Sawa kabisa. Tz ni low IQ monkeys
Tanzania ilibidi tuwe namba moja,...
Hizi takwimu walizipata kwa kupima marais.Nina uhakika na hili kabisa
Wametumia vigezo vip kupata matokeo?
Hizi takwimu wanazipataje? wanachaguaje sample space zao?
hapo ni ugomvi wa kisiasa kwani nchi zote ziliorodhoshwa hapo zinaugomvi na mataifa ya magharibi
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="bgcolor: #54D427, colspan: 3"]Countries With The Lowest Average IQ[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]1[/TD]
[TD]Equatorial Guinea[/TD]
[TD]59[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]2[/TD]
[TD]Ethiopia[/TD]
[TD]63[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3[/TD]
[TD]Sierra Leone[/TD]
[TD]64[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]4[/TD]
[TD]Democratic Republic of the Congo[/TD]
[TD]65[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5[/TD]
[TD]Zimbabwe[/TD]
[TD]66[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5[/TD]
[TD]Guinea[/TD]
[TD]66[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]7[/TD]
[TD]Nigeria[/TD]
[TD]67[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]8[/TD]
[TD]Ghana[/TD]
[TD]71[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]9[/TD]
[TD]Tanzania[/TD]
[TD]72[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]9[/TD]
[TD]Sudan[/TD]
[TD]72[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR="class: etags"]
[TD]Tags:
[h=2]statistics on IQ ? which country has the highest average IQ ? what contry has the lowest average IQ ? number of countries with an IQ above 100 ? what is the average IQ in the US united states american average IQ ? china average IQ ? japan average IQ ? average IQ by demographics[/h][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Reference
Countries with the Highest / Lowest Average IQ | Statistic Brain
Wasingekua wameitendea haki bongo kama wangeiacha,inastahili kwa kweli.mambo mengi wamekua wakituonea wanatuweka wa 129 kwa mfano fifa nk lakini hili hata wenyewe wamekubali tumewashinda,wametubania mda mrefu sana ila sasa nyota yetu imeng'aa.MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI.
Hizi takwimu wanazipataje? wanachaguaje sample space zao?
Kama wametumia kigezo cha mfalme basi tulipaswa tuwe wa kwanza kwa IQ ndogoWameangalia hotuba za M'kwere kisha wakaangalia na namna yake ya kujibu maswali. Wakaangalia namna anavyopotoshwa kila siku na wasaidizi wake.
Wakasema baaaaasi, yatosha......
Huyu ndio mwenye akili zaidi kuliko mtu yeyote nchini mwake. Waliompigia kura wana zero IQ