Tanzania Kuanza ujenzi wa LNG ($30B) 2022 na Ujenzi wa Kiwanda kikubwa cha Mbolea ($1.9b) 2021

Tanzania Kuanza ujenzi wa LNG ($30B) 2022 na Ujenzi wa Kiwanda kikubwa cha Mbolea ($1.9b) 2021

2022??? Kama ujenzi was SGR umekwama, tungoje uzinduzi kwanza
 
wazee wa kujisifia ya kwamba kwenu nyi ni wasafi...haya kw misifa yenu kipindu kipindu kimeuwa mtu dar...wacheni misifa ya kijinga hku mkiikejeli kenya...mbna wakenya hawajafungua thread kuhusu ungonjwa wa dengue dar...jiangalieni

 
Uhakiki una muda wake. Tujifunze wengine wamefanyaje kwenye eneo la gas. Mazuri tuyabebe...yenye utata tuachane nayo.
Hicho ndiyo kinafanyika sasa. Watu huwa mnamsema Magu anapenda kuzindua, hakifanya tofauti watu bado mnamsema.
 
Hicho ndiyo kinafanyika sasa. Watu huwa mnamsema Magu anapenda kuzindua, hakifanya tofauti watu bado mnamsema.
Ujenzi upi Umekwama tena mzee mbona kichwamaji fala wewe
 
ooh,gase yetu imepewa mchina bada ya rizione kukamatwa na cocaine,huu ni mfano halisi wa uongo hupanda lift na ukweli huja mdogo mdogo kwa miguu
 
30B USD ? Halafu ni 2022 hapo ? Labda kama mngesema ni 2090 huko kidogo ningewaelewa
 
DAR ES SALAAM (Reuters) - Tanzania kupitia makampuni makubwa ya kimataifa ya mafuta inatarajia kuanza ujenzi wa mradi wa gesi asilia (LNG) mwaka wa 2022.

Serikali imesema mwezi Machi imepanga kukamilisha mazungumzo mnamo Septemba na makampuni ya kigeni ya mafuta na gesi yanayoongozwa na Equinor ya Norway kuendeleza Kinu cha Kuchakata gesi Asilia (LNG) mkoani Lindi.

"Ujenzi wa mradi huu unatarajiwa kuanza mwaka 2022 na kukamilika mwaka wa 2028," Medard Kalemani, waziri wa nishati alibainisha hayo.

Benki kuu imesema mradi huu wenye thamani ya dola za Marekani bilioni 30 utaongeza pointi nyingine mbili kwa ukuaji wa uchumi kwa karibu 7%.

"Mradi utakuwa na uwezo wa kuzalisha tani milioni 10 kwa mwaka (MTPA) ya gesi asilia," alisema.

Kampuni ya kimataifa ya mafuta (IOCs) itaendeleza mradi huo kwa ushirikiano na Shirika la Maendeleo la Petroli Tanzania (TPDC).

Kalemani aliiambia bunge kwamba serikali ilizindua mazungumzo mapya mwezi Aprili na kila kampuni ili kuharakisha mchakato huo.


"Tuliamuru timu ya majadiliano ya serikali kushika mazungumzo tofauti na kila mwekezaji, badala ya mpango uliopita wa kufanya mazungumzo ya pamoja na wawekezaji wote," alisema.

"Tunatarajia mazungumzo haya yakamilike ndani ya miezi saba."


Tanzania inakadiriwa akiba ya recoverable ya zaidi ya 57.54 (tcf) ya gesi asilia.

Tanzania tayari inatumia baadhi ya gesi ya uzalishaji wa nguvu na uendeshaji wa vinu vya viwanda. Pia ina mpango wa kujenga kiwanda cha mbolea.

Kalemani alisema ujenzi wa kiwanda cha mbolea chenye thamani ya dola za Marekani bilioni 1.9 utaanza mwaka 2021 na unatarajiwa kukamilika mwaka 2024.


Mradi huo ni ubia kati ya TPDC na Miradi ya Viwanda ya Ferrostaal ya Ujerumani, mtengenezaji wa kichocheo wa Denmark wa Haldor Topsoee na Kampuni ya Fauji Fertilizer Company.

(Taarifa na Fumbuka Ng'wanakilala na Nuzulack Dausen; Kuhaririwa na George Obyere na Emelia Sithole-Matarise)

Kwanini hii habari imewekwa jukwaa la Kenya?
 
Kwanini hii habari imewekwa jukwaa la Kenya?

Mosi, Kenya Kuna Njaa sana, Mradi huu utafanya upatikanaji wa Mbolea ya Bei rahisi na kunusuru maisha ya Ndugu zetu Wakenya, ni Jambo jema kuwajuza walau wasikate tamaa na kufa.

Pili,
Huwa napenda kutumia mfano huu,
Ukiwa na Mabanda ya Mifugo nyumbani Kwako, Unaamua kutenganisha banda la Mbuzi na Banda la Kuku, Siku ukijiskia unaweza ongezea Bata kwenye banda la kuku au ukaamua kufuga Nguruwe kwenye Banda la Mbuzi,
Ndivyo ilivyo JF,
Ni Ya watanzania, Tumewapa Privilege wakenya kujadili kwenye Jukwaa hili na watz wenye JF watapost chochote humu wakijiskia na wakati wowote,
Tatu, hHuu mradi ni Mkubwa sana, Ni sawa na 50% ya Uchumi wote wa Kenya na Hata Tz, Ni mradi utakaowafaidisha wana Africa Mashariki wote hasa Kenya ambao wengi wanatumia gesi LPG toka Tanzania
 
mafala pekeake ndio ataamua kufuga nguruwe na mbuzi katika zizi moja...hku akiongeza vifanga katika zizi la ngombe...si watakanyagwa tu na kufa...bwahaaa...mke lazima atamfuata mumewe tu hata wakitenganishwa...
 
wazee wa kujisifia ya kwamba kwenu nyi ni wasafi...haya kw misifa yenu kipindu kipindu kimeuwa mtu dar...wacheni misifa ya kijinga hku mkiikejeli kenya...mbna wakenya hawajafungua thread kuhusu ungonjwa wa dengue dar...jiangalieni



In hospitals too

 
DAR ES SALAAM (Reuters) - Tanzania kupitia makampuni makubwa ya kimataifa ya mafuta inatarajia kuanza ujenzi wa mradi wa gesi asilia (LNG) mwaka wa 2022.

Serikali imesema mwezi Machi imepanga kukamilisha mazungumzo mnamo Septemba na makampuni ya kigeni ya mafuta na gesi yanayoongozwa na Equinor ya Norway kuendeleza Kinu cha Kuchakata gesi Asilia (LNG) mkoani Lindi.

"Ujenzi wa mradi huu unatarajiwa kuanza mwaka 2022 na kukamilika mwaka wa 2028," Medard Kalemani, waziri wa nishati alibainisha hayo.

Benki kuu imesema mradi huu wenye thamani ya dola za Marekani bilioni 30 utaongeza pointi nyingine mbili kwa ukuaji wa uchumi kwa karibu 7%.

"Mradi utakuwa na uwezo wa kuzalisha tani milioni 10 kwa mwaka (MTPA) ya gesi asilia," alisema.

Kampuni ya kimataifa ya mafuta (IOCs) itaendeleza mradi huo kwa ushirikiano na Shirika la Maendeleo la Petroli Tanzania (TPDC).

Kalemani aliiambia bunge kwamba serikali ilizindua mazungumzo mapya mwezi Aprili na kila kampuni ili kuharakisha mchakato huo.


"Tuliamuru timu ya majadiliano ya serikali kushika mazungumzo tofauti na kila mwekezaji, badala ya mpango uliopita wa kufanya mazungumzo ya pamoja na wawekezaji wote," alisema.

"Tunatarajia mazungumzo haya yakamilike ndani ya miezi saba."


Tanzania inakadiriwa akiba ya recoverable ya zaidi ya 57.54 (tcf) ya gesi asilia.

Tanzania tayari inatumia baadhi ya gesi ya uzalishaji wa nguvu na uendeshaji wa vinu vya viwanda. Pia ina mpango wa kujenga kiwanda cha mbolea.

Kalemani alisema ujenzi wa kiwanda cha mbolea chenye thamani ya dola za Marekani bilioni 1.9 utaanza mwaka 2021 na unatarajiwa kukamilika mwaka 2024.


Mradi huo ni ubia kati ya TPDC na Miradi ya Viwanda ya Ferrostaal ya Ujerumani, mtengenezaji wa kichocheo wa Denmark wa Haldor Topsoee na Kampuni ya Fauji Fertilizer Company.

(Taarifa na Fumbuka Ng'wanakilala na Nuzulack Dausen; Kuhaririwa na George Obyere na Emelia Sithole-Matarise)

Lovely @ ngwanakilala
 
kampuni gani ilihusika? kwani si process au ilisimika mitambo ikasepa? kampuni ndo naulizia
Unauliza swali la darasa la 3 B, hizo companies ulizozisoma zinafanya negotiations kuhusu LNG plant ndio zilifanya explorations so technically that's not a question.
 
Mazungumzo yatachukua miezi 7 na tarehe ya kuanza imeshatangazwa, kitu hiki kimewahi kusemwa kabla ya wakati wake
 
Back
Top Bottom