Tanzania kuilipa Indiana Resources Ltd Bilioni 237 baada ya kuvunja mkataba mwaka 2018. Yatanguliza Bilioni 92

Kuna mtu alikuwa bogus sana lakini kuna mazezeta eti ndiyo wanamsifia!
Wewe ndio mjinga tena haswa ji bora nusu hasara kuliko hasara kamili..
Sekta ya madini baada ya kufanyiwa marekebisho ya sheria mbalimbali sasa inaingizia nchi trillion sio cuini ya 3 kwa mwaka...bora kulipa hizo fidia maana sasa tunafaidika sana kuliko tulivyokuwa tunanyonywa huko nyuma..
 
Aliyesaini hii mikataba ni nani?
 

Tatizo la Tanzania ni tabia ya kusamehe samehe wezi. Walio ingia mkataba walijua kabisa sio mzuri lakini hawajali leo wapo tu wakati mabilioni yana liwa na kulipwa wakati watu hawana maji🤔
 
Ta
Hao wote ni ccm kwa hiyo solution ni ccm iondoke
Tizo sio CCM tatizo ni hao wezi.

Kaangalie CCM kwenye karatasi u uniambie.

Watu ndio wabaya.

Mimi naamini tukiisimamia CCM ipasavyo tunatoboa.

Sera za CCM ziliikomboa Afrika seuse hapa bongo tu???
 
Amini usiamini! Huo mzigo nusu wanalipwa vigogo wa hapa hapa Tz
Huo ndio ukweli, maana hiyo mikataba wameingia viongozi wetu. Cha ajabu Magufiluli alipora uchaguzi akaweka wabunge wote wa ccm lakini hawawezi kuhoji huu uhuni.
 
Kumbe maboga mpo wengi ngoja tuyachemshe tuyale.
 
G.P.A sio hoja.
 
Wanasheria wa serikali kesi wanazoshindaga ni zile za kukamatwa machangudoa na wafuasi wa chadema tu zaidi ya hapo huwa hawatoboi.
 
Ta

Tizo sio CCM tatizo ni hao wezi.

Kaangalie CCM kwenye karatasi u uniambie.

Watu ndio wabaya.

Mimi naamini tukiisimamia CCM ipasavyo tunatoboa.

Sera za CCM ziliikomboa Afrika seuse hapa bongo tu???
Bahati nzuri kwa sasa umeshakiri wanaccm ni wabaya, hatua kwa hatua tu kuna siku utakubali ccm ni janga la taifa.
 
Matokeo ya kutokufuata Sheria zilizopo na kutenda kwa mihemko, tocha hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…