Habari wadau.
Kwanini tusifanye harambee kuboresha shule zetu ili vizazi vyetu vipate elimu bora na kupata taifa la wenye akili.
Kuna uzi humu kanisani kijitonyama milioni 300 ya kununua nyumba ya mchungaji ilichangwa nusu saa tu.
Nikawaza watoto wanaosali hapo kanisani je wote wanapata elimu nzuri kwenye shule wanazosoma jirani na hapo kijitonyama.
Hivi kila kaya katika kata yake ikiamua kuchanga elfu 10 tu. Hatuwezi boresha shule zetu za msingi na sekondari za uma katika kata zetu ziwe na miundombinu mizuri na lugha za kufundishia ziwe english medium kama tusiime na zingine tunazolipia mamilioni.
Harambee za maendeleo mbona hazipo?
Kwanini tusifanye harambee kuboresha shule zetu ili vizazi vyetu vipate elimu bora na kupata taifa la wenye akili.
Kuna uzi humu kanisani kijitonyama milioni 300 ya kununua nyumba ya mchungaji ilichangwa nusu saa tu.
Nikawaza watoto wanaosali hapo kanisani je wote wanapata elimu nzuri kwenye shule wanazosoma jirani na hapo kijitonyama.
Hivi kila kaya katika kata yake ikiamua kuchanga elfu 10 tu. Hatuwezi boresha shule zetu za msingi na sekondari za uma katika kata zetu ziwe na miundombinu mizuri na lugha za kufundishia ziwe english medium kama tusiime na zingine tunazolipia mamilioni.
Harambee za maendeleo mbona hazipo?