Tanzania IQ ranking - amongst world's lowest but over Rwanda, Cuba, Ethiopia, Malawi etc

Tanzania IQ ranking - amongst world's lowest but over Rwanda, Cuba, Ethiopia, Malawi etc

Kweli kabisa,ndio maana Nina mpango wa kuhama nchi tehe tehe tehe
 
Ni walewale tunaoambiwa kuna maombezi mgonjwa akapona , kiwete akatembea vipofu wakaona, kikombe cha Babu wa Loliondo kinaponya tukakimbilia huko. Watu wanapiga mshiko wanasepa hatujifunzi tuu.
Ilhali mahospitali yamejaa wagonjwa na vilema wanahangaikia nafasi chache za tiba bila mafanikio.
 
Ni walewale tunaoambiwa kuna maombezi mgonjwa akapona , kiwete akatembea vipofu wakaona, kikombe cha Babu wa Loliondo kinaponya tukakimbilia huko. Watu wanapiga mshiko wanasepa hatujifunzi tuu.
Ilhali mahospitali yamejaa wagonjwa na vilema wanahangaikia nafasi chache za tiba bila mafanikio.

"tumerogwa" si bure.

watu wale wale wa kutoka kule kule na kundi lile lile lenye akili zile zile - leo wanatuambia eti wanatuletea mabadiliko, wanasafisha uozo, nk.

sijui kubadili kilichoharibiwa na nani? au kuondoa uozo ulioletwa na nani?

nilikuwa nashangaa kwa nini hatukai tukajiuliza yote haya - kumbe sababu ni kuwa IQ yetu iko ICU!!
 
mjerumani alileta kontena lililojaa viboko,akapiga sana ndipo mambo yakaenda.

muingereza aligoma kupewa tanganyika,aliona mzigo wa kuongoza watu wenye akili za chini sawa na mandondocha

umoja wa mataifa wakamuomba muingereza akubali tu kuiongoza tanganyika kwa kuweka mazingira ijitawale
 
Kwa kuiweka CCM madarakani kwa miaka yote hiyo bila kufanya cha maana pamoja na rasimali tulizo nazo,nikirejea kwamba kila watanzania 4,1 ni kichaa nahitimisha kwamba hata hiyo nafasi ya 72 kwa IQ wametupendelea sisi ni wa mwisho,wakarudie utafiti wao.

namna ulivyo andika hapa nazidi kuthibitisha kwamba our everage IQ ni 72
 
C:\Users\TPA21\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image002.gif
Uganda 84

C:\Users\TPA21\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image004.gif
Kenya 80

C:\Users\TPA21\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image006.gif
Democratic Republic of the Congo 78

C:\Users\TPA21\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image008.gif
Tanzania 72

C:\Users\TPA21\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image010.gif
Rwanda 70

C:\Users\TPA21\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image012.gif
Burundi 69

Ethiopia 69

we need to change mode of living
 
namna ulivyo andika hapa nazidi kuthibitisha kwamba our everage IQ ni 72
Wewe ulivyoongeza hiyo comment,sasa nazidi kuhakiki kwamba sisi hata nafasi ya mwisho hatusitahili.Hence proved kila kwenye kundi la watanzania 4 kuna mwendawazimu asiyepungua 1.
 
Does it get any crazier than labeling someone as a devil when (s)he is wearing a green shirt but labeling that same person as an angel when (s)he is wearing a black shirt? I think no IQ test can possibly be administered under such circumstances!
 
Back
Top Bottom