Tanzania shida sio ukosefu wa samaki, hakuna mahali samaki shida,
Changamoto ni hatuna hela,
Nyama kg 1, 9000/- mnakula familia ya watu 7 mara 2
Ila samaki wa 9,000/- ni chini ya kg 1 na ataliwa mlo mmoja,
Na hio ni dunia nzima, hata huko korea, samaki no expensive kuliko nyama