama alivyofanya kwenye hili bomba la kuuza gasi nchini Kenya.

Mambo haya yalifanyika sana enzi za awamu ya nne, na yameligharimu sana taifa baada ya hayati Magufuli kutaka kuinasua nchi kwenye ujinga huu, naona Mama Samia anataka kupita kulekule kulipotugharimu. Vinginevyo nchi hii tunaenda kugawana mbao, Magufuli kaondoka kawatoa watanzania tongotongo machoni.
Lini hamjatembeza bakuli mkuu... Kwenye mradi wa SGR tu ameombwa Mchina, akaombwa S.A akaombwa Turkey yani huku pesa alikuwa akisema ipo ila kila anayekuja anamwomba.

Hata ela ya corona iliombwa ikaletwa wakati tunasema hakuna corona.

Hatujawahi kuacha kutembeza bakuli yale ya tunajenga kwa pesa ya ndani ni maneno. Lile deni la taifa kuongezeka kwa kasi we unadhani limeongezeka ka sababu gani kama si kukopa kopa?
 
Back
Top Bottom