Ukianzia mpaka wa Horohoro Tanga mpaka Rorya Mara kuna ndugu wengi sana pande zote mbili za mpaka. Na wengi wanavuka mpaka bila kuchukuliwa taarifa zao.Kuna aina ya utalii unaitwa VFR ( Visiting Friends and Relatives)
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mambo ya uelewa wangu hayatakusaidia kitu, rudi kwenye mada.Ndugu uelewa wako unatia shaka sana. Nani alikwambia mpaka wa Kenya na Tanzania uko kwa akina "omera" peke yake?
Please, usituchekeshe, Kenya kuna SGR?, Kenya kuna Jobs?. Hahahahahahahahah.Watanzania wengi wanakuja kuiona SGR, Supehighway, Kuitumia JKIA wakielekea nchi za ulaya kuhepa Dictator Jiwe, Kubadilisha sarafu za dollars, kuiona Largest Port hapa EAC na kutafuta Kazi vile kwa ******** vyuma vimekaza.
SGR yenu iikwama la sivyo weka Picha za 2019 ππ Halafu swali langu la drimulaina kusafirisha nyama ni Kweli?? ππPlease, usituchekeshe, Kenya kuna SGR?, Kenya kuna Jobs?. Hahahahahahahahah.
Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara, omba omba, kuhudumiwa pande ya afya N.k
Biashara, omba omba, kuhudumiwa pande ya afya N.k
Wakenya wapo zaidi ya millions 40 wewe unawajua wakenya wangapi na wawapi?Mambo ya uelewa wangu hayatakusaidia kitu, rudi kwenye mada.
Btw, Endelea kuwaimbia hao nyang'au...huwajui wakenya vizuri wewe!
Sana sana tokea Tanga na Subawanga.