Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
Ndo mpambanaji wao huyo
Anakula kiyoyozi ubeligiji
Anakula kiyoyozi ubeligiji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo mwakyembe nae akaombe hifadhi ubelgiji?Kama ingelikua hajashambuliwa kwenye Ardhi yake na hakuna hatua zozote zilizochukuliwa ningeunga mkono hoja ya bandiko
#yuko wapi Mayalla
yes ale kiyoyozi maana mlimshindilia risasi za kutosha utasema mlikua mnaua tembo.Ndo mpambanaji wao huyo
Anakula kiyoyozi ubeligiji
Daudi Mchambuziyes ale kiyoyozi maana mlimshindilia risasi za kutosha utasema mlikua mnaua tembo.
Mwakyembe na Mangula huo mchezo wa ndani bibiyeKwa hiyo mwakyembe nae akaombe hifadhi ubelgiji?
Huyo kibaraka chizi Lissu alikuja hapa kwenye kampeni mwaka jana, akazurura mpaka manzese kwa mfuga mbwa, tandale kwa tumbo, kwa Ali maua, vingunguti, kiembembuzi, Mwanza Makoroboi, mabatini, Musoma bweri, butiama mpaka kwa mwalimu, mbona hakupigwa risasi?? huyo ni kibaraka wa mabeberu anapikwa kuja kugawa nchi kwa mabeberu na ndio maana wanakaa naye wanamlisha wanamvisha na kumkogesha kama mwari ili waje wamtumie. There is no free lunch in europe we broKama ingelikua hajashambuliwa kwenye Ardhi yake na hakuna hatua zozote zilizochukuliwa ningeunga mkono hoja ya bandiko
#yuko wapi Mayalla
cha msingi kaa umbali kabisa na watoto wako ili usijekuwaambukiza ujinga.Daudi Mchambuzi
uwezi amini
ali jishambulia mwenyewe kutafuta huruma ya watanzania yule asikudanganye mtu
Ogopa sana mtu anayetafuta dola kwa njia hiyo
Ufipa ndo werevu siocha msingi kaa umbali kabisa na watoto wako ili usijekuwaambukiza ujinga.
intaprinyuwaaa ndiyo mwerevu.Ufipa ndo werevu sio
Wahisani wa Umoja wa Ulaya walikinga kifua mbona mambo walikuwa hadharani kila mbabe ana mbabe wake bwasheeHuyo kibaraka chizi Lissu alikuja hapa kwenye kampeni mwaka jana, akazurura mpaka manzese kwa mfuga mbwa, tandale kwa tumbo, kwa Ali maua, vingunguti, kiembembuzi, Mwanza Makoroboi, mabatini, Musoma bweri, butiama mpaka kwa mwalimu, mbona hakupigwa risasi?? huyo ni kibaraka wa mabeberu anapikwa kuja kugawa nchi kwa mabeberu na ndio maana wanakaa naye wanamlisha wanamvisha na kumkogesha kama mwari ili waje wamtumie. There is no free lunch in europe we bro
Wakutukukaintaprinyuwaaa ndiyo mwerevu.
Kwa hiyo umekubali ni kweli kwamba kilichompata Tundu ulikua mchezo wa nje eee😅😅😅😅😅Mwakyembe na Mangula huo mchezo wa ndani bibiye
CCM ina Mauaji ya ndani yaani wao kwa wao sasa Lissu alikuwa auwawe lakini si mwanaCCM ndio point yanguKwa hiyo umekubali ni kweli kwamba kilichompata Tundu ulikua mchezo wa nje eee😅😅😅😅😅
Ndio maana hata namba2 alisema hakuna askari anaweza fanya walichofanya kwa Tundu, ni wahuni tuu ndio wanaweza fanya hivyo
Haya nimekuelewa
Wakati nchi nyingi za bara la afrika zimekuwa zikitia aibu na marais ambao wakichaguliwa aidha wanakaa nunusu kwa nusu Ulaya na nyumbani au kuamia kabisa Ulaya, Marekani au hata Falme za kiarabu na kuwa na miji huku na kuona hayo ni maisha ya kiongozi. Hii imekuwa aibu na fedhea sana kwa bara hili la Afrika ambalo wazungu walilialibu na kufanikiwa kuharibika.
Wakati haya yakienelea kutuongezea aibu kubwa pia linatokea lingine la mwaka katika nchi ya Watanganyika na Wazanzibari kwani tayari 2020 kupitia chama cha ukombozi, ambacho pia kiliwai kuwa chama kikuu cha upinzani TZ tulipata mgombea Urais mzalendo aliye beba ukombozi wa watanzania akitokea Ulaya. Taarifa za ndani kabisa za chama hicho ambazo zimevuja zinasema kuwa chama hicho bado kinamuandaa mleta ukombozi huyo na mzalendo kutoka Ulaya kuja kugombea tena 2025.
Kwa maana hiyo Tanzania itakuwa inafunga ukurasa wa historia ya aibu katika bara la Afrika kwani viongozi wengi wa kizalendo walikuwa wanaanda mashambulizi ya kupata uhuru kutokea nchi za Afrika kwa Afrika kama Samora Machel, Mugabe, Museven na wengine wengi, lakini huyu yeye kaenda mbali anaanzia kwa mabeberu kuja Afrika kama Savimbi.
Hiki chama cha ukombozi pia kiliwai kuwa chama kukuu cha upinzani hapa nchini licha ya kututia aibu katika mambo mengi ambayo yamekuwa gumzo Afrika na duniani kuwa na siasa za kushangaza kama kuwa na chama Saccos na kinakusanya sadaka kama kanisa au msikitini, kuwa na siasa za kiki na maandamano kila kuchao. kilishangaza zaidi ulimwengu baada ya kuwa siasa za kutafuta kiki hata katika misiba na majanga ya asili. Lakini pia wamewashangaza wengi kwa uwezo usio wa kawaida wa kuwa wasahaulifu hata kama wameongea jana tu leo wanasahau kuwa walisema nini jana.
Kuna baadhi ya mambo ya kustaajabisha kuna wakati walikuwa wanatangaza maandamano nchi nzima lakini ilikuwa inatokea Rais anawaita Ikulu wanapewa bahasha na kahawa ya Ikulu wanasimamisha ukombozi wote waliotaka kuufanya. Ni aibu ambazo tulipata wote kama nchi kwani hawakuwa na woga wala haja ya kujadili kama kuna ishu ya pesa mbele wako tayari kutoa na kuweka giabox nyingine angani hata kama ni hata watabadili gia ngani, hili lilitokea wakati wanamchukuwa mgombea kutoka chama tawala ambaye kwa miaka 8 walimtusi kuwa fisadi na mwizi aliyeshindikana Afrika mara...
Wadadavuaji wa mambo ya siasa wanasema kuwa kutokana na kuwa Tanzania inamgombea kutokea Ulaya hilo litarahisisha Tanzania kuingizwa katika umoja wa Ulaya kirahisi zaidi. Kwani hadi sasa tunaogea tayari upendo mkuu wa wazungu tumeuona kwani walileta Utumwa, mapinduzi ya viwanda, ukoloni, ubepari, imperializimu, democrasia na dini na tamaduni zake ambavyo vyote vimekuwa msaada mkubwa wa maendeleo ya bara letu sasa tukipata Rais kutokea Ulaya kilakitu kitakuwa sawa.