Tanzania ingewapata akina Carol Ndosi 100 maendeleo yangekuja haraka sana

Tanzania ingewapata akina Carol Ndosi 100 maendeleo yangekuja haraka sana

Ndiyo huyu aliyewachefua waislamu kwenye kipindi cha EATV kwamba kutumia vipaza sauti ni makelele ikabidi kipindi kifutwe jumla? Au majina tu yamefanana?

Kama ndiye basi naomba nitofautiane na wewe mtoa hoja. Yule host mwenzake Daniel Kijo was smartest
Kumbe!
 
Labda sijui maana halisi ya mtu makini na mwerevu, maana kwa uelewa wangu mtu mwenye sifa hizi huwa anapima madhara ya kila neno linalotoka mdomoni mwake na wapi hasa aongee kipi. Mropokaji kwangu hawezi kuwa mtu makini na mwerevu. Sijui labda i'm wrong
Ondoa upumbu hapa. Kwani kweli hazetagi kelele hizo adhana. ? Jinga wwe
 
Back
Top Bottom