Uchaguzi 2020 Tanzania kama Ulaya inawezekana: Ni huyu Rais Magufuli tena 2020-2025!

Uchaguzi 2020 Tanzania kama Ulaya inawezekana: Ni huyu Rais Magufuli tena 2020-2025!

Hii miaka mitano ya kwanza kipi kilimshinda tusiwe kama ulaya?.Kwasababu kabla yakufikia level za ulaya kwa mabeberu ilitakiwa kwa hii mitano aliyomaliza angalau iwe tumeshalingana na ata na Afrika kusini.

Sasa ata kenya na uganda hatujaziacha tunaota ulaya.Kutoa ahadi kana kwamba ndo unataka kuanza kuongoza nchi wakati umeshaongoza miaka mitano na hujafanya lolote kubwa ni dalili zakutapatapa.Ila kwa ccm sishangai maana niwataalam wa kudanganya na kutoa ahadi na kauli mbiu tamu tamu masikioni kumbe usanii mtupu.

Kuna mgombea aliwai kutuambia Nguvu mpya, kasi mpya na ari mpya awamu ya pili akaboresha tena kauli mbiu yake ya Nguvu zaidi ila mambo yalikua yale yale.Ata na uyu mambo ni yale yale mbwembwe tu ndo zinazoongezeka.
 
1749052_mwananchi (1).jpg
 
Magu sio mtu wa kutufikisha kuwa kama Ulaya hata Ulaye yenyewe haijui, Lissu ndiye NI YEYE.
 
Katika vitu Magufuli amefanikiwa kujenga ndani ya miaka hii mitano ni kuzalisha wanafiki, waongo, na wajinga wengi. We mleta mada ni sehemu ya kazi hii ya Magufuli ndani ya miaka hii mitano.
Sipo kwenye kundi hata moja kati ya hayo uliyoyataja. Ila nakuona wewe upo kundi la wajinga. Na kwa kuwa wewe ni mjinga siku moja utaelewa, sio kama wale wapumbavu.
 
Yeah Ulaya yenye ushoga sio? Halafu baadae mnasema hamtaki ushoga! Ulaya ya mabeberu? Unataka kuwa mabeberu sio? Ni mpuuzi tu atakayeshinda kujenga cha kwake hadi ajilinganishe na wengine.
Kujilinganisha sio dhambi, ni moja ya tabia ya Binadamu. Lakini mtu Muungwana atajilinganisha kwa lengo la kujifunza yaliyo mazuri. Kama unafahamu vema misimamo ya Rais. Magufuli, ni wazi kuwa utajua anamaanisha nini anaposema Tanzania siku moja iwe kama ulaya. Lakini kama hujaijua vema misimamo ya Rais yako unayo haki ya kusema hivyo kwa sababu ulikuwa mjinga! Na kwa kuwa wewe ni mjinga, basi unaelimika sio kama wale wapumbavu.
 
Yeah Ulaya yenye ushoga sio? Halafu baadae mnasema hamtaki ushoga! Ulaya ya mabeberu? Unataka kuwa mabeberu sio? Ni mpuuzi tu atakayeshinda kujenga cha kwake hadi ajilinganishe na wengine.
Kujilinganisha sio dhambi, ni moja ya tabia ya Binadamu. Lakini mtu Muungwana atajilinganisha kwa lengo la kujifunza yaliyo mazuri. Kama unafahamu vema misimamo ya Rais. Magufuli, ni wazi kuwa utajua anamaanisha nini anaposema Tanzania siku moja iwe kama ulaya. Lakini kama hujaijua vema misimamo ya Rais yako unayo haki ya kusema hivyo kwa sababu ulikuwa mjinga! Na kwa kuwa wewe ni mjinga, basi unaelimika sio kama wale wapumbavu.
 
Sipo kwenye kundi hata moja kati ya hayo uliyoyataja. Ila nakuona wewe upo kundi la wajinga. Na kwa kuwa wewe ni mjinga siku moja utaelewa, sio kama wale wapumbavu.

Hapo unaingia makundi sio chini ya mawili.
 
