Tanzania is behind, Kenya, Uganda and Rwanda in East Africa innovation

sina shida yoyote.

ndugu una hasira na uchungu mpaka hufikiri kwa utulivu,wapi nimesema naijua kenya na marekani kukuzidi wewe???huko marekani mnakomilikiswa mpaka ak 47 ndiko kwenye uhuru wa mfano.hilo hatuna shida nalo kaa utulie huko.

hao watu wote uliowataja,sijui wamefungwa gereza gani hapa tanzania,ndio kwanza wanaendelea kukosoa kwa raha zao.

humjui magufu wala hujawahi kukutana naye,unaishi na unashiriki kukosoa mtu na serikali yake kwa kusikia kwa watu!!!wewe binafsi umeshakumbana na madhira yake au serikali yake lini??na kwanini??
 

nimeuliza madhira yako binafsi na serikali hii uliyowahi kuyapata ni yapi!!!au nawewe unafuata upepo???

hakuna aliyefilisiwa,labda pia unhesema walikuwa na vitu gani na ni kwa namna gani wamefilisiwa.
huyu kipanya yupo na anaendelea na taaluma yake kama kawaida.
idriss sijui hata yeye kama ana uoga na kesi isiyo na kichwa wala miguu,ila wewe unaiogopa.

leo hii lema kakimbia nchi kwa sababu kama zenu hizi,ila ajabu utashangaa 2021 kabla kwisha amerudi bila kuhakikishiwa usalama si na polisi wa mgambo wa kea,kama alivyofanya bob lissu.

unawezakuwa na hoja za msingi katika kukosoa,ila zikichanganywa na hasira,siasa,na chuki zinakosa mvuto,muulize lissu ana picha kamili.View attachment 1647987
 
hapa ni tz kijana wachana na tz ya twitter.
 

nimekwambia wachana na maisha ya twitter,kuna maisha halisi ya watz.

twitter sio sehemu chakula cha mtz,ndio maama imefungiwa na bado unaweza kuipata.twitter wenyewe wamekili kupigwa ban tz lakini hawajaonyesha nia yoyote kuichukulia hatua tz,maana maisha yataendelea hata isipokuwepo habisa,tumia vpn uendelee kutumia twitter.
 
Interesting.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…