Tanzania itapigwa tena na Cape Verde

Tanzania itapigwa tena na Cape Verde

Aaron Arsenal

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2014
Posts
24,501
Reaction score
28,711
MWAKA 2000 CAPE VERDE ilikuwa namba 182
Miaka kumi tu.. wapo nafasi ya 67

Bado huamini kuwa wapo juu yetu sasa ona maajabu yafuatayo hapa chini

KIKOSI cha sasa cha CAPE VERDE
na TANZANIA

1.THIERY GRACA
anacheza ligi kuu ya Ureno klabu ya Estril

AISHI MANULA
Simba

2.STOPIRA
anacheza videoton
Wanashiriki Europe league walifungwa 1:0 kwa tabu sana na Chelsea pale Darajani

2.KESSY
Nkana Red Devils Zambia

3.FERNANDO
anacheza PAOK salonike wanashiriki Europe league

3.Gadiel michael
Yanga

4.ALMEIDA
anacheza uniao madeira Ureno

4.MWANTIKA
Azam
5:NUNo ROCHA
Anacheza Tosno ya ligi one Urusi

5:AGREY
AZAM FC

6:JANILO
Anacheza HERACLES ligi kuu ya Uholanzi

6.Abdi BANDA
BARoka fc LIGI KUU YA SAPL

7:CARLos
Anacheza Aves ligi kuu Ureno

7:Himid Mao
Petrojet ligi kuu ya Egypt

8:Tavales
Mchezaji tegemeo wa DIJON ya ligi kuu ya UFARANSA

8:MUDATHIRI
AZAM

9:ZE LUIS
Anacheza SPARTAK MOSCOW ya ligi kuu ya URUSI na wanacheza EUROPE LEAGUE

9: ULIMWENGU
LIGI KUU YA SUDAN

10: GARY RoDRIGUEZ
Straika tegemez wa GALATASARAY ya Uturuki wanashiriki UEFA

10:SAMATA
GENK .. EUROPE LEAGUE

11:KUCA
Anacheza Boavista ligi kuu Ureno

11:MSUVA
Difaar Hasan Al Jaadid ligi kuu ya Morocco

hawa ni wachezaji 11 wa pande zote mbili...sasa Hivi kweli bado unamlaumu Amunike kwa kipigo cha juzi...???

Eti kamuacha mkude,kichuya,nyoni,yndani,

Hebu tuweni na AIBU ukweli ni kuwa hatuna wachezaji wa kutupa matokeo chanya yenye muendelezo MPIRA NI SAYANSI sio blah blah wenzetu wanawekeza sisi tunasubiri miujiza

Tusubiri kwanza mpaka tutakapo amua kuwa serious...hii ni kwa yule binti ambae alisema Cape Verde ni wa kawaida *SAAAANA*
 
Acha wafungwe tu wapumbavu vichwa ngumu, sijui tatizo liko wapi sijui kwa uongozi sijui kwa wachezaji hata haileweki mda ote tokea star's imeanzishwa ni maumivu tu.
 
Yajayo hayafurahishi hata kidogo,hakuna cha Samatta wala mdogo wake Samatta,timu yetu ni butu butu butuuuuuuuuuuuuuu
 
MWAKA 2000 CAPE VERDE ilikuwa namba 182
Miaka kumi tu.. wapo nafasi ya 67

Bado huamini kuwa wapo juu yetu sasa ona maajabu yafuatayo hapa chini

KIKOSI cha sasa cha CAPE VERDE
na TANZANIA

1.THIERY GRACA
anacheza ligi kuu ya Ureno klabu ya Estril

AISHI MANULA
Simba

2.STOPIRA
anacheza videoton
Wanashiriki Europe league walifungwa 1:0 kwa tabu sana na Chelsea pale Darajani

2.KESSY
Nkana Red Devils Zambia

3.FERNANDO
anacheza PAOK salonike wanashiriki Europe league

3.Gadiel michael
Yanga

4.ALMEIDA
anacheza uniao madeira Ureno

4.MWANTIKA
Azam
5:NUNo ROCHA
Anacheza Tosno ya ligi one Urusi

5:AGREY
AZAM FC

6:JANILO
Anacheza HERACLES ligi kuu ya Uholanzi

6.Abdi BANDA
BARoka fc LIGI KUU YA SAPL

7:CARLos
Anacheza Aves ligi kuu Ureno

7:Himid Mao
Petrojet ligi kuu ya Egypt

8:Tavales
Mchezaji tegemeo wa DIJON ya ligi kuu ya UFARANSA

8:MUDATHIRI
AZAM

9:ZE LUIS
Anacheza SPARTAK MOSCOW ya ligi kuu ya URUSI na wanacheza EUROPE LEAGUE

9: ULIMWENGU
LIGI KUU YA SUDAN

10: GARY RoDRIGUEZ
Straika tegemez wa GALATASARAY ya Uturuki wanashiriki UEFA

10:SAMATA
GENK .. EUROPE LEAGUE

11:KUCA
Anacheza Boavista ligi kuu Ureno

11:MSUVA
Difaar Hasan Al Jaadid ligi kuu ya Morocco

hawa ni wachezaji 11 wa pande zote mbili...sasa Hivi kweli bado unamlaumu Amunike kwa kipigo cha juzi...???

Eti kamuacha mkude,kichuya,nyoni,yndani,

Hebu tuweni na AIBU ukweli ni kuwa hatuna wachezaji wa kutupa matokeo chanya yenye muendelezo MPIRA NI SAYANSI sio blah blah wenzetu wanawekeza sisi tunasubiri miujiza

Tusubiri kwanza mpaka tutakapo amua kuwa serious...hii ni kwa yule binti ambae alisema Cape Verde ni wa kawaida *SAAAANA*
We kweli hujui mpira na wala hujui motivation factors. Labda niulize swali, hatujawahi kucheza na timu kubwa na wachezaji wao wakiwa wanacheza timu mbali mbali za nje na tukitoka nao draw au walau kuwashinda? "

Mpira ni strategies na pia hata bahati hutumika kwani mpira ni makosa na hivyo kufungwa na kufungwa au draw ni sehemu ya mchezo.

Ushauri wangu mimi ni kuwa tuna wachezaji wa serengeti boys, wapo wengine wapo ulaya, wale ni wazuri na waliwahi kuifunga hapa misri bao 5 na baadae bao 3. Wana uzoefu na wamecheza sana mechi za ugenini na za kimataifa, walau wachache wao waanze kupewa nafasi ili kuimarisha timu kama ambavyo timu kubwa kubwa huwa na Academy zao na huchukua watoto kuwapandisha juu na wanafanya vizuri. Mfano kwa azam kuna kipa Aishi manula, shaban chilunda, yahaya zayd, na wengineo

Hata simba na yanga wamefany hvy hvyo. Na hata timu za nje nazo hufanya hvy hvyo.

Iwapo tutataka mteremko, wapo wachezaji wengi sana na wengine wanaamua kubadilisha uraia kutokn na kutokuitwa kuchezea timu ya taifa na tayari wengine ni tegemeo sana katika timu zao huko German, Canada, England, Italy na kwingineko, nenda YouTube na uweze kusearch. Ila sijui kwa TFF sijui wanaogopa gharama au la. Huo ndo ushauri. Tofauti na hapo hata Ferguson au kocha yoyote mkubwa aje bongo hatuwezi kwenda mbele maana wachezaji hao ni wale wale miaka nenda rudi ni mbwana samatta tu.

Pia Kocha mkuu hana Muda wa kufundisha timu kutokn na Muda anaopewa. Labda tufanye kama Uganda walivyoweza kuchukua watoto wadogo wakakaa nao kwa miaka miwili then wakawaleta kucheza na timu ya taifa hapa zanzibar, tukapigwa bao mbili sijui 3 hadi kanavaro akawanyooshea mikono.

TUWE WAZALENDO KWA TIMU YETU
 
mafanikio ya team yoyote ya taifa ni muendelezo wa team za vijana ,waangalie leo England wanatimu bora za .Hawa wanakuja kuchukua nafasi kwenye National Team,leo hii Ujerumani tutaanza kuawasahau kwenye mpira naona accademy zao haziotoi vijana wazuri wenye caliber ya Ozil,Boateng ...
Sisi tunao hawa watoto wa U17 Serengeti boys tuweke juhudi hapa watoto watafutiwe nafasi nje kuna vipaji vya hali ya juu,kuna viungo pale waupiga mwingi,kuna striker pale anaitea Kelvin John level ya dunia ..baada ya hapo sasa tutakua na team bora kabisa Africa
 
Back
Top Bottom