Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni walewale tunaoambiwa kuna maombezi mgonjwa akapona , kiwete akatembea vipofu wakaona, kikombe cha Babu wa Loliondo kinaponya tukakimbilia huko. Watu wanapiga mshiko wanasepa hatujifunzi tuu.
Ilhali mahospitali yamejaa wagonjwa na vilema wanahangaikia nafasi chache za tiba bila mafanikio.
Thou south ni worse than north,plz crosscheck ili tupige mahesabu yetu vizuriNorth......
Kwa kuiweka CCM madarakani kwa miaka yote hiyo bila kufanya cha maana pamoja na rasimali tulizo nazo,nikirejea kwamba kila watanzania 4,1 ni kichaa nahitimisha kwamba hata hiyo nafasi ya 72 kwa IQ wametupendelea sisi ni wa mwisho,wakarudie utafiti wao.
..this goes on to confirm the validity of the given ranking.I advise you to seek refuge in South Sudan.
Wewe ulivyoongeza hiyo comment,sasa nazidi kuhakiki kwamba sisi hata nafasi ya mwisho hatusitahili.Hence proved kila kwenye kundi la watanzania 4 kuna mwendawazimu asiyepungua 1.namna ulivyo andika hapa nazidi kuthibitisha kwamba our everage IQ ni 72
Poor you, and not us...this goes on to confirm the validity of the given ranking.
poor us!!