Tanzania insists EAC citizens MUST use passports to enter Tanzania


Duuu aisee hiyo story ya DHL si kweli. Maana hao wangeswekwa rupango. Hajui hata kiswahili halafu ana kadi ya NEC. Hapo njoo tena.
 


What do yo mean when you say waswahili.
Mbona hizo VoIP watu huzitumia kama whatapp inavyotumika?
 
Kwa mtu anayejua kupiga mahesabu mapana hawezi kuongea unavyoongea, labda utakua wale wabongo wazamiaji wa kule Afrika Kusini kubeba mabox. Lakini kwa Watanzania wanaojitambua, wanatumia SADC/EAC kutanua kibiashara.
Sawa mkuu passport muhimu kama serikali yetu inavyotaka.
 


Hebu nionyeshe wapi nimetaja kwamba Wakenya hawapati shida wakati wa kufuata paspoti, unafaa ufahamu paspoti yetu ina hadhi sana na hupati kiulaini kama karanga barabarani. Wapo wanaoghushi na kufanya yao lakini wakikamatwa huwa ngoma.
Inaonekana uko busy kuchapa majibu bila kusoma maelezo husika, jikumbushe swali la pasipoti linatoka wapi. Limetokana na wewe kusema Wakenya na Wanyaranda wanajivunia kutumia vitambulisho vyao kutokana nchi moja kwenda nyingine. Sisi watanzania tunachohitaji ni pasipoti, ukija huku leta kibandiko chako ndio tutaelewane. Kama vibandiko vyenu vinanguvu kuliko vyingine hilo halutuhusu.
 
Tanzania haipelekwi kwa shinikizo la nchi nyingine, wala haijawai kulialia, kama raisi mstafu kikwete aliwakomesha mlipozuia magari ya utalii kuingia airport mpaka mkaomba suluhu.
I'm even not imagine on this government of JPM, "if you think that your free not to that extent". [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Good. We dong need cheap labour this side.
 
Middle income country inafuata nini kwenye nchi ya dunia ya tatu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…