Tanzania isiwe na vazi moja tu la Taifa, tuwe na mavazi rasmi matano kutoka katika makabila yetu

Tanzania isiwe na vazi moja tu la Taifa, tuwe na mavazi rasmi matano kutoka katika makabila yetu

Kuna pande kuu nne za dunia mkuu. Mashariki, Magharibi, Kaskazini na Kusini. Hizo nyanda za juu kusini ni sehemu za kusini na hao kanda ya ziwa wangeitwaje kama kusingekuwa na hilo ziwa? Hao ni kaskazini tu mkuu.
Inawezekana ata shule hajaenda huyo mkuu
 
Nadhani hakuna kabila linalowakilisha jingine, mfano itamkwe kuwa vazi la Wagogo linawakilisha pia Wanyaturu, Wanyiramba au Warangi wakati si vazi lao. Pia mavazi ya Wamasai kuwakilisha Wachagga na Wapare wakati si mavazi yao.
Pia umetumia kigezo kipi kugawa kanda? hakuna Kanda ya Ziwa wala Kanda ya Nyanda za juu Kusini.

Anyway sidhani kuwa hii inaweza kuwa priority, labda kwa wabunifu wa mavazi iwe fursa.

Wengi wanavaa na tunavaa mitumba hasa jeans. Jeans ni kama vazi la taifa bila kulazimishana. Linatosha tu.
Sasa ndio umeandika nini hapa?
 
Mambo ya vazi la taifa ni ushamba wa kiwango cha juu.
Hamuelewei ni jinsi gani mavazi yanakuwa maarufu na kupendwa na watu hadi yanavaliwa na kila mtu bila hata kuamuliwa na vikao?
 
Back
Top Bottom