Tanzania isiwe na vazi moja tu la Taifa, tuwe na mavazi rasmi matano kutoka katika makabila yetu

Hawaelewei jinsi gani mavazi ya binadamu yanavyoingia katika jamii na kusamba.
Sijui ni elimu yetu imeporomoka kiasi cha kuzalisha watu wenye akili hizi au ni ushamba ulioganda watu kama ruba.
Ni kama unafunga uhuru wa maoni. Na maoni yangu ni halina maana na haliwezi fanikiwa abadani maana vazi halitafutwi. Ni auto tu, ninyi mnadhan Nigeria walitaguta vazi lao, au Rwanda?
 
Hawaelewei jinsi gani mavazi ya binadamu yanavyoingia katika jamii na kusamba.
Sijui ni elimu yetu imeporomoka kiasi cha kuzalisha watu wenye akili hizi au ni ushamba ulioganda watu kama ruba.
Punguza ushamba kijana
 
Mambo ya vazi la taifa ni ushamba wa kiwango cha juu.
Hamuelewei ni jinsi gani mavazi yanakuwa maarufu na kupendwa na watu hadi yanavaliwa na kila mtu bila hata kuamuliwa na vikao?
Sasa ndio umeandika nini?
 
Mambo ya vazi la taifa ni ushamba wa kiwango cha juu.
Hamuelewei ni jinsi gani mavazi yanakuwa maarufu na kupendwa na watu hadi yanavaliwa na kila mtu bila hata kuamuliwa na vikao?
Mkuu, kama vazi la taifa ni ushamba kwa maoni yako sawa ila kwa maoni yangu mimi na wengine huo sio ushamba hata kidogo.
 
Vazi linapaswa li emerge kutokana na tamaduni za watu husika siyo watu kubebeshwa mavazi wasiyoyajua. Ulipaswa kufanya utafiti wako vizuri kabla ya kuja na mada kama hizi. Najaribu kuwaza uwaambie wazee wa kichaga (na walivyo jeuri) wakavae mashuka ya kimasai yanayowafanya watembee makalio yakiwa wazi, hili haliwezekani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…