Tanzania kero hizi hazijawahi kuisha , sasa ni sehemu ya maisha yetu

Tanzania kero hizi hazijawahi kuisha , sasa ni sehemu ya maisha yetu

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
Kuna kero Tanzania zipo tu na zinaonekana hakuna ufumbuzi , yaani hata uwe na billion mia Bado hizi shida utakuta nazo.
1. Barabara mbovu hizi zipo tu nunua gari Yako ya bei Kali Kuna sehemu hutopita nayo kisa barabarani mbovu.
2.shida ya maji ipo tu hii , tafta pesa chimba kisima ,sijui nunua tank yaani ipo siku na wakati tu utakuta na kero ya maji
3.umeme hili ni tatizo la kudumu ipo siku kwako umeme utakatika tu sijui kuna nini
4.shida ya usafiri hii ipo tu mara ununue gari Yako utakutana na foleni, gari imeziba njia , sijui mti umekata njia ,daladala zimegoma ila usafiri bongo ni tatizo
5..kero ya mahusiano hii ipo tu
6. Afya yaani unaenda hospital unaumwa mara doctor hayupo mara dawa , mara foleni ya kujiandikisha yaani hili lip tu
7. Taja kero nyingine ambazo ni maisha yetu tu
 
Namba 5 kujiendekeza tu.

7. Ajira
8. Huduma Mbovu
 
Kuna kero Tanzania zipo tu na zinaonekana hakuna ufumbuzi , yaani hata uwe na billion mia Bado hizi shida utakuta nazo. 1. Barabara mbovu hizi zipo tu nunua gari Yako ya bei Kali Kuna sehemu hutopita nayo kisa barabarani mbovu. 2.shida ya maji ipo tu hii , tafta pesa chimba kisima ,sijui nunua tank yaani ipo siku na wakati tu utakuta na kero ya maji 3.umeme hili ni tatizo la kudumu ipo siku kwako umeme utakatika tu sijui kuna nini 4.shida ya usafiri hii ipo tu mara ununue gari Yako utakutana na foleni, gari imeziba njia , sijui mti umekata njia ,daladala zimegoma ila usafiri bongo ni tatizo 5..kero ya mahusiano hii ipo tu 6. Afya yaani unaenda hospital unaumwa mara doctor hayupo mara dawa , mara foleni ya kujiandikisha yaani hili lip tu 7. Taja kero nyingine ambazo ni maisha yetu tu
Namba 8, Tundu Lissu anashindwa kuwa na shukrani matokeo yake na yeye amechukua form kushindana na Mbowe kugombea Uenyekiti
 
Kuna kero Tanzania zipo tu na zinaonekana hakuna ufumbuzi , yaani hata uwe na billion mia Bado hizi shida utakuta nazo.
1. Barabara mbovu hizi zipo tu nunua gari Yako ya bei Kali Kuna sehemu hutopita nayo kisa barabarani mbovu.
2.shida ya maji ipo tu hii , tafta pesa chimba kisima ,sijui nunua tank yaani ipo siku na wakati tu utakuta na kero ya maji
3.umeme hili ni tatizo la kudumu ipo siku kwako umeme utakatika tu sijui kuna nini
4.shida ya usafiri hii ipo tu mara ununue gari Yako utakutana na foleni, gari imeziba njia , sijui mti umekata njia ,daladala zimegoma ila usafiri bongo ni tatizo
5..kero ya mahusiano hii ipo tu
6. Afya yaani unaenda hospital unaumwa mara doctor hayupo mara dawa , mara foleni ya kujiandikisha yaani hili lip tu
7. Taja kero nyingine ambazo ni maisha yetu tu
Hizo ni kero za maisha ya mjini, sisi kijijini hatuna hizo kero.
 
Kuna kero Tanzania zipo tu na zinaonekana hakuna ufumbuzi , yaani hata uwe na billion mia Bado hizi shida utakuta nazo.
1. Barabara mbovu hizi zipo tu nunua gari Yako ya bei Kali Kuna sehemu hutopita nayo kisa barabarani mbovu.
2.shida ya maji ipo tu hii , tafta pesa chimba kisima ,sijui nunua tank yaani ipo siku na wakati tu utakuta na kero ya maji
3.umeme hili ni tatizo la kudumu ipo siku kwako umeme utakatika tu sijui kuna nini
4.shida ya usafiri hii ipo tu mara ununue gari Yako utakutana na foleni, gari imeziba njia , sijui mti umekata njia ,daladala zimegoma ila usafiri bongo ni tatizo
5..kero ya mahusiano hii ipo tu
6. Afya yaani unaenda hospital unaumwa mara doctor hayupo mara dawa , mara foleni ya kujiandikisha yaani hili lip tu
7. Taja kero nyingine ambazo ni maisha yetu tu
Kupigwa mzuga na warembo...hii kila kidume lazima apitie

Mbususu ya demu wako kusasambuliwa na wanaume wengine

Kuambiwa tafuta hela tafikiria vile wee hujui umuhimu wa kusaka ndalama
 
Bora changamoto zilizopo nje ya uwezo kuliko za ndani ya uwezo.
 
9. Askari wa jeshi la polisi wenye nguo nyeupe kuvizia madereva wanaoendesha magari barabarani, ili tu wapewe rushwa au kuwapiga faini!
 
Back
Top Bottom