Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyinyi mna navy kweli?.Ni kupiga kelele hapa,enyewe navy yenyu ina wanajeshi wanaoogopa 60m deep water[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].
Majeshi mengine baana[emoji23][emoji23]
Swali gani Hilo ,nchi inavisiwa vyenye mafuta na gesi na eneo kubwa la bahari kusiwe na navy kwenye nchi makini kama tz?juzi indian navy walikuwa Zanzibar kubadilishana uzoefu na wenzao wa bongoNyinyi mna navy kweli?.
Kama navy ni kama hiyo ya kenya,nikiri wazi hatuna ya hivyo.Nyinyi mna navy kweli?.
Ndio nashangaa! Ila kinachoshangaza zaidi ni wale ambao wamekuwa wakijivunia kwa miongo minne. Eti kwamba waliishinda hiyo brigade moja tu kwenye vita, tena na vikosi vya nchi zaidi ya mbili, Tan&Znz, alafu ongeza juu yake wanamgambo sijui wa kutoka wapi na wapi.Sasa, unavamiaje nchi kubwa kama Tanzania na jeshi la watu 3,000? Watu 3,000 ni brigade moja au mbili tu hapo.
We jitekenye tu, utajua mwenyewSijawahi kucheka chochote husemwa na MaCCM wa Lumumba ila hii umesababisha nimeshindwa kujizuia nikacheka kishenzi...
Jiulize kwa nini kenya haijawahi kushambuliwa na jeshi lolote East Africa.Idd amin aliiteka kagera then nyerere akakwara Uganda yote na mpaka leo jwtz ndio jeshi pekee Africa ambalo liliteka mji mkuu wa nchi nyingine [emoji847][emoji847]
KDF dhaifu walifanyiwa ambush ya nusu saa wakauwawa 500 na kuliwa tigo juu
By the time Tanzania was invading Ug, UG was in tatters already, so many rebels were already in TZ preparing to fight Amin,Ndio nashangaa! Ila kinachoshangaza zaidi ni wale ambao wamekuwa wakijivunia kwa miongo minne. Eti kwamba waliishinda hiyo brigade moja tu kwenye vita, tena na vikosi vya nchi zaidi ya mbili, Tan&Znz, alafu ongeza juu yake wanamgambo sijui wa kutoka wapi na wapi.
By the time Tanzania was invading Ug, UG was in tatters already, so many rebels were already in TZ preparing to fight Amin,
Ugandans were fed up with him, morale in his army was low..
It's like declaring war on the government in Mogadishu, a government that cannot get out of Mogadishu because of AlShabab.
I doubt if TZ can even dare the UPDF right now , they would be cooked like cake.
Sasa, unavamiaje nchi kubwa kama Tanzania na jeshi la watu 3,000?
Watu 3,000 ni brigade moja au mbili tu hapo.
Kairudisheni na migingo basiKenya ilikomesha mipango yake ya kuvamia na madai yake kwamba eneo lote hadi Naivasha lilikuwa ni la Uganda. Idi Amin alikuwa anajitayarisha kuivamia Kenya na wanajeshi wa Kenya walikuwa wanajitayarisha kuilinda nchi yao. Ila alisitisha mpango wake aliposikia kwamba General China(Waruhiu Itote) ndiye aliyekuwa aongoze kikosi cha kijeshi ambacho kingemfata hadi Kampala na kwamba Mzee Jomo Kenyatta alikuwa ameahidiwa kichwa chake kwenye sahani. General China alikuwa kiongozi wa Mau Mau enzi za mkoloni na Iddi Amin alimfahamu vizuri kwasababu walipigana pamoja kwenye vita vya World War 2. NB: Nimeeka chanzo cha habari cha .co.tz kimakusudi ili wanakwaya wasianze zile porojo zao, za kuonewa mara sijui mabeberu.![]()
The Mau Mau general who stopped Idi Amin in his tracks
One morning in 1972, the big man next door had a revelation that seemed too brilliant to pass up.www.thecitizen.co.tz
Wale wavaa kobaz 6 pale westgate mkawapelekea matank unawakumbuka?Jiulize kwa nini kenya haijawahi kushambuliwa na jeshi lolote East Africa.
I was reading Christopher Hitchen's brick of a collection of essays "Arguably: Essays by Christopher Hitchens".That was stupid of Amin to think he could annex Kagera, though I read somewhere his idea was to blow the bridge that connects into that region and make it difficult for Tanzanians forces. However, if you read through history objectively, you guys provoked him first, you were training and arming rebels in readiness to overthrow Uganda.
Museveni, Tito Okello and thousands of rebel fighters were all being fed and trained in Tanzania.
Kama alijua kuwa ana vita vya ndani hakubaliki na raia pia ana jeshi dogo kwanini atukane wenye Misuli? Si hata bible imesema unapopanga vita kaa chini ujiulize ukubwa wa jeshi lako na la adui?Vita vya Kagera lazima Amin angeshindwa maana Waganda wenyewe walikua wamemchoka hawamtaki, hivyo wakaruhusu nchi yao ikojolewe na jirani, ukizingatia pia maelfu ya waasi na wafuasi wapiganaji wa Museveni, Tito Okello na wale wa Ojok waliungana na jeshi la Tanzania, na pia kunao wapiganaji kutokea Msumbiji wote pia walihusika dhidi ya nduli Amin.
Halafu wengi wa wanajeshi wa Amin walikua majizi, hawakua na uzalendo, hawangepigana hadi mwisho, walitaka fursa za kuiba tu, bora hata wale wa Hitler ambao walizingua kishenzi, hawa wa Amin walikimbia uwanja wa mapambano baada ya kupora.
Nafikiri ni kama kucheza draft unasukuma kete kwa zamu. Unarusha ngumi moja unapigwa combination , utashituka unevunjwa ugoko , bega na upigwa macho pia na ulishapigwa kisu cha tumbo . Huu ujinga wa fighting technic ndio unawamaliza kenya. Unavamiwa na magaidi wanaanza gwaride la sherehe za uhuru.Kwahyo ulitaka twende sawa kwa sawa ulidhani vita ni kama mpira ama basketbol? Kwenye vita ukizidiwa chochote kile umekufa mwehu wew
I trust you. These wajamaa are mothers of bush and gorilla fighting dont mess with them, they touch ur ass within twinkle of eyeWajamaa nizaidi ya nyani trust me....!![emoji23][emoji23][emoji23]
That was stupid of Amin to think he could annex Kagera, though I read somewhere his idea was to blow the bridge that connects into that region and make it difficult for Tanzanians forces. However, if you read through history objectively, you guys provoked him first, you were training and arming rebels in readiness to overthrow Uganda.
Museveni, Tito Okello and thousands of rebel fighters were all being fed and trained in Tanzania.
Sasa mvamiwe mnanini kibera ?Jiulize kwa nini kenya haijawahi kushambuliwa na jeshi lolote East Africa.