Tanzania inayotaka kujitegemea kiuchumi sasa inarudi zama za kutembeza bakuli ughaibuni

Tanzania inayotaka kujitegemea kiuchumi sasa inarudi zama za kutembeza bakuli ughaibuni

Kwa dunia ya leo bila kuvutia uwekezaji sahau maendeleo. Kimsingi hakuna taifa lolote duniani linaloweza kupiga hatua kama hakuna muingiliano wa kiuchumi kwa mashirikiano na nchi zingine na hii ni kwasababu tunaishi kwa kutegemeana. Sasa nyie sijui ni nani aliwaaminisha kuwa nchi inaweza kupiga hatua ikibaki yenyewe.
Kenya kuna wawekezaji gani?Kama sio kufanya udalali tu,eti Rais Mwenye rasilimali lukuki na aridhi ya kutosha anaenda kutafuta wawekezaji Kenya 😁😄😄Kenya watu wanakufa njaa kwakukosa chakula,wanauana kwa ukabila eti leo wawe wawekezaji.Keli Watanzania aliyeturoga anastahili ukumu kali mbele ya Muumba
 
Kenya kuna wawekezaji gani?Kama sio kufanya udalali tu,eti Rais Mwenye rasilimali lukuki na aridhi ya kutosha anaenda kutafuta wawekezaji Kenya 😁😄😄Kenya watu wanakufa njaa kwakukosa chakula,wanauana kwa ukabila eti leo wawe wawekezaji.Keli Watanzania aliyeturoga anastahili ukumu kali mbele ya Muumba
Nadhani ni vizuri kuwa na uhusiano mzuri na majirani lakininhaina maana tusiangalie yale ya msingi ambayo tunapaswa kuwa makini nayo. Badala ya kulaumu tu tumpe mama mapendekezo sahihi asipotekeleza basi tumlaumu....Unapolaumu bila kutoa mbadala ni kutomtendea haki...Ninachojua ni kuwa mtu akishakuwa Rais lazima apewe haki yake na awe supported full kwa yale ambayo anayatamani kwa maslahi ya Taifa...Tukishindwa kuheshimu na kuwa support viongozi wetu, kwanza ni kukosa staha kisha ni kuzuia maendeleo ya nchi kwasababu za ubinafsi...
 
Ushamfukuza jamvini huyu maana ni bendera fuata upepo

Ndio hao wanajidanganya eti nchi za ulaya wajifunze kutoka kwetu tulivyopambana na covid19. Yaani kuminywa kwa taarifa, kuficha data za maambukizi na vifo, maombi ya siku tatu, kujenga mafukizo hospitali zetu ndio vitu vya kuiga?. Watu ni wa puuzi sana, eti kwakuwa husikii watu wanaokufa baada ya kuzuia taarifa unajiaminisha kuwa ugonjwa hakuna.
Kwaiyo unaamini Watanzania wanakufa na corona kama Waindi na wabrazili wanavyokufa,ila Tanzania ina ficha vifo
 
Tunawajua kundi lenu loote mnaojitahidi kumkwamisha mama Samia.

Mnajitahidi kubeza kila anachokifanya.

Hata hivyo hamtaweza maana tayari mshajulikana.

Niwashauri tu kuwa mnatakiwa mkubali kuwa mama Samia ndiye Rais wa JMT.
Watabet sana safari hii.
 
Tunawajua kundi lenu loote mnaojitahidi kumkwamisha mama Samia.

Mnajitahidi kubeza kila anachokifanya.

Hata hivyo hamtaweza maana tayari mshajulikana.

Niwashauri tu kuwa mnatakiwa mkubali kuwa mama Samia ndiye Rais wa JMT.

Kumkwamisha kivipi! Ungejaribu kueleza kama mwenzio ila wewe unaonekana umekuja kupinga tu bila vigezo !! Hapaka hspi mtoa mada kashinda...!’
 
Kumkwamisha kivipi! Ungejaribu kueleza kama mwenzio ila wewe unaonekana umekuja kupinga tu bila vigezo !! Hapaka hspi mtoa mada kashinda...!’
Mpe kombe basi
 
Ukiilinganisha tanzania na ulaya utakuwa na ugonjwa wa akili
Kwaiyo corona ya Ulaya na Tanzania ni tofauti?Wewe ndio ngonjwa wa akili,unayechukuliwa na upepo wa kizungu,shugulisha akili yako ndogo uliyopewa na Mungu, acha kila kitu kumtegemea mzungu.
 
Kwa upande wangu niseme tu hii dunia inakimbia km/200 hour. Sikutegemea kama leo hii walioteswa,wakauwawa,wakaibiwa kura,wakadhulumiwa,leo wangekuwa na furaha kila kukicha.
 
Kama kuna uwezekano wa kuomba na kupewa ni bora zaidi kuliko zile ngojera za Deni HIMILIVU!
 
Kwa dunia ya leo bila kuvutia uwekezaji sahau maendeleo. Kimsingi hakuna taifa lolote duniani linaloweza kupiga hatua kama hakuna muingiliano wa kiuchumi kwa mashirikiano na nchi zingine na hii ni kwasababu tunaishi kwa kutegemeana. Sasa nyie sijui ni nani aliwaaminisha kuwa nchi inaweza kupiga hatua ikibaki yenyewe.
Hakuna mwekezaji aliyezuiwa kuja kuwekeza Tanzania wakati wa JPM kama yupo weka ushahidi.
 
Tulejee enzi za wazee wetu tu mwanamke sio kiongoz yeye uongoz anaouweza ni kuzaa na kuongoza watoto huu uzungu wa 50/50 ndio unatuvurugia mambo yetu
 
Wachaga wana biashara zao karibu kila mahali ndani ya Tanzania, including vijijini!

Kinyume chake, unakuta jamii zingine hawana biashara yoyote ya kueleweka hata kwenye maeneo yao wenyewe!!! Na hata wale wenye biashara, unakuta wapo maeneo yao tu, na wanashindwa kuvuka hata wilaya ya jirani hata kama wana uwezo huo kibiashara!!

Je, unataka kusema Tanzania inatoa fursa kwa Wachaga peke yake na sio kwa jamii zingine na ndo maana wao utawakuta karibu kila sehemu?!
Huyo jamaa namfahamu sana ni kati ya wafuasi wa mwenfazake ambaye bado anaamini kuwa tupo kwenye utawala wa awamu ya 5.

Atalazimisha anavyotaka yeye ilimradi tu atoe mapungufu kwa utawala wa awamu ya 6.
 
Kuna biashara nyingi zilifungwa wakati wa awamu ya tano sababu ni namna kodi ilivyokusanywa kibabe. Makusanyo kuwa mengi wakati uhalisia ni kifo cha biashara ni kitu ambacho hakingeweza kuwa na tija ya kudumu.

Rais Samia amekuwa muungwana kuwa na uthubutu wa kusema hadharani juu ya uonevu waliokutana nao wafanyabiashara na siku ile ikulu ni kama vile alikuwa anawaangukia wafanyabiashara.

Huwezi kushindana na mfanyabiashara mwenye mtaji wa mamilioni ya pesa halafu waajiriwa wake wasiwe ni wa kwanza kuumia iwapo ataamua kutoipa ushirikiano serikali.

Kukusanya kodi hakukwepeki lakini maarifa ya hali ya juu ya ukusanyaji ndio silaha ya uwepo wa amani kati ya mkusanyaji na mlipaji.

Na ni ngumu sana kujitegemea katika dunia ambayo mwenye teknolojia ndiye mtawala mwenye ushawishi wa kuanzia kwa mtu mmoja mmoja mpaka kwa viongozi wa serikali.

Huwezi kuishi kama kisiwa, kwa namna moja au nyingine utawahitaji tu hao wenye teknolojia ili uingie nao ubia.
Jiwe alikuwa anamkamua ng'ombe hadi anabakiza manyoya tu ili mradi apate sifa kuwa anakusanya kodi nyingi.

Pamoja na watu wake kugundua mapungufu kwenye ukusanyaji kodi kwa kutumia ubabe na vitisho na kufirisi watu.

Lkn wafuasi wake walikuwa wanakenua meno utadhani ni mazuzu tu .
Leo hii wengi wao ndiyo wanaanza kufunguka akili na kuanza kukosoa .
 
Kwa dunia ya leo bila kuvutia uwekezaji sahau maendeleo. Kimsingi hakuna taifa lolote duniani linaloweza kupiga hatua kama hakuna muingiliano wa kiuchumi kwa mashirikiano na nchi zingine na hii ni kwasababu tunaishi kwa kutegemeana. Sasa nyie sijui ni nani aliwaaminisha kuwa nchi inaweza kupiga hatua ikibaki yenyewe.
Kama ulikua unamsikiliza vizuri JPM hakuna sehemu aliyowahi kusema nchi isiingiliane kiuchumi na nchi nyingine. Alichokua anapinga ni wawekezaji wababaishaji ambao walizoea kuja kuchota rasilimali zetu na kupeleka kwao. Huyu mama anaturudisha kwenye sera za JK ambazo hazikuwahi kuinufaisha hii nchi.

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom