๐—ง๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ท๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐˜‚๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐—ฟ๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ด๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐—ก๐˜†๐—ฎ๐˜†๐—ฎ ๐—”๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—ป๐—ถ

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
620
Reaction score
1,240
Tanzania kuja na usafiri wa magari ya kutumia Nyaya Angani



Hii sio stori Tena ni Mafanikio makubwa Tanzania inaenda kupata chini ya Rais mpendwa kwa sasa Dokta Samia Suluhu Hassan, Tanzania kuanzisha Usafiri wa Angani ambao utakua unatumia Nyaya.

Zaidi ya kampuni Tano za kigeni kutoka Misri, ufaransa, Uswizi pamoja na wawekezaji kutoka ndani ya Tanzania wameonyesha nia ya kutaka kuwekeza katika usafiri wa kutumia Nyaya angani.



Kwa ufupi tu Usafiri wa Cable ni usafiri wa kisasa ambao utumika kusafirisha abiria na bidhaa mbalimbali kupitia mfumo wa cable angani ambazo zimeunganishwa kwa waya ambao ujulikana kama Cable cars.



Usafiri huu unakua wa Angani ambapo watu wataweza kusafirishwa kutoka sehemu moja kwenda nyingine kupitia magari yenye Cable bila kushuka chini ni Anga kwa Anga.




Mkurugenzi wa idara ya uhusiano na Mawasiliano Latra Salum Pazzy ameimbia Citizen kampuni mbili kutoka Ufaransa na Misri tayari zimejitokeza zikisubiria Idhini ya kuwekeza kwenye sekta hiyo.
 

Attachments

  • 4_20250210_214742_0003.png
    1.1 MB · Views: 2
Nashauri wabunge watumie hizo ili kila siku tuwe na uchaguzi mdogo
 
Tumechelewa sana, ni moja ya njia nzuri ya kurahisisha usafiri. Wenzetu wapo na metro na options za usafiri kibao ambazo ni gharama nafuu.

Lakini sisi mpaka leo ni barabara tu.

Serikali ijitahidi kuwekeza kujenga barabara na kuimarisha miundombinu iliyopo.
 
Jack of many trades master of none
 
Huu ni ulimbukeni. Mwendokasi tu ni shida, shule hazina vyoo mpaka wachangie wageni
 
Ujinga ujinga tu wa viongoz wa nchi hii. Wanaelekea kukosa pesa za USAID wanataka kutafutiza miradi ya kuombea misaada na mikopo ili wachukue vyao mapemaa
 
Mhhhh
 
Kwa msaada wa watu wa Oman.
Kwa msaada wa watu wa UK
Kwa msaada wa watu wa US
VYoo tunajengewa
Shule tunajengewa
Misikiti Makanisa tunajengewa
Barabara tunajengewa
Kila kitu tunajengewa.
Na ndio maana mtanzania ukikataa kumsaidia anakuwekea chuki kwakuwa mfumo wetu wote ni tegemezi. Tunajengwa kujua msaada ni haki yetu.
 
Iwapo utajengwa na kuendeshwa kikamilifu na watu binafsi, kwa mtaji wao, bila serikali kuuingilia (isipokuwa kutoza kodi tu), basi ni jambo jema.

Isiwe kwa mtindo wa mwendokasi tukapata majanga bure!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