PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
[emoji106]Kwenye utafutaji usiyaamini maneno ya mwanamke 100%.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji106]Kwenye utafutaji usiyaamini maneno ya mwanamke 100%.
Humjui huyo siyo bongo movie fala wewe...Ni malaya tu huyo hana lolote. Hapo ni hela yako tu unafanza kama kawaida
AhahhahahahaSasa ulijuaje km ni malaya?
Humjui huyo siyo bongo movie fala wewe...
Nyama chomaa festivalnapenda kujua project zake anazofanya hadi kupata hizo sifa?
Tatizo lenu ndio hilo, ukiona kiazi ukaulizwa hicho ni nini, bado utasema ni haragwe. Pole sana dada!Humjui huyo siyo bongo movie fala wewe...
Kwa kuwa alikosea hapo ndo iondoe umakini wake? Not right hata kidogo, kumbuka tu kwamba hakuna kiumbe kikamilifu chini ya jua isipokuwa Muumbaji Pekee
sijaona jipya kwake tatizo wabongo mnaamini sana watu wanaojitangaza.. kala sana michango ya watu kwenye majanga
Nimeona comments nyingi za chuki hadi nikashangaa. Huyu dada nionavyo mimi pia ni kwamba anafanya vitu vikubwa vya kutumia akili nyingi sana. Kuna wakati flani nilifanya kazi kwenye media company na kugundua kuwa kuandaa tamasha au events zinazohitaji udhamini sio jambo rahisi. Sasa dada na nyama choma festival ambayo imedumu kwa miaka mingi sio wa kumchukulia kawaida. Kaumiza akili. Tumwombee kwa Mungu azidi kupigana zaidi. Hongera dada Carol Ndosi
Pambana Dada. Jitihada zako zinagusa maisha ya familia nyingi tu. Binafsi nakutakia mafanikio.Kila mtu ana kasoro yake kwa binadamu mwenzake..Yamkini kasoro hizo zinaweza zisiwe uhalisia lakini ndio ubinadamu na ndio maisha. Alhamdulilah to EVERYTHING.
Uanamke mke wake ndio umefanya nyama choma festival idumu nothing more....Halafu anapenda kusifiwa balaaaNimeona comments nyingi za chuki hadi nikashangaa. Huyu dada nionavyo mimi pia ni kwamba anafanya vitu vikubwa vya kutumia akili nyingi sana. Kuna wakati flani nilifanya kazi kwenye media company na kugundua kuwa kuandaa tamasha au events zinazohitaji udhamini sio jambo rahisi. Sasa dada na nyama choma festival ambayo imedumu kwa miaka mingi sio wa kumchukulia kawaida. Kaumiza akili. Tumwombee kwa Mungu azidi kupigana zaidi. Hongera dada Carol Ndosi
Nafikiri kupenda kusifiwa sio kosa.Uanamke mke wake ndio umefanya nyama choma festival idumu nothing more....Halafu anapenda kusifiwa balaaa