Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Kuna mda inabidi ujiulize sana ili swali sababu ni nchi yangu imepewa kila kitu lakini na hakuna kitu kama tunavoona geita na dhahabu.
Kuna nchi wale wasanii waliokwenda kule kutuletea ajenda yao wakitaka bima ya afya zao na mwenyekiti wao utazani samaki mkavu chuchungi.
wajajifunza korea samaki anafikika mpaka ndani ndani vijijini tena wale wa bahari.
serikali kwa nini isitoe kipaumbele kuwapa mitaji wavuvi wakawa na boti za kisasa zenye kuvua matani na zenye barafu na pili kupunguza ushuru wa magari ya kubebea vyakula kama yale ya friji.
au mlifanyie uchunguzi
Kuna nchi wale wasanii waliokwenda kule kutuletea ajenda yao wakitaka bima ya afya zao na mwenyekiti wao utazani samaki mkavu chuchungi.
wajajifunza korea samaki anafikika mpaka ndani ndani vijijini tena wale wa bahari.
serikali kwa nini isitoe kipaumbele kuwapa mitaji wavuvi wakawa na boti za kisasa zenye kuvua matani na zenye barafu na pili kupunguza ushuru wa magari ya kubebea vyakula kama yale ya friji.
au mlifanyie uchunguzi