Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ruku=lukuAmesema kiwanda cha kutengeneza simu ,machine za ruku na EFD
[emoji16]Kuzalisha sukari kumewashinda mnazungumzia smart phone? Hotel za ndani zinawashinda mmezigeuza hostel za wanafunzi
Tuache utani kwenyw mambo ya msingi
Hapana waTz wamejitambua wanaangalia ubora, bei na urahisi kwenye kupata bidhaa.Tatizo wa Tanzania wengi hawapendi vitu vya kwao utumwa upo kwenye dam
Watanzania wameichoka kabisa tz ..ila ndio hivyo hawana pakwenda [emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].. watanzania walio wengi wamekata tamaa na nchi yao, wamechoka vibaya.. ukipitia comments za huu uzi unapata picha kamili.
Mitano tena.. [emoji91][emoji91]
Kwa kweli nawaonea wivu [emoji16][emoji16]Yaani mie mpaka sasa hivi bado siamini aisee. Nahisi wanatutania hawa.
5-star hotel kwa Tsh. 400,000/- kwa mwaka.
[emoji16][emoji16][emoji16] bwege kweli weweNdio maana siku hizi wachekeshaji hawapati hela sababu kuna wanasiasa wamedandia fani zao
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Simu waziite polepole katiba, polepole v8, polepole X na polepole pro max
Ngurdoto Hotel aisee, assets (buildings) wanazo sasa sijui Management na Business Manager wa Ngurdoto wamewaza nini mpaka kukubali kuifanya iwe Hostel za wanafunzi kwa gharama ya Tsh. 400,00/- kwa mwaka.Ngurdoto ilikufa tangu 2017 mkuu, ilibaki kama golf, ni bora hata wamepata akili ya kuweka hostel atilist pataonekana pana uhai
Huoni wanapinga hata kabla ya kuona bidhaaHapana waTz wamejitambua wanaangalia ubora, bei na urahisi kwenye kupata bidhaa.
Ningependa kufahamu sababu ya kufa ikiwa unaifahamuNgurdoto ilikufa tangu 2017 mkuu, ilibaki kama golf, ni bora hata wamepata akili ya kuweka hostel atilist pataonekana pana uhai
Gharama za uendeshaji ni kubwa kuliko return, matokeo yake wakashindwa kabisa maana wateja hakunaNingependa kufahamu sababu ya kufa ikiwa unaifahamu
Business manager alishindwa kabisa kuwashauri wamiliki wapunguze matumzi na washushe bei zaidi ili kupata wateja.Gharama za uendeshaji ni kubwa kuliko return, matokeo yake wakashindwa kabisa maana wateja hakuna
ruku=luku
luku zinatengenezwa arusha tangu zamani