Pia nikitaka kujua hilo maana ni kizunguzungu mada hizi!Mkuu tuweke wazi basi ,kwani tutafanya uchaguzi wa Rais hivi karibuni?
Nani alikwambia kwamba kuna uchaguzi katika nchi hii. Hakuna uchaguzi ni uteuzi tu wa wabunge, madiwani na rais mwenyewe na rais ndiye anayewateua wote hao.Kwa uchaguzi ujao 2025, atakayeruhusiwa kuchukua form ya kugombea nafasi yoyote ile ya uongozi ndani ya JMT ni yule tu ambaye amekuwepo ndani ya nchi angalau si chini ya miezi sita kabla ya tarehe ya kuchukua form ya kuwania nafasi hiyo ya uongozi husika
Basi kama ni hivyo, ni bora zaidi namna tunavyofanya sisi kuliko wale wanaodai kuanzisha Demokrasia halafu wakishafanya chaguzi zao wanaanza kutuhumiana kuwa wameibiana kuraNani alikwambia kwamba kuna uchaguzi katika nchi hii. Hakuna uchaguzi ni uteuzi tu wa wabunge, madiwani na rais mwenyewe na rais ndiye anayewateua wote hao.
Wenyeviti wa vitongoji, vijiji na mitaa wanateuliwa na ccm na ndipo mnaambiwa "Uchaguzi" umeisha kwa amani msubiri tena miaka mitano.
That's democracy Tanzania style.