Gari za jirani zetu K[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1644082
Hiyo imetenezwa na mtu binafsi mtu wa kuchomelea tu bila ujuzi wowote wa manufacturing kutoka mikoani na serikali ya mkoa wake ikaamia kumpa support sisi ni inovation kila upande[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1644082
Tanzania is bottom in everything, they only lead when it comes to poverty[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kenya is the second most innovative in sub-Saharan Africa, behind South Africa and ahead of Mauritius, according to the World Intellectual Property Organisation’s Global Innovation Index 2019.
Ease of doing business ranking (EAST AFRICA)
1. Kenya — Rank 56
2. Uganda — Rank 116
3. Tanzania — Rank 141
The number of East Africa startups raised $1,000,000+ in 2019
1. Kenya — 17
2. Uganda — 6
3. Tanzania — 1
#Kenya and #Rwanda are the only countries in the East African Community (EAC) which have Regulatory Sandboxes Source;
World Bank 2020
Labda kama hujui maana ya mada uliyoileta wewe mwenyewe.Hiyo imetenezwa na mtu binafsi mtu wa kuchomelea tu bila ujuzi wowote wa manufacturing kutoka mikoani na serikali ya mkoa wake ikaamia kumpa support sisi ni inovation kila upande
Yeah Kama fundi wa mtaani wanaweza teneza gari Ina maaana inchi Ina ubunifu mwingi. Unaeza angalia mobius 2 gari za kenya zenye zimetemezwa main streamlabda kama hujui maana ya mada uliyoileta wewe mwenyewe.
ubunifu,ndio maana halisi ya ulicholeta.
huyo pia anaongeza namba za wabunifu mliopo nao kenya.
Hii ni sahihi maana huwezi kushabikia Tundu Lissu ukawa innovator hata kidogo. Angalia vijana akina Salary Slip Retired Sky Eclat baadala ya kukaa na kuwaza innovation wao oh Tototundu, na kuandika visredi vya kupinga JPM lini watakuwa innovators muda wanao?Kenya is the second most innovative in sub-Saharan Africa, behind South Africa and ahead of Mauritius, according to the World Intellectual Property Organisation’s Global Innovation Index 2019.
Ease of doing business ranking (EAST AFRICA)
1. Kenya — Rank 56
2. Uganda — Rank 116
3. Tanzania — Rank 141
The number of East Africa startups raised $1,000,000+ in 2019
1. Kenya — 17
2. Uganda — 6
3. Tanzania — 1
#Kenya and #Rwanda are the only countries in the East African Community (EAC) which have Regulatory Sandboxes Source;
World Bank 2020
Hiyo imetenezwa na mtu binafsi mtu wa kuchomelea tu bila ujuzi wowote wa manufacturing kutoka mikoani na serikali ya mkoa wake ikaamia kumpa support sisi ni inovation kila upande
Hata ningeweka Zote rwanda tu ndio inchi iliyokua mpinzani kwa ubunifu na mikakati ya serikali inayo wezesha vijana kubuni na kuregister and patent innovation zao. Ni kenya halafu rwandaNaona umeweka vipengele viwili kati ya zaidi ya 80...ha ha ha....pambaneni na covid 19 Tanzania inasonga mbele
Sio inchi, usituharibie lugha yetuHata ningeweka Zote rwanda tu ndio inchi iliyokua mpinzani kwa ubunifu na mikakati ya serikali inayo wezesha vijana kubuni na kuregister and patent innovation zao. Ni kenya halafu rwanda
Mbele wapi? Waziri anashindwa kusoma kiapoNaona umeweka vipengele viwili kati ya zaidi ya 80...ha ha ha....pambaneni na covid 19 Tanzania inasonga mbele