sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Kweli Mkuu.Tusipangiane na tusilazimishane timu ya kushabikia Kila kheri Cape verde
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli Mkuu.Tusipangiane na tusilazimishane timu ya kushabikia Kila kheri Cape verde
Mtani na wewe unaisemeaje hiyo game kesho?Kweli Mkuu.
Hahahahaaaaa. Na kweli Mkuu.Tusipangiane na tusilazimishane timu ya kushabikia Kila kheri Cape verde
Maximo alishawafunga hawa Cape Buffalo Taifa mwaka 2007 kama sikosei 3-1 kumbukeni vizuri.Naunga mkono hoja yako.We kweli hujui mpira na wala hujui motivation factors. Labda niulize swali, hatujawahi kucheza na timu kubwa na wachezaji wao wakiwa wanacheza timu mbali mbali za nje na tukitoka nao draw au walau kuwashinda? "
Mpira ni strategies na pia hata bahati hutumika kwani mpira ni makosa na hivyo kufungwa na kufungwa au draw ni sehemu ya mchezo.
Ushauri wangu mimi ni kuwa tuna wachezaji wa serengeti boys, wapo wengine wapo ulaya, wale ni wazuri na waliwahi kuifunga hapa misri bao 5 na baadae bao 3. Wana uzoefu na wamecheza sana mechi za ugenini na za kimataifa, walau wachache wao waanze kupewa nafasi ili kuimarisha timu kama ambavyo timu kubwa kubwa huwa na Academy zao na huchukua watoto kuwapandisha juu na wanafanya vizuri. Mfano kwa azam kuna kipa Aishi manula, shaban chilunda, yahaya zayd, na wengineo
Hata simba na yanga wamefany hvy hvyo. Na hata timu za nje nazo hufanya hvy hvyo.
Iwapo tutataka mteremko, wapo wachezaji wengi sana na wengine wanaamua kubadilisha uraia kutokn na kutokuitwa kuchezea timu ya taifa na tayari wengine ni tegemeo sana katika timu zao huko German, Canada, England, Italy na kwingineko, nenda YouTube na uweze kusearch. Ila sijui kwa TFF sijui wanaogopa gharama au la. Huo ndo ushauri. Tofauti na hapo hata Ferguson au kocha yoyote mkubwa aje bongo hatuwezi kwenda mbele maana wachezaji hao ni wale wale miaka nenda rudi ni mbwana samatta tu.
Pia Kocha mkuu hana Muda wa kufundisha timu kutokn na Muda anaopewa. Labda tufanye kama Uganda walivyoweza kuchukua watoto wadogo wakakaa nao kwa miaka miwili then wakawaleta kucheza na timu ya taifa hapa zanzibar, tukapigwa bao mbili sijui 3 hadi kanavaro akawanyooshea mikono.
TUWE WAZALENDO KWA TIMU YETU
Mtani kesho Taifa Stars hana pakutokea, atafungwa tu. Na mda 'mashabiki' wa Taifa Stars pressure ikipanda na kushuka.. Mimi nitakua makini na timamu nikiwafatilia CR7 wa Uganda, Okwi na Juuko Murshidi wakiiongoza Uganda dhidi ya Lesotho.Mtani na wewe unaisemeaje hiyo game kesho?
Hahahaaaa. Mtani kama kawaida yako na Okwi waki.Mtani kesho Taifa Stars hana pakutokea, atafungwa tu. Na mda 'mashabiki' wa Taifa Stars pressure ikipanda na kushuka.. Mimi nitakua makini na timamu nikiwafatilia CR7 wa Uganda, Okwi na Juuko Murshidi wakiiongoza Uganda dhidi ya Lesotho.
Hahaha.. Ni kweli kabisa mtani.. Mechi iliyopita Uganda waliwakung'unta Lesotho 3 kavu huku Okwi akiingia kambani mara 2.. Sasa hiyo kesho kuna hatari Lesotho akapigwa 5 huku Okwi akiondoka na mpira wake.Hahahaaaa. Mtani kama kawaida yako na Okwi waki.
Ila fuata vile moyo wako utapata furaha Mtani ya nini kuhangaika na timu ya kutupa presha kila kukicha.
Duuh! Mtani nanihamasisha na mie niicheck hiyo game.Hahaha.. Ni kweli kabisa mtani.. Mechi iliyopita Uganda waliwakung'unta Lesotho 3 kavu huku Okwi akiingia kambani mara 2.. Sasa hiyo kesho kuna hatari Lesotho akapigwa 5 huku Okwi akiondoka na mpira wake.
Tarehe: 16/10/2018Duuh! Mtani nanihamasisha na mie niicheck hiyo game.
Inachezwa saa ngapi hiyo kesho?
Napata tabu sana na kizazi hiki..Waganda wamewafunga Cape Verde kwao kwani wanawachezaji wangapi Ulaya....Zambia ilipowafunga Ivory Coast fainali ya AFCON na kuchukuwa ubingwa walikuwa wana wachezaji wangapi Ulaya????Tumeshawahi kuwafunga Morocco goli tatu kwa mchina...MWAKA 2000 CAPE VERDE ilikuwa namba 182
Miaka kumi tu.. wapo nafasi ya 67
Bado huamini kuwa wapo juu yetu sasa ona maajabu yafuatayo hapa chini
KIKOSI cha sasa cha CAPE VERDE
na TANZANIA
1.THIERY GRACA
anacheza ligi kuu ya Ureno klabu ya Estril
AISHI MANULA
Simba
2.STOPIRA
anacheza videoton
Wanashiriki Europe league walifungwa 1:0 kwa tabu sana na Chelsea pale Darajani
2.KESSY
Nkana Red Devils Zambia
3.FERNANDO
anacheza PAOK salonike wanashiriki Europe league
3.Gadiel michael
Yanga
4.ALMEIDA
anacheza uniao madeira Ureno
4.MWANTIKA
Azam
5:NUNo ROCHA
Anacheza Tosno ya ligi one Urusi
5:AGREY
AZAM FC
6:JANILO
Anacheza HERACLES ligi kuu ya Uholanzi
6.Abdi BANDA
BARoka fc LIGI KUU YA SAPL
7:CARLos
Anacheza Aves ligi kuu Ureno
7:Himid Mao
Petrojet ligi kuu ya Egypt
8:Tavales
Mchezaji tegemeo wa DIJON ya ligi kuu ya UFARANSA
8:MUDATHIRI
AZAM
9:ZE LUIS
Anacheza SPARTAK MOSCOW ya ligi kuu ya URUSI na wanacheza EUROPE LEAGUE
9: ULIMWENGU
LIGI KUU YA SUDAN
10: GARY RoDRIGUEZ
Straika tegemez wa GALATASARAY ya Uturuki wanashiriki UEFA
10:SAMATA
GENK .. EUROPE LEAGUE
11:KUCA
Anacheza Boavista ligi kuu Ureno
11:MSUVA
Difaar Hasan Al Jaadid ligi kuu ya Morocco
hawa ni wachezaji 11 wa pande zote mbili...sasa Hivi kweli bado unamlaumu Amunike kwa kipigo cha juzi...???
Eti kamuacha mkude,kichuya,nyoni,yndani,
Hebu tuweni na AIBU ukweli ni kuwa hatuna wachezaji wa kutupa matokeo chanya yenye muendelezo MPIRA NI SAYANSI sio blah blah wenzetu wanawekeza sisi tunasubiri miujiza
Tusubiri kwanza mpaka tutakapo amua kuwa serious...hii ni kwa yule binti ambae alisema Cape Verde ni wa kawaida *SAAAANA*