Tanzania is building their second flyover as Nairobi is currently building their 50th one.

Tanzania is building their second flyover as Nairobi is currently building their 50th one.

Katika interchange rahisi kujenga ni hizi.. maana huhitaji kujenga madaraja marefu.. in short ukichukua madaraja yaliyojengwa pale Tazara unaweza kutengeneza kama hizi hata nne.

Hapo unahitaji space na rumps tu, na Daraja dogo.

Kwa wale ambao walikuwa hawajui, hii inaitwa cloverleaf interchange.

Tanzania hazipo nyingi kwa sababu ya space, lakini miji kama Mwanza na Mbeya wanaweza kujenga hii, Dar itabidi wavunje sana nyumba.
Hebu tuone picha za hizo cloverleaf interchange za Mbeya na Mwanza.
 
Tanzania is currently building a flyover in Dar es salaam using donation money, this is their second flyover allover the country and after mfugale flyover which was funded using grant money from Japan. On the other hand Nairobi alone has more than 50 flyovers, overpasses and interchanges combined and others are still under construction. This is an example of flyover which getting built right now. View attachment 1214688
Hii ni Flyover au Karavati😂😂😂😂
 
Halafu suala la ujenzi wa miundombinu linategemeana na mahitaji, na vilevile future ambayo imekuwa envisoned. Na wala siyo suala la kushindana, kwa maana kama unasema Nairobi ina Flyover (interchanges) 50 na Dar inazo 2, hiyo ni kutokana na mahitaji.

Huwezi kushindana kwenye miundombinu maana inaendelea kujengwa, Kwa mfano ukiangalia miundombinu ya Washington DC miaka ya 70 na 80 ilikuwa more superior ukilinganisha na Beijing. Lakini leo miundombinu ya Beijing kuanzia Airport mpaka Public Transit ni more superior kuliko ile ya Washngton DC.

Sawasawa na sisi, Nairobi imeanza kujenga interchanges muda mrefu, Mfano Waiyaki way ina madaraja mengi kuondoa uwezekano wa magari kukutana, unaweza kuendesha kuanzia Limuru mpaka Westlands pasipo kusimama, na hii barabara ni ya muda mrefu. At the same time Dar haikuwepo. In short kwa wakati huo haikuwa priority.

Kwenye public transportation, Dar ina better public transit kuliko Nairobi (hata ukiiondoa BRT), Mfumo wetu wa Daladala ni bora kuliko zile Matatu za Nairobi, na hiyo ndo maana pia wakazi wengi wa Nairobi wana magari binafsi au wanatembea kwa miguu maana usafiri wa umma si mzuri sana.

Kwenye planning, miundombinu yote ya Dar kwa sasa inajengwa kwa ku-consider Public Transport (hasa BRT), hata hizi interchange chache zinazojengwa (TAZARA wameacha njia pale katikati kwa ajili ya mabasi), Ubungo Interchange itakuwa na lanes za BRT, Barabara ya Bagamoyo (Moroco-Mwenge) na sasa hivi BRT Mbagala.

Nairobi sidhani kama mnafikiria suala ya mass transit katika miundombinu yenu. Otherwise msingepaka rangi Thika Highway.

Future ya cities sio flyovers bali ni public transit.
 
In terms of road infrastructure we are way ahead of our southern neighbours.
Itawachukua miaka ka 20 watufikie ata tukiacha kujenga barabara zingineView attachment 1217014View attachment 1217017
Kenya is ranked 60th globally & 7th in Africa. We have better roads than Egypt [emoji2][emoji2][emoji2][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484]
 
Kisumu highway
FB_IMG_1569603669559.jpeg
 
That is a diversion on a road is under massive expansion. Then wacha kujidanganya hapo sio Kisumu, infact the place is 3 hours from Kisumu.This is Homabay County.
This is the road under construction. It is an advance highway complete with interchanges connecting Kisii with Kisumu.hii ikimalizwa itakua one of the best in the country. emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484]
roadworks.jpeg
C_CPzrwWsAAMf51.jpeg
CzOYsUvXcAE5Rae.jpeg
CzOXg2bXUAAO4k3.jpeg
20294075_856730267823654_163024664826346652_n.jpeg
CzOYP8xXEAABe6u.jpeg
 

Attachments

  • VaqFJB7.jpeg
    VaqFJB7.jpeg
    71 KB · Views: 17
You can’t compare Tanzania and Kenya on infrastructure issue.Kenya is better than Sisi .Japo Kwa Sasa tunaongeza bidii kuliko Kenya.
 
Tanzania is currently building a flyover in Dar es salaam using donation money, this is their second flyover allover the country and after mfugale flyover which was funded using grant money from Japan. On the other hand Nairobi alone has more than 50 flyovers, overpasses and interchanges combined and others are still under construction. This is an example of flyover which getting built right now. View attachment 1214688
Kama ndio hizi endeleeni kujenga tu
 
Back
Top Bottom