Tanzania kujenga viwanja 6 vipya bora vya mpira kabla ya 2026

Tanzania kujenga viwanja 6 vipya bora vya mpira kabla ya 2026

Tanzania ipo kwenye mkakati wa kujenga viwanja vipya vya mpira kwenye mikoa sita vyenye uwezo wa kubeba watu zaidi ya 60,000.

Na inasemekana tayari kuna mazungumzo na kampuni moja ya kichana ya usanifu wa viwanja kwa ajili yamichoro ya ujenzi wa viwanja hivyo vya kisasa.

Mikoa hiyo ni Mwanza, Arusha, Dodoma, Mtwara, Mbeya na Unguja.

Hili limekuja baada ya Tanzania kuwa ni mwandaaji wa michuano ya afcon 2027.

View attachment 2876415
Mwanza CCM kirumba inatosha, ifanyiwe renovation, CCM wafidiwe, kirudi serikalini
 
Ndio vipa umbele vyetu? Nchi kama Egypt ina Mega project za kuifanya kuwa nchi yenye uchumi mkubwa Africa ndani ya miaka 2 au hata mmoja ijayo, sisi tuko busy na ujinga, Project za kuvutiwa waswahili wakaa vijiweni.

Nchi ina project za Kiswahili sana
Mkuu, kuna vingi vinaendelea kwenye nch yetu, hatuwezi sema tusijenge viwanja vya michezo,

Au wew ni wale wababa wakiwa wanajenga home wanasahau kuku?
 
Tanzania ipo kwenye mkakati wa kujenga viwanja vipya vya mpira kwenye mikoa sita vyenye uwezo wa kubeba watu zaidi ya 60,000.

Na inasemekana tayari kuna mazungumzo na kampuni moja ya kichana ya usanifu wa viwanja kwa ajili yamichoro ya ujenzi wa viwanja hivyo vya kisasa.

Mikoa hiyo ni Mwanza, Arusha, Dodoma, Mtwara, Mbeya na Unguja.

Hili limekuja baada ya Tanzania kuwa ni mwandaaji wa michuano ya afcon 2027.

View attachment 2876415

Hii taarifa ina kila dalili za kuwa ni chai...
 
Kipo katikati ya mji,
Na kile hakihitaji renovations, ni kukijenga upya, sasa gharama zote hizo za nn?
Amahoro cha Rwanda kimekarabatiwa na kufanyiwa maboresho makubwa sana.

Ila hata wakijenga upya ni sawa tu.
 
Tanzania ipo kwenye mkakati wa kujenga viwanja vipya vya mpira kwenye mikoa sita vyenye uwezo wa kubeba watu zaidi ya 60,000.

Na inasemekana tayari kuna mazungumzo na kampuni moja ya kichana ya usanifu wa viwanja kwa ajili yamichoro ya ujenzi wa viwanja hivyo vya kisasa.

Mikoa hiyo ni Mwanza, Arusha, Dodoma, Mtwara, Mbeya na Unguja.

Hili limekuja baada ya Tanzania kuwa ni mwandaaji wa michuano ya afcon 2027.

View attachment 2876415
Nchi inapitia magum sana
 
Tanzania ipo kwenye mkakati wa kujenga viwanja vipya vya mpira kwenye mikoa sita vyenye uwezo wa kubeba watu zaidi ya 60,000.

Na inasemekana tayari kuna mazungumzo na kampuni moja ya kichana ya usanifu wa viwanja kwa ajili yamichoro ya ujenzi wa viwanja hivyo vya kisasa.

Mikoa hiyo ni Mwanza, Arusha, Dodoma, Mtwara, Mbeya na Unguja.

Hili limekuja baada ya Tanzania kuwa ni mwandaaji wa michuano ya afcon 2027.

View attachment 2876415
Fifa waturuhusu tukodi wachezaji kutoka mataifa ya nje
 
Ndio vipa umbele vyetu? Nchi kama Egypt ina Mega project za kuifanya kuwa nchi yenye uchumi mkubwa Africa ndani ya miaka 2 au hata mmoja ijayo, sisi tuko busy na ujinga, Project za kuvutiwa waswahili wakaa vijiweni.

Nchi ina project za Kiswahili sana
Watu wenyewe sisi ni waswahili Sasa ulitaka tuwe wazungu mzee?
 
Tanzania ipo kwenye mkakati wa kujenga viwanja vipya vya mpira kwenye mikoa sita vyenye uwezo wa kubeba watu zaidi ya 60,000.

Na inasemekana tayari kuna mazungumzo na kampuni moja ya kichana ya usanifu wa viwanja kwa ajili yamichoro ya ujenzi wa viwanja hivyo vya kisasa.

Mikoa hiyo ni Mwanza, Arusha, Dodoma, Mtwara, Mbeya na Unguja.

Hili limekuja baada ya Tanzania kuwa ni mwandaaji wa michuano ya afcon 2027.

View attachment 2876415
Hii serikali ya CCM na ahadi zake ni ya kuamini kweli?

Hawa watu ni waongo na wazandiki wa mwisho. Hawafai na hawaeleweki!

Wameshindwa kutatua changamoto ya umeme ambao ndiyo muhimu kuliko hivyo viwanja miaka na miaka leo wanajiombeleza pesa toka kwa "mabeberu" Ili wajenge viwanja vya kuchezea??
 
Tanzania ipo kwenye mkakati wa kujenga viwanja vipya vya mpira kwenye mikoa sita vyenye uwezo wa kubeba watu zaidi ya 60,000.

Na inasemekana tayari kuna mazungumzo na kampuni moja ya kichana ya usanifu wa viwanja kwa ajili yamichoro ya ujenzi wa viwanja hivyo vya kisasa.

Mikoa hiyo ni Mwanza, Arusha, Dodoma, Mtwara, Mbeya na Unguja.

Hili limekuja baada ya Tanzania kuwa ni mwandaaji wa michuano ya afcon 2027.

View attachment 2876415
Taarifa za inasemekana usiwe unazileta Jukwaani maana zinakosa mantiki.

Weka evidence ya maelezo yako
 
Back
Top Bottom