Lakini kama hujaijua vema misimamo ya Rais yako unayo haki ya kusema hivyo kwa sababu ulikuwa mjinga! Na kwa kuwa wewe ni mjinga, basi unaelimika sio kama wale wapumbavu.
Mimi kama ni mjinga basi wewe ni mpuuzi kabisa, huwezi kujenga hoja dhaifu kiasi hiki, huu ni uwendawazimu na kujitoaa ufahamu tu kisa uko na mahaba na MTU
 
Yaani umeandika mengi lakini ni ujinga mtupu,kama wewe mleta mada ndo mwandishi basi ni mjinga na mpumbavu wa mwisho,unasema watu wamechukua kipengele kidogo kwenye hotuba yake,huyo ni mkuu wa nchi tutachukua si kipengele tu,nukta kwa nukta ,aya na herufi hadi herufi.


Wewe na wananchi wengine mnaokubali kudanganywa kwamba Tanzania itakuwa kama ulaya ndani ya miaka tano ndo wapumbavu na wajinga mnapelekwa kama kondoo machinjioni kwa kampeni za comedy na ahadi za kijinga.

Miaka 5 sliyomaliza hajabadili Tanzania kama ulaya halafu anakuja tena eti miaka 5 ikayo ndo atabadili,ni wajinga na wapumbavu kama wewe mnaokata viuno humu ndo mnaamini hizo ngonjera za huyo comedian
Tatizo ulilonalo ni upambuvu nilikwisha usema humo kwenye uzi hapo juu. Nilichokisema nakijua sijakurupuka kuandika kama ambavyo wewe umekurupuka! Na ninafikiri umelazimisha kujibu na huku ukijua huna majibu.

Lakini pia nakupongeza kwa ujasiri wa unafiki uliokuwa nao. Unapataje nguvu ya kuandika kwamba Rais Magufuli ndani ya miaka yake mitano ya Urais hajafanya jambo lo lote la kubadilisha nchi hata kuonesha uelekeo wa nchi kwa miaka mitano mengine ijayo..?! Bila shaka wewe huoni, na hao unaotegemea wakusimulie mabadiliko ambayo Rais Magufuli ameyafanya kwenye hii nchi kwa miaka mitano, ni wapumbavu sio watu wema.

Lakini kama sivyo hivyo, kutokuona kwako. Basi jitahidi uiache tabia yako ya kukurupuka, ni mkubwa wewe!
 
Watakitukana kwelkwel,,, hawana cha hoja zao ni matusi na kulalamika maisha magumu utafikiri Rais ndo anakuletea debe la unga kwako...

Wanasahau mwenye jukumu la kubadilisha maisha yao ni wao wenyewe na Serikali inachofanya ni kuwatengenezea fursa na fursa hizo ni kwa njia ya miradi mbalimbali mikubwa na midogo,,,,

Wanalalamikia ajira za ualimu wakati hata kujitolea kufundisha kulinda taaruma zao hawataki... Hii ni jamii ya kushangaza na kusikitisha kabisaa!!

Wanadhan hii nchi ni henge la wahuni na wabwia unga,,, wanasahau kuna vijana bright kabisa wanaojielewa na wanaona kinachoendelea....

Endeleeni hivyohivyo na JPM Ikulu anarudi tukutane October tu!!!
 
Kam
Mimi kama ni mjinga basi wewe ni mpuuzi kabisa, huwezi kujenga hoja dhaifu kiasi hiki, huu ni uwendawazimu na kujitoaa ufahamu tu kisa uko na mahaba na MTU
Kama ambavyo wewe umejenga mahaba na kitu, au vipi. Hoja imekuwa dhaifu kwa kuwa imekuingia au..? Ebu nieleweshe mkuu.
 
