Tanzania is behind, Kenya, Uganda and Rwanda in East Africa innovation

Tanzania is behind, Kenya, Uganda and Rwanda in East Africa innovation

Shida yako ni nini?

Nimekuja America kufanya mambo yangu,ni Mtanzania,kuja America ndio kunaniondolea haki yangu ya kua Mtanzania?

Tunapiga kura Embassy kila mwaka,mimi kua America kunakufanya unitolee maneno ya kibaguzi namna hii?

Nani anakosoa na yupo hapo hapo na yupo verified kwenye social media?

Nimekuomba mtaje hutaki

Idriss Sultan...jailed kwa katuni
Maria.....amefilisiwa
Fatuma...amefilisiwa
Masudi...kidnapped akaachiwa

Nani alieyopo verified kwenye platform yeyote anakosoa mapungufu yaliyopo ya hii serikali bila kutishiwa maisha yake?

Mtaje jina hapa tuwe wawazi!

Acha kutuzengua wewe


Hujaishi America,huo ujinga umeujulia wapi?

Utasikia CNN....kula CNN basi

Hakuna free country like America,I wish my country is like America,I wish!

The only country you can come and let your merit make you succeed sio CCM!


Wewe unaijua Kenya zaidi ya wanadamu wote?

Nani kakwambia wewe unaijua Kenya zaidi yangu au yule au fulani?

Wewe hicho cheo nani kakupa kwamba u know Kenya mpaka uweze ku-put others under the bus namna hii?


Ugomvi binafsi namjua?Simjui,sijwahi muona popote,simfahamu personally

Nina ugomvi na kukoswa maarifa kwake kunako-tucost mpaka leo hadi kesho hadi milele

Thats my beef!
sina shida yoyote.

ndugu una hasira na uchungu mpaka hufikiri kwa utulivu,wapi nimesema naijua kenya na marekani kukuzidi wewe???huko marekani mnakomilikiswa mpaka ak 47 ndiko kwenye uhuru wa mfano.hilo hatuna shida nalo kaa utulie huko.

hao watu wote uliowataja,sijui wamefungwa gereza gani hapa tanzania,ndio kwanza wanaendelea kukosoa kwa raha zao.

humjui magufu wala hujawahi kukutana naye,unaishi na unashiriki kukosoa mtu na serikali yake kwa kusikia kwa watu!!!wewe binafsi umeshakumbana na madhira yake au serikali yake lini??na kwanini??
 
Maerikani tunatafuta maisha siwezi kukimbia kwetu 100% japo ni kubaya

Unajifanya kusema "Unajifanya unaijua Kenya sana" as if wewe ndio unaijua zaidi ndio maana nikakuuliza uhalali wako wa wewe kuijua zaidi ya sisi binadamu wengine upo wapi utuonyeshe?

Nitulie huku au popote pale duniani mimi bado Mtanzania na nina haki zote na ninapiga kura embassy yeyote,wewe kuniambia nitulie tu huku nilipo eti nisiongee lolote kuhusu nchi yangu ni namna fulani ya suppression unaleta hapa!

Yaani eti kwavile nipo nje ya mipaka ya TZ for now eti sina haki ya kuongelea chochote kuhusu Tanzania as if mimi sio raia na mzaliwa wa hiyo nchi yaani?

Una vituko sana..

Hii tabia mbovu sana ya kudharau Watanzania waliokuja nchi za nje kwa kazi mbalimbali eti hawana haki ya kuongelea nchi yao wao wenyewe ni namna fulani ya bigotry unataka kuonesha hapa...

Tuna haki wote kwa pamoja na tupo nchi huku kwa kazi mbalimbali legitimate...


Wote wamefilisiwa,kampuni zao zimefungwa na kunyang'anywa leseni,uwongo?

Wanakosoa,wapo willing wapoteze mali zao zote,na zimechukuliwa na nyie,ila hawanyamazi,sasa hivi mnawatafutia sababu zingine

ugumu ni sababu tu walao ni watoto wa wakubwa wenzenu..

Idriss was not so lucky,alifungwa na kesi mpaka leo haijaisha,kuna waliopotezwa kabisa mpaka leo hawapo kama Saanane,kuna waliopewa kesi eti za madawa ya kulevya,etc

Jela wamejazana kibao,yaani as if tunaopinga huu uongozi tutaunga mkono uongozi,mnafeli sana....

Watu ndio kwanza wanatumia VPN,kila siku Kigogo wanawalaza matumbo joto...wanaongezeka kila siku,hamuwezi wazuia

Cha ajabu hadi Twitter mmeblock,machoshindwa kujua ni kua 90% ya twitter users wanaingia na VPN including nyie maCCM

Yote hii ni weak leadership inajaribu kuficha matako watu wasione ilivyojiharishia...badala ya kwenda kunawa na kuhakikisha ni msafi unaishia kufungia hadi mitandao,what a loss!

nimeuliza madhira yako binafsi na serikali hii uliyowahi kuyapata ni yapi!!!au nawewe unafuata upepo???

hakuna aliyefilisiwa,labda pia unhesema walikuwa na vitu gani na ni kwa namna gani wamefilisiwa.
huyu kipanya yupo na anaendelea na taaluma yake kama kawaida.
idriss sijui hata yeye kama ana uoga na kesi isiyo na kichwa wala miguu,ila wewe unaiogopa.

leo hii lema kakimbia nchi kwa sababu kama zenu hizi,ila ajabu utashangaa 2021 kabla kwisha amerudi bila kuhakikishiwa usalama si na polisi wa mgambo wa kea,kama alivyofanya bob lissu.

unawezakuwa na hoja za msingi katika kukosoa,ila zikichanganywa na hasira,siasa,na chuki zinakosa mvuto,muulize lissu ana picha kamili.View attachment 1647987
Screenshot_20201212-131252__01.jpg
 
Nina familia ya watu zaidi ya 1000 wanateseka Tanzania..those people are me,wanachoumia wao ni mimi

Usinitenganishe na ndugu zangu wanaonitegemea kila siku,ni damu yangu

Nikiumia mimi wameumia wao na wakiumia wao nimeumia mimi

Usiniletee stori eti wewe umeumia wapi sababu tu nipo America....

Kwavile nipo America,Tanzania sina mji?Sina makampuni?Sina mashamba?Sina ndugu?Silipi kodi?Sipigi kura?

Hivi Wewe ni maiti?


Wamefilisiwa,acha uongo na unafiki wewe


Alitekwa,kawa traumatized,hatoi katuni critical kama zamani anaogopa...hizi ni juu juu msichukie

Tayari mshamtisha,creativity iko mfukoni..

Stop this nonsense wewe

Uliongea na Idris akakwambia hiyo kesi anaiogopa au haigopi?

Wewe ni nani kumsemea Idriss?kakutuma?

Nani kakwambia mimi naiogopa hiyo kesi?Nimekuambia?Nimekutuma unisemee?

Kesi hua inapendwa?Tangu lini?

Yaani wewe upo hapa kuhalalisha kwamba alichofanyiwa Idriss ni halali na ni kitu kidogo tu,kakesi kadogo tu,hamna haja ya kuogopa kakesi kadogo tu....yaani liserikali linashika comedian anae express his artistic epxression na kumfunga na kumfungulia kesi isiyokua na kichwa wala mguu just kum-harass ni kama haki yenu fulani hivi?


Mimi nina sababu gani?

Nipo America kikazi,Lema kaenda canada kama mkimbizi na serikali ya canada imeona ushahidi wa lema ni sahihi na wa kweli ndio maana amepewa asylum

Unaongea as if asylum inatolewa kama pipi tu unaingia embassy ya canada au US unasema mimi natishiwa unapewa tu..Lazima u-prove kua ni kweli unatishiwa uweke vielelezo mbele ya hakimu wao,Lema aliweka wakaona ni kweli...

Unaongea as if Canada unaenda Embassy na matako yako unasema mimi mkimbizi wanakupa asylum to kama pipi....stop this nonsense wewe mtu!

Lema atakaa popote pale kama asylum seeker na siku yeyote akiona anaweza kuja salama bila shida anaweza kuja,hata kesho..ni haki yake kuja au kutokuja

Wewe unampangia 2021 kama nani?Yeye kwa utashi wake akiona panafaa kwa usalama wake atakuja na ni haki yake kuja nchini mwake..sio kwa hiyari yako wewe

Bob Lissu ni nani?simfahamu...ongea vitu tunavyojua kwa pamoja,vitu unavyojua wewe pekee yako make sure unatuelimisha kwanza ili tukuelewe wote
hapa ni tz kijana wachana na tz ya twitter.
Screenshot_20201212-131252__01.jpg
 
Kwahiyo kwanini wachana na Twitter na sio JF au Instagram au Facebook,etc?

Kwanini "wachana na hapa TZ kijana"?

Kwanini Twitter ni haki yenu kuifungia?Hivi ni kwanini tupeni sababu?

Maana it does not make any sense Twitter is so scary to you people mpaka mnaifungia mnaogopa maoni msiyoyapenda that much?

Unatawala nini kama unaogopa maoni usiyoyapenda kiasi hicho?

nimekwambia wachana na maisha ya twitter,kuna maisha halisi ya watz.

twitter sio sehemu chakula cha mtz,ndio maama imefungiwa na bado unaweza kuipata.twitter wenyewe wamekili kupigwa ban tz lakini hawajaonyesha nia yoyote kuichukulia hatua tz,maana maisha yataendelea hata isipokuwepo habisa,tumia vpn uendelee kutumia twitter.
 
You are mis informed kenya under the new constitution of 2010 is devolutionised we have counties and county governments with there own governor a governor is like a president of a county with a full assembly and each and every county makes its own budget and governs itself meaning the whole of kenya develops even the north Eastern where nothing used to happen is now creating tourists sites moyale is a big town now hola is a desert but it now has development nobody cares about nairobi anymore... And how can tanzania be developing if when they build a bridge and flyover they claim that's development...
Interesting.
 
Back
Top Bottom