KazinjaTwo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2021
- 330
- 333
Ni aibu kubwa kumpinga Rais Samia kwa uzalendo anaouoneshaHata siku moja Rais Samia hapumzishwi wala kutishwa na wahuni wa mtandaoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni aibu kubwa kumpinga Rais Samia kwa uzalendo anaouoneshaHata siku moja Rais Samia hapumzishwi wala kutishwa na wahuni wa mtandaoni
Usimfananishe Rais Samia na watu wa hovyo hovyo aisee. Huyu mama ni mchapakaziNi aibu kubwa kumpinga Rais Samia kwa uzalendo anaouonesha
Samia tunataka maendeleo zaidi Rais wetu kipenzi. We love youUsimfananishe Rais Samia na watu wa hovyo hovyo aisee. Huyu mama ni mchapakazi
Rais Samia amekomesha rushwa na ufisadi. Hakika huyu mama ni shujaa wa TanzaniaSamia tunataka maendeleo zaidi Rais wetu kipenzi. We love you
Watanzania hatutaki siasa chafu wajifunze siasa safi za Samia hao WapinzaniRais Samia amekomesha rushwa na ufisadi. Hakika huyu mama ni shujaa wa Tanzania
Mkuu, mwambie Rais Samia kuwa Asante kwa bwawa la umeme la NyerereWatanzania hatutaki siasa chafu wajifunze siasa safi za Samia hao Wapinzani
Mama yetu Rais Samia ametoa pesa nyingi sana kwa ajili ya miradi mizuri ya maendeleo. Mungu mpe afya njema shujaa huyuMkuu, mwambie Rais Samia kuwa Asante kwa bwawa la umeme la Nyerere
Viongozi wa bara la Ulaya na Asia kama vile Waziri mkuu wa India Narendra anamkubali sana Rais SamiaMama yetu Rais Samia ametoa pesa nyingi sana kwa ajili ya miradi mizuri ya maendeleo. Mungu mpe afya njema shujaa huyu
Mbona chadema kama vile wanapanic? Ina maana hawapendi maendeleo anayoleta Rais Samia?Viongozi wa bara la Ulaya na Asia kama vile Waziri mkuu wa India Narendra anamkubali sana Rais Samia
Tunashukuru Tanzania tumepata Rais Mzalendo anayeipenda Nchi yake Samia oooyeeeeeeMbona chadema kama vile wanapanic? Ina maana hawapendi maendeleo anayoleta Rais Samia?
Rais Samia amejua kutupigania Watanzania Wish you all the best Madam PresidentTunashukuru Tanzania tumepata Rais Mzalendo anayeipenda Nchi yake Samia oooyeeeeee
Tumpongeze Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kwa kuzalisha wasomi wazalendo kama Rais Samia.Rais Samia amejua kutupigania Watanzania Wish you all the best Madam President
Kwa jinsi Rais Samia alivyopambana na corona atashinda kwa 100%Tumpongeze Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kwa kuzalisha wasomi wazalendo kama Rais Samia.
Wanaompinga Rais Samia ni mafisadi, majizi,wauza madawa ya kulevya na wapiga dili.Kwa jinsi Rais Samia alivyopambana na corona atashinda kwa 100%
Mabeberu yanatuonea wivu Maendeleo yanayoletwa na Rais Samia yanaumiza sana hawa wajinga wa chadema.Wanaompinga Rais Samia ni mafisadi, majizi,wauza madawa ya kulevya na wapiga dili.
Asante Samia umejua kuwatumikia Watanzania 2025 tutakupa kura zote.Mabeberu yanatuonea wivu Maendeleo yanayoletwa na Rais Samia yanaumiza sana hawa wajinga wa chadema.
Rais Samia hata asingepiga kampeni mwaka jana 2020 ushindi ulikuwa ni 90%. Rafiki zetu wa CHADEMA waliula wa chuya na hawakupata hata wabunge 5 tu.Asante Samia umejua kuwatumikia Watanzania 2025 tutakupa kura zote.
Rais Samia Mungu amlinde sana mama yetu huyu kipenzi kutoka Zanzibar.Rais Samia hata asingepiga kampeni mwaka jana 2020 ushindi ulikuwa ni 90%. Rafiki zetu wa CHADEMA waliula wa chuya na hawakupata hata wabunge 5 tu.
Ninavyojua Rais Samia anatembea kwenye viatu vya wazalendo kama mzee Kikwete na mwalimu Nyerere.Rais Samia Mungu amlinde sana mama yetu huyu kipenzi kutoka Zanzibar.
Rais Samia anafanya kazi kubwa sana mzalendo huyu.Ninavyojua Rais Samia anatembea kwenye viatu vya wazalendo kama mzee Kikwete na mwalimu Nyerere.