Kam

Kama ambavyo wewe umejenga mahaba na kitu, au vipi. Hoja imekuwa dhaifu kwa kuwa imekuingia au..? Ebu nieleweshe mkuu.
Ukishahamia kwenye matusi huhitaji tena mchango wangu. Nikueleweshe nini ushaniita mjinga?? Acha nibaki na ujinga wangu na wewe baki na werevu wako
 
Miaka mitano ameongeza laki mbili tu kwenye GNI tena kwa kubumba data,then wale msio wapumbavu mnaamini in five years ataongeza GNI kwa shilingi milioni saba,labda kwa kuwa amejenga viwanda vingi visivyotumia man power kuzalisha
 
Watakitukana kwelkwel,,, hawana cha hoja zao ni matusi na kulalamika maisha magumu utafikiri Rais ndo anakuletea debe la unga kwako...

Wanasahau mwenye jukumu la kubadilisha maisha yao ni wao wenyewe na Serikali inachofanya ni kuwatengenezea fursa na fursa hizo ni kwa njia ya miradi mbalimbali mikubwa na midogo,,,,

Wanalalamikia ajira za ualimu wakati hata kujitolea kufundisha kulinda taaruma zao hawataki... Hii ni jamii ya kushangaza na kusikitisha kabisaa!!

Wanadhan hii nchi ni henge la wahuni na wabwia unga,,, wanasahau kuna vijana bright kabisa wanaojielewa na wanaona kinachoendelea....

Endeleeni hivyohivyo na JPM Ikulu anarudi tukutane October tu!!!
Hakika ndugu yangu. Hata Rais awe malaika Gabriel, katu hatakuletea ajira mlangoni wala ugali mezani.

Tatizo ni kwamba sisi watanzania wengi tunafikiri kuzaliwa kuwa mtanzania tu ndani ya hii nchi, basi tayari ni mzigo wa mayai. Kwamba kila kitu aletewe na serikali! Huu ni uzuzu wa mwisho. Ni lazima uwajibikaji ili ufanikiwe, na ndio maana nchi za ulaya ijapokuwa zimeendelea sana, sio watu wote wameajiriwa, sio watu wote wanauhakika na chakula chao n.k. Ni lazima uwajibike kwanza ndipo serikali iwajibike na kwako pia. Tatizo ni maisha ya kukariri na ya mazoea.
 
Hakika ndugu yangu. Hata Rais awe malaika Gabriel, katu hatakuletea ajira mlangoni wala ugali mezani.

Tatizo ni kwamba sisi watanzania wengi tunafikiri kuzaliwa kuwa mtanzania tu ndani ya hii nchi, basi tayari ni mzigo wa mayai. Kwamba kila kitu aletewe na serikali! Huu ni uzuzu wa mwisho. Ni lazima uwajibikaji ili ufanikiwe, na ndio maana nchi za ulaya ijapokuwa zimeendelea sana, sio watu wote wameajiriwa, sio watu wote wanauhakika na chakula chao n.k. Ni lazima uwajibike kwanza ndipo serikali iwajibike na kwako pia. Tatizo ni maisha ya kukariri na ya mazoea.
Waache wajibebishe,,, narudia tena hii ni nchi wala sio genge la wahuni!!

Tunamuelewa na tutaendelea kumuelewa JPM
 
Wewe ni mpumbavu ila hujitambui na utabaki kuwa mpumbavu hivo hivo,mpumbavu mkubwa
Tatizo ulilonalo ni upambuvu nilikwisha usema humo kwenye uzi hapo juu. Nilichokisema nakijua sijakurupuka kuandika kama ambavyo wewe umekurupuka! Na ninafikiri umelazimisha kujibu na huku ukijua huna majibu.

Lakini pia nakupongeza kwa ujasiri wa unafiki uliokuwa nao. Unapataje nguvu ya kuandika kwamba Rais Magufuli ndani ya miaka yake mitano ya Urais hajafanya jambo lo lote la kubadilisha nchi hata kuonesha uelekeo wa nchi kwa miaka mitano mengine ijayo..?! Bila shaka wewe huoni, na hao unaotegemea wakusimulie mabadiliko ambayo Rais Magufuli ameyafanya kwenye hii nchi kwa miaka mitano, ni wapumbavu sio watu wema.

Lakini kama sivyo hivyo, kutokuona kwako. Basi jitahidi uiache tabia yako ya kukurupuka, ni mkubwa wewe!
 
Back
Top Bottom