Tanzania IQ ranking - amongst world's lowest but over Rwanda, Cuba, Ethiopia, Malawi etc

Tanzania IQ ranking - amongst world's lowest but over Rwanda, Cuba, Ethiopia, Malawi etc

Wanaingia JF wanatazama tunavyojibizana kijinga humu, hususan mada za kijinga za bavichaa, halafu wanajuwa kuwa sote IQ zetu ni kama bavichaa.

hivi una habari mjomba makaburi kauwawa?.
 
hivi una habari mjomba makaburi kauwawa?.

Pweza hujipalilia mkaa mwenyewe akichomwa. Kenya walishauwasha moto zamani, tatizo wanaendelea kujipalilia mkaa, hakuna amani tena huko. You know why? the curse of oil.

Wamepata oil nyingi sana, nyingine ni ya kuwaibia Somalia, fedha zote watazifanyia nini? lazima watafutiwe sababu ya kuzitumia haraka haraka kama zinavyoingia, njia rahisi? silaha.

Fikiri.
 
Pweza hujipalilia mkaa mwenyewe akichomwa. Kenya walishauwasha moto zamani, tatizo wanaendelea kujipalilia mkaa, hakuna amani tena huko. You know why? the curse of oil.

Wamepata oil nyingi sana, nyingine ni ya kuwaibia Somalia, fedha zote watazifanyia nini? lazima watafutiwe sababu ya kuzitumia haraka haraka kama zinavyoingia, njia rahisi? silaha.

Fikiri.

Chuki zako zitakufikisha pabaya weye.

Nyie hata Kagame kawa:loco:shinda
 
Vigezo vilivyotumika ni kuangalia ukubwa wa nchi geographicaly, kisha kuangalia rasili mali zilizopo katika hiyo nchi kisha wanalinganisha na hali ya maisha wanayoishi wananchi wa nchi husika kama yanaendena na hali ya nchi.
Mfano tanzania tuna rasilimali nyingi lakini wananchi wake wengi ni masikini wa kutupwa.

DRC ni nchi kubwa sana na ina madini aina nyingi sana lakini wananchi wanaishi katika umasikini wa kutupwa.

ni lazma kuna kitu hakipo sawa kwa IQ za wananchi husika.

DRC ndio mwisho wa matatizo, wale watu hata kulima hawalimi, ardhi yao ina rutuba lakini wao wavivu wa kutupwa.
Niliangalia documentaary fulani wengi wao wanawinda nyani kwa ajili ya chakula mpaka kuna baadhi ya aina ya nyani wanaanza kutokomea.
 
mkuu huhutaji kutumia nguvu nyingi sana ktk hili.ukiangalia tu IQ ya mkuu wa nchi na cabinet yake unapata jibu la nchi nzima.

Usisahau kuangalia pia akili za waliowapigia kura. Kama viongozi IQ ndogo maana yake IQ za wapiga kura ni ndogo zaidi.
 
Jamani kuna miafrika mijinga jamani! hehehe mimi mpaka huwa naishia kucheka tu. Sikiliza conversation zetu kwenye mabasi, bungeni e.t.c. utabaki unastaajabu na usipostaajabu well it goes to prove my case again.

Aisee umenichekesha sana. Ila ulichokisema hapo mimi nimekuwa nikikisema humu tokea hii forum ilipoanzishwa.

Na hata kabla hii haijaanzishwa, kitu hicho hicho nilikuwa nikikisema huko kwingine.

Mtu huhitaji kuwa genius kujua kuwa sisi akili zetu, kwa wastani, ni duni sana. Angalia tu tunavyoishi, basi! Siyo rocket science hata kidogo.

Nafurahi pia kuona sasa walau kuna watu wameanza kukubaliana nami.
 
Tanzania ndo ya kwanza kwa utabulalasa
 
Kuna uhusianao mkubwa sana baina ya IQ za watu na raslimali zilizoko katika mazingira yao ya asili; aadhani Mungu hawezi kukupa vyote li kuweka balansi duniani. Nchi kama Japan, Korea, Hongkong, Taiwan na Singapore zisizokuwa na raslimali ni lazima utakuta watu wake wana IQ kubwa sana kuliko nchi zenye raslimali nyingi kama uarabuni na Tanzania kwa sababu watu wenye raslimali hudhani wako entilded kwa mambo mengi wala huwa hawatakai kuhanganisha bongo zao kufanya kazi. Ndiyo maana watu wa kuja wakiingia Tanzania muda mfupi tu wanatajairika na kuwa wa kuogopwa kama yule jamaa aliyetoka India akaja kuiba pesa za umma na bado akawatukana wabunge kuwa yeye alikuja na ubongo.
 
Aisee umenichekesha sana. Ila ulichokisema hapo mimi nimekuwa nikikisema humu tokea hii forum ilipoanzishwa.

Na hata kabla hii haijaanzishwa, kitu hicho hicho nilikuwa nikikisema huko kwingine.

Mtu huhitaji kuwa genius kujua kuwa sisi akili zetu, kwa wastani, ni duni sana. Angalia tu tunavyoishi, basi! Siyo rocket science hata kidogo.

Nafurahi pia kuona sasa walau kuna watu wameanza kukubaliana nami.

Wacha kujifagiliya weweee.
 
hapo ni ugomvi wa kisiasa kwani nchi zote ziliorodhoshwa hapo zinaugomvi na mataifa ya magharibi

TZ ina ugomvi gani na hizo nchi? Kwa Tz wako sahihi kabisa tena wangeiweka ya kwanza
 
Back
Top Bottom