Tanzania insists EAC citizens MUST use passports to enter Tanzania

Tanzania insists EAC citizens MUST use passports to enter Tanzania

Kaka kuwa mfuatiliaji wa matukio ya nchi yako, wacha hulka za kukurupuka.
------------------------------------------------------
Wakuu leo nikiwa kwenye Ofisi za DHL kufuatilia mzigo wangu, waliingia Wachina Kuja kuchukua Mzigo wao ambao umetumwa kutoka Huko kwao, na inaonekana hawana adress ya makazi so waliagiza kupitia ofisi ya DHL, sasa wakati anasaini ili wachukue Mzigo waliombwa vitambulisho, mimi nikajua hapo watatoa Pasport, Ila cha kushangaza walitoa Kadi za Kupigia Kura za Tanzania, kwa kweli nilichoka make wanaongea Kingereza kwa shida inaonekana wanajua tu kichina.

Ilibidi niunganishe na ile ishu niliyosoma kwamba Uraia Tanzania unatolewa kama Karanga, na sidhani kama kuna nchi ambayo ni rahisi sana kwa mgeni kupata Uraia kama Tanzania.
Kauli ya Waziri Mwigulu: Wachina "kuomba uraia"

eliakeem

Duuu aisee hiyo story ya DHL si kweli. Maana hao wangeswekwa rupango. Hajui hata kiswahili halafu ana kadi ya NEC. Hapo njoo tena.
 
Kaka unapohusiana na wateja Waswahili jiandae kwa lolote, kuna mteja vyote hivyo havisaidii, Skype, Teamviewer, Amy wala nini. Unawatuma watu kwake lakini inaishia lazima usafiri na kukaa naye, na kumskliza mkiwa naye kwenye mazingira yake na yupo radhi kulipia hayo yote.
Labda wewe umezoea ku-support off the shelve systems, lakini kama mwenyewe unatengeneza system from scratch, pale unamskliza mteja kuanzia mwanzo hadi mnaagana, Teamviewer na hivyo vidubwash vingine havisaidii chochote.


What do yo mean when you say waswahili.
Mbona hizo VoIP watu huzitumia kama whatapp inavyotumika?
 
Kwa mtu anayejua kupiga mahesabu mapana hawezi kuongea unavyoongea, labda utakua wale wabongo wazamiaji wa kule Afrika Kusini kubeba mabox. Lakini kwa Watanzania wanaojitambua, wanatumia SADC/EAC kutanua kibiashara.
Sawa mkuu passport muhimu kama serikali yetu inavyotaka.
 
Nakumbuka yule jamaa anaitwa Mwanzi1 akilia lia eti Uhuru ameitenga Tanzania wakati habari kama hizi ndio zinadhihirisha Tanzania yenyewe inavyojitenga na kuwa na double standard kwa majirani. Eti wanafunzi wa Rwanda wanalipa karo moja na wale wa Tanzania ilhali wa Uganda wanalipa zaidi.

Leo hii Mnyarwanda akitaka kuasfiri kuja Kenya au Mkenya kwenda Rwanda, ilmradi anayo kitambulisho cha taifa lake hana haja ya kuhangaika na passpoti.

Hivi majuzi tumekua na tukio la ovyo sana hapo Bongo, kuna shughuli fulani ya kikazi iliyokwama ghafla na ilihitaji mtaalam fulani kutokea Kenya aje kuifanyia kazi. Tatizo jamaa alikua na matatizo na paspoti yake, ikawa hawezi kuingia Tanzania maana hata akipewa temporary passport Kenya lakini kule Tanzania hawampi business permit au CTR.

Kitu moja naona umeshindwa kujifunza ni kwamba nchi zote za EAC ni mataifa huru na hakuna hata moja nayoweza kulazimishiwa cochote, hivy Uganda na Rwanda wana haki na uwezo wa kutupia mbali chochote kisichoendana na maslahi yao kama mataifa huru, ila tofauti yao na nyie ni kwamba, wao wanakataa wasichokipenda bila kulia lia.

Paspoti zetu zina nguvu na ni mojwawapo wa mahitaji ya sisi kuingia Tanzania kulingana na sheria za kwenu, sasa sielewei swali lako hilo lina umuhimu gani au linamaanisha nini.

Hebu nionyeshe wapi nimetaja kwamba Wakenya hawapati shida wakati wa kufuata paspoti, unafaa ufahamu paspoti yetu ina hadhi sana na hupati kiulaini kama karanga barabarani. Wapo wanaoghushi na kufanya yao lakini wakikamatwa huwa ngoma.
Inaonekana uko busy kuchapa majibu bila kusoma maelezo husika, jikumbushe swali la pasipoti linatoka wapi. Limetokana na wewe kusema Wakenya na Wanyaranda wanajivunia kutumia vitambulisho vyao kutokana nchi moja kwenda nyingine. Sisi watanzania tunachohitaji ni pasipoti, ukija huku leta kibandiko chako ndio tutaelewane. Kama vibandiko vyenu vinanguvu kuliko vyingine hilo halutuhusu.
 
Sio Kenya ilikua inaalika vikao vya CoW, kuna secretariat. Pili, Tanzania mara nyingi ilikua inatuma waziri au wawakilishi wake wa kuzuga maana wenyewe mlishasema tuendelee na mengine halafu mtakuja ungana nasi hapo baadaye. Tatizo mkaishia kulia lia baadaye kwamba mumetengwa.

Halafu hakuna sehemu nimerusha ajenda, nimesema waziri wenu aliwahi sema kwamba amewaona wachina na hizo stakabadhi, sasa hapo nimeruka vipi, nimekuambia tatizo la kughushi stakabadhi lipo duniani kote hata Marekani.
Tanzania haipelekwi kwa shinikizo la nchi nyingine, wala haijawai kulialia, kama raisi mstafu kikwete aliwakomesha mlipozuia magari ya utalii kuingia airport mpaka mkaomba suluhu.
I'm even not imagine on this government of JPM, "if you think that your free not to that extent". [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Nakumbuka yule jamaa anaitwa Mwanzi1 akilia lia eti Uhuru ameitenga Tanzania wakati habari kama hizi ndio zinadhihirisha Tanzania yenyewe inavyojitenga na kuwa na double standard kwa majirani. Eti wanafunzi wa Rwanda wanalipa karo moja na wale wa Tanzania ilhali wa Uganda wanalipa zaidi.

Leo hii Mnyarwanda akitaka kuasfiri kuja Kenya au Mkenya kwenda Rwanda, ilmradi anayo kitambulisho cha taifa lake hana haja ya kuhangaika na passpoti.

Hivi majuzi tumekua na tukio la ovyo sana hapo Bongo, kuna shughuli fulani ya kikazi iliyokwama ghafla na ilihitaji mtaalam fulani kutokea Kenya aje kuifanyia kazi. Tatizo jamaa alikua na matatizo na paspoti yake, ikawa hawezi kuingia Tanzania maana hata akipewa temporary passport Kenya lakini kule Tanzania hawampi business permit au CTR.
Good. We dong need cheap labour this side.
 
Middle income country inafuata nini kwenye nchi ya dunia ya tatu?
 
Back
Top Bottom