Tanzania izuie matumizi ya Mtandao wa Tiktok

Tanzania izuie matumizi ya Mtandao wa Tiktok

Kama ni kuzuia utazuia vingi sana,mwisho wa siku ni mtu na akili yake.
Hiyo tiktok ona content za kila aina,na itakupa vitu ambavyo upo interested navyo,mi naingia kila siku ila sikutani na maudhui ya hovyo hovyo,hata yakija nabonyeza not interested na sitaletewa tena.
Kama ilivyo reels na shorts kule youtube ndivyo tiktok inavyofanya kazi, content ndefu mtu anaisummarize na inaeleweka.
Shida ya sisi wabongo tunaweza ponda kitu kwa mkumbo tu wakati watu wanafanya biashara huko na maisha yanaenda,sasa anatokea mtu eti ifungiwe akili ya wapi hii!
 
kutumia ticktock sio technology Wala na tunaweza kuizuia , sema inabidi nguvu yetu ya technology tuihamishie kwenye kukuza viwanda na kuinua Maisha ya watanzania sio matumizi ya social media
Kwani matumizi ya social media yanazuia kufanya hayo mengine?
 
naunga mkono hoja. Wanawake wengi siku hizi hata akili zimewaruka, naweza kukaa na mwenza wangu hata dakika 40 yupo bzy mno na ku play video za tiktok akimwambia ndio inakuwa ushaanzisha ugomvi
 
Hello wanajf,

Mtandao wa Tiktok ni mtandao unaokuja kwa Kasi Sana.

Mtandao huu unatengeneza addiction Fulani ambayo inamfanya mtu asichoke kabisa kuutumia.

Nilichokiona mpaka sasa ni kwamba asilimia kubwa ya vijana, watoto na wazee wanashinda huko.

Athari za baadae
[emoji117] kupunguza uwezo wa watu kufikiria na kuchanganua matatizo kwasababu ya uraibu

[emoji117]Kuongezeka kwa uzembe utakaoathiri uchumi wa mmoja mmoja hatimaye taifa zima.

[emoji117]Vijana na ubunifu ndio itakuwa basi.

[emoji117]Kuongezeka mmomonyoko wa maadili kwani ticktock video za utupu ndio huuza Sana so wadada wengi wameona ndio fursa kwao Jambo litakaloathiri vijana.

[emoji117]Umasikini Kuongezeka kwani pesa inayotumika kwa ajili ya bando ni kubwa, imagine bando la buku Tiktok ni dakika 45 tu basi ikiwa mtu atashinda huko pesa nyingi Sana zinapotea ambazo zingefanya Mambo mengine.

Hivyo Kama ilivyo kwa nchi zingine Kama vile China , India, Turkey, North Korea na zinginezo ambazo zimezuia matumizi ya mtandao wa Tiktok
Nashauri Tanzania nayo iangalie namna ya kuwaokoa vijana kwa uraibu wa huu mtandao.

Karibu kwa maoni
Mbona ubunifu haupo tangu siku nyingi mkuu.
 
naunga mkono hoja. Wanawake wengi siku hizi hata akili zimewaruka, naweza kukaa na mwenza wangu hata dakika 40 yupo bzy mno na ku play video za tiktok akimwambia ndio inakuwa ushaanzisha ugomvi
Hasa si uongee na mkeo
 
Nashangaa unavipa sifa za uraibu vitu vya kipuuzi.Ushawahi kuliona alosto la unga Wewe,?alosto la nyeto je?Mi nashangaa eti mtu ni mraibu wa kubeti?upuuzi mtupu.
 
Hata mimi nilikua nayo nikaamua kuitoa, maana niliona inaanza kunitoa out of consciousness.
 
Hello wanajf,

Mtandao wa Tiktok ni mtandao unaokuja kwa Kasi Sana.

Mtandao huu unatengeneza addiction Fulani ambayo inamfanya mtu asichoke kabisa kuutumia.

Nilichokiona mpaka sasa ni kwamba asilimia kubwa ya vijana, watoto na wazee wanashinda huko.

Athari za baadae
[emoji117] kupunguza uwezo wa watu kufikiria na kuchanganua matatizo kwasababu ya uraibu

[emoji117]Kuongezeka kwa uzembe utakaoathiri uchumi wa mmoja mmoja hatimaye taifa zima.

[emoji117]Vijana na ubunifu ndio itakuwa basi.

[emoji117]Kuongezeka mmomonyoko wa maadili kwani ticktock video za utupu ndio huuza Sana so wadada wengi wameona ndio fursa kwao Jambo litakaloathiri vijana.

[emoji117]Umasikini Kuongezeka kwani pesa inayotumika kwa ajili ya bando ni kubwa, imagine bando la buku Tiktok ni dakika 45 tu basi ikiwa mtu atashinda huko pesa nyingi Sana zinapotea ambazo zingefanya Mambo mengine.

Hivyo Kama ilivyo kwa nchi zingine Kama vile China , India, Turkey, North Korea na zinginezo ambazo zimezuia matumizi ya mtandao wa Tiktok
Nashauri Tanzania nayo iangalie namna ya kuwaokoa vijana kwa uraibu wa huu mtandao.

Karibu kwa maoni
Kwa mtazamo wangu naona waache uhuru.Watu wakajifariji huko tiktok. Zipo faida nyingi kuliko hasara.
 
Mtandao wa Tiktok ni mtandao unaokuja kwa Kasi Sana.
Anza na Betting inayowafirisi watu Hali ya kufanya kazi na kuwa wabunifu. Achana na TikTok! Namna Bora ya kukwepa TikTok nikutumia muda wa kutazama TikTok kufanya shughuli nyingine.
 
Athari zooote hizo mbona zimekuwepo hata kabla nchi hii haijapata uhuru
 
Nasikiaa tiktk huko kila mwanamke anaonesha tko na kulitingisha

Ova
 
Hello wanajf,

Mtandao wa Tiktok ni mtandao unaokuja kwa Kasi Sana.

Mtandao huu unatengeneza addiction Fulani ambayo inamfanya mtu asichoke kabisa kuutumia.

Nilichokiona mpaka sasa ni kwamba asilimia kubwa ya vijana, watoto na wazee wanashinda huko.

Athari za baadae
👉 kupunguza uwezo wa watu kufikiria na kuchanganua matatizo kwasababu ya uraibu

👉Kuongezeka kwa uzembe utakaoathiri uchumi wa mmoja mmoja hatimaye taifa zima.

👉Vijana na ubunifu ndio itakuwa basi.

👉Kuongezeka mmomonyoko wa maadili kwani ticktock video za utupu ndio huuza Sana so wadada wengi wameona ndio fursa kwao Jambo litakaloathiri vijana.

👉Umasikini Kuongezeka kwani pesa inayotumika kwa ajili ya bando ni kubwa, imagine bando la buku Tiktok ni dakika 45 tu basi ikiwa mtu atashinda huko pesa nyingi Sana zinapotea ambazo zingefanya Mambo mengine.

Hivyo Kama ilivyo kwa nchi zingine Kama vile China , India, Turkey, North Korea na zinginezo ambazo zimezuia matumizi ya mtandao wa Tiktok
Nashauri Tanzania nayo iangalie namna ya kuwaokoa vijana kwa uraibu wa huu mtandao.

Karibu kwa maoni


Mimi sijawahi hayta kuifungua, labda kwa bahati nione video ina Nembo yake
 
Back
Top Bottom