Tanzania Kujeni Hapa... What are this? SGR update

Tanzania Kujeni Hapa... What are this? SGR update

Mojawapo wa sifa kubwa kwa Watanzania ni misifa hata kwa kitu hawana uwezo nacho, muda wote nilijua wataibuka na kituko kama hiki hivyo kwangu mimi sioni ajabu.
Moja wapo ya sifa za wakenya ni uwezo mdogo wa kufikiria, ndio sababu karibu miradi yote ama inafanyika hovyo hovyo, ama inaishia njiani baada ya kupoteza pesa nyingi za wananchi, mfano ni "Green field terminal iliyopoteza Kshs 4B, na Galana kulalu uliopoteza 10B.

Kitendo cha wakenya kufikiria kwamba hicho ni kichwa cha train kilichonunuliwa wa Serikali ya Tanzania ni ishara tosha ya uwezo mdogo wa wakenya na baadhi ya watanzania. Kamwe Kenya hamuwezi kujilinganisha na Tanzania katika kupanga na kutekeleza miradi yenye ubora. Hatuwezi kununua upuuzi kama huo, miezi 6 imebaki mtaona trains tutakazo nunua, " We are far ahead of you guys in Quality and modern technology.
 
Mojawapo wa sifa kubwa kwa Watanzania ni misifa hata kwa kitu hawana uwezo nacho, muda wote nilijua wataibuka na kituko kama hiki hivyo kwangu mimi sioni ajabu.
Aisee kwa hili bandiko na michango yenu, nimewadharau mara dufu[emoji22][emoji22][emoji22], ni dhahiri mko kwenye wakati mgumu mno.

Yaani ni kweli kabisa mna maanisha mlichokiandika wakenya[emoji848][emoji848]
 
Mojawapo wa sifa kubwa kwa Watanzania ni misifa hata kwa kitu hawana uwezo nacho, muda wote nilijua wataibuka na kituko kama hiki hivyo kwangu mimi sioni ajabu.
Mbona unatupa sifa yenu wakenya hahahaha
 
TRC mnatuchosha subirini kwanza tupo busy na Msiba wa Dr Mengi pia tuna Habari ya motomoto ya Bishop Gwajis hivyo haya makumbusho mnaleta tafadhali mtuache kwanza mambo ni mengi muda mchache kwakweli
 
Mbona unatupa sifa yenu wakenya hahahaha
Sisi hujisifu kwa kitu tulichonacho, uwezo tulionawo, kwa kifupi ni kama baunsa avae fulana inayombana atembee huku amevimba, ni wazi anajisifu lakini ukiangalia unaona pia ana hizo sababu za kujisifu.
Nyie hamnazo, maskini wa kutupwa lakini mnajitutumua kujisifu eti bullet train, subiri zije utaona mtakavyong'aka humu.
 
Aisee kwa hili bandiko na michango yenu, nimewadharau mara dufu[emoji22][emoji22][emoji22], ni dhahiri mko kwenye wakati mgumu mno.

Yaani ni kweli kabisa mna maanisha mlichokiandika wakenya[emoji848][emoji848]

Hehehe na bado