Tanzania insists EAC citizens MUST use passports to enter Tanzania


Hilo la mialiko kwa Tanzania silijui, ninalolijua ni kwamba Tanzania ilituzungusha kwenye mbuyu hadi maamuzi ya kuendelea kwenye tri-lateral arrangement ambayo yanaruhusiwa kwenye sheria za EAC yakaafikiwa. Tanzania ikaomba itajiunga baadaye, japo ikaishia kulia lia.

Hakuna mtu amesema kudakuliwa kwa vitambulisho ni sifa, nilichokisema ni kwamba mumejificha nyuma ya vijisababu vya kila aina na kuendelea kuweka vizingiti na vizuio, halafu mnalia kwamba mnatengwa. Watu wanaghushi hata paspoti, hivyo sio kwamba pasport ndio foolproof. Kwanza ukiangalia kwenye Global Passport Power Rank, ya Kenya ina hadhi hata zaidi ya Tanzania Global Passport Power Rank | Passport Index 2017
 
Sasa mtafute passport, EAC ni jina tu.
 
Sasa mtafute passport, EAC ni jina tu.

EAC ni jina kwa baadhi yenu mliofungiwa huko kitaa Dar, lakini kawaulize Watanzania waliojitambua na kutoka, wanaofanya biashara na kunufaika ndani ya EAC, watakushangaa kwamba hujui nini maana ya EAC.
 

Kwahiyo hakuna hata siku moja Uganda au Rwanda walikataa mnayowamezesha midomoni ila unaona ni Tanzania tu ndio inawachelewesha wakenya. Hebu tuabie Kenya ilchukiwa muda gani kukubali sarafu moja ya EAC. Muda mwingine mnajisahau kuwa EAC sio shamba la Kenya.

Sasa kama unajisifia passport yenu ina ngivu kuliko ya Tanzania (kitu cha kuchekesha kwasababu usalama wa karatasi haumaanishi ni nchi ngapi unakubaliwa kuingia). Kwanini watu wenu wanapata shida ya kuzipata na kujanazo Tanzania?
 
TZ utakuja tu upende usipende. Huku kutamu asikuambie mtu. Wakenya wapo huku wamegoma kurudi kwao. Waulize.
 
EAC ni jina kwa baadhi yenu mliofungiwa huko kitaa Dar, lakini kawaulize Watanzania waliojitambua na kutoka, wanaofanya biashara na kunufaika ndani ya EAC, watakushangaa kwamba hujui nini maana ya EAC.
EAC kitu gani wakati tuna jumuiya nyingine ya SADC. Serikali yetu imeamua kwamba muwe na passport ndio mruhusiwe kuingia kama hamtaki muwe mnatembeleana wenyewe wakenya, waganda na wanyarwanda, Tanzania ni passport kwanza.
 

Kitu moja naona umeshindwa kujifunza ni kwamba nchi zote za EAC ni mataifa huru na hakuna hata moja nayoweza kulazimishiwa cochote, hivy Uganda na Rwanda wana haki na uwezo wa kutupia mbali chochote kisichoendana na maslahi yao kama mataifa huru, ila tofauti yao na nyie ni kwamba, wao wanakataa wasichokipenda bila kulia lia.

Paspoti zetu zina nguvu na ni mojwawapo wa mahitaji ya sisi kuingia Tanzania kulingana na sheria za kwenu, sasa sielewei swali lako hilo lina umuhimu gani au linamaanisha nini.
 
EAC kitu gani wakati tuna jumuiya nyingine ya SADC. Serikali yetu imeamua kwamba muwe na passport ndio mruhusiwe kuingia kama hamtaki muwe mnatembeleana wenyewe wakenya, waganda na wanyarwanda, Tanzania ni passport kwanza.

Kwa mtu anayejua kupiga mahesabu mapana hawezi kuongea unavyoongea, labda utakua wale wabongo wazamiaji wa kule Afrika Kusini kubeba mabox. Lakini kwa Watanzania wanaojitambua, wanatumia SADC/EAC kutanua kibiashara.
 


Hivi lile bomba la mafuta linalopigiwa kelele humu kila siku halikuwaunganisha Waganda na WaTz?
 
After sale service of program ndo mtu atoke Kenya aje bongo. Why don't s/he use team viewer window. Mimi mara nyingi huwa nikikwama ninapotumia specialised programme such idris, arcgis from ESRI nawasiliana na staff wao kwa njia hii.
 

Acha uongo.
Lini wapi nani raia wa china kuwa na kitambulisho cha kupiga kura.
 

Ili uelewe swali la pasipoti, rudi nyuma usome ulicho kiandika mwenyewe kuhusu matumizi ya vitambulisho kati ya wananchi wa Kenya na Rwanda. Unapenda kuandika mambo kiujanja ujanja, lakini unajikanyaga mwenyewe na kuumbuka. Mara unalalamika wakenya wanashindwa kuchangamkia kazi Tanzania kwasababu Tanzania wanataka pasipoti, huku unasema wakenya hawana shinda ya kupata pasipoti wanapozihitaji. Sasa tatizo liko wapi, kwanini wakenya wanalia wakiambia hawaingii Tanzania bila pasipoti?
 

Hivi ulishawahi kuskia Tanzania ikilia kwamba imetengwa kwenye CoW?sisi huwa hatujali maamuzi yenu kwa kuwa tunajua hamuwezi kufanikisha lolote bila ya sisi,kidiplomasia sisi ndio baba wa east,central and south Africa.hapa kwenye hili bandiko wanaolia ni Waganda,wakenya na wanyarwanda,sisi watanzania tunachojua ni kwamba tunahitaji passport kusafiri kuingia nchi nyingine na tumeridhika na hilo.
 
After sale service of program ndo mtu atoke Kenya aje bongo. Why don't s/he use team viewer window. Mimi mara nyingi huwa nikikwama ninapotumia specialised programme such idris, arcgis from ESRI.

Kaka unapohusiana na wateja Waswahili jiandae kwa lolote, kuna mteja vyote hivyo havisaidii, Skype, Teamviewer, Amy wala nini. Unawatuma watu kwake lakini inaishia lazima usafiri na kukaa naye, na kumskliza mkiwa naye kwenye mazingira yake na yupo radhi kulipia hayo yote.
Labda wewe umezoea ku-support off the shelve systems, lakini kama mwenyewe unatengeneza system from scratch, pale unamskliza mteja kuanzia mwanzo hadi mnaagana, Teamviewer na hivyo vidubwash vingine havisaidii chochote.
 
Acha uongo.
Lini wapi nani raia wa china kuwa na kitambulisho cha kupiga kura.

Kaka kuwa mfuatiliaji wa matukio ya nchi yako, wacha hulka za kukurupuka.
------------------------------------------------------
Wakuu leo nikiwa kwenye Ofisi za DHL kufuatilia mzigo wangu, waliingia Wachina Kuja kuchukua Mzigo wao ambao umetumwa kutoka Huko kwao, na inaonekana hawana adress ya makazi so waliagiza kupitia ofisi ya DHL, sasa wakati anasaini ili wachukue Mzigo waliombwa vitambulisho, mimi nikajua hapo watatoa Pasport, Ila cha kushangaza walitoa Kadi za Kupigia Kura za Tanzania, kwa kweli nilichoka make wanaongea Kingereza kwa shida inaonekana wanajua tu kichina.

Ilibidi niunganishe na ile ishu niliyosoma kwamba Uraia Tanzania unatolewa kama Karanga, na sidhani kama kuna nchi ambayo ni rahisi sana kwa mgeni kupata Uraia kama Tanzania.
Kauli ya Waziri Mwigulu: Wachina "kuomba uraia"

eliakeem
 

Hebu nionyeshe wapi nimetaja kwamba Wakenya hawapati shida wakati wa kufuata paspoti, unafaa ufahamu paspoti yetu ina hadhi sana na hupati kiulaini kama karanga barabarani. Wapo wanaoghushi na kufanya yao lakini wakikamatwa huwa ngoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…