Tanzania isiwe na vazi moja tu la Taifa, tuwe na mavazi rasmi matano kutoka katika makabila yetu

Mama yetu Rais Samia ametoa pesa nyingi sana kwa ajili ya miradi mizuri ya maendeleo. Mungu mpe afya njema shujaa huyu
Viongozi wa bara la Ulaya na Asia kama vile Waziri mkuu wa India Narendra anamkubali sana Rais Samia
 
Asante Samia umejua kuwatumikia Watanzania 2025 tutakupa kura zote.
Rais Samia hata asingepiga kampeni mwaka jana 2020 ushindi ulikuwa ni 90%. Rafiki zetu wa CHADEMA waliula wa chuya na hawakupata hata wabunge 5 tu.
 
Rais Samia hata asingepiga kampeni mwaka jana 2020 ushindi ulikuwa ni 90%. Rafiki zetu wa CHADEMA waliula wa chuya na hawakupata hata wabunge 5 tu.
Rais Samia Mungu amlinde sana mama yetu huyu kipenzi kutoka Zanzibar.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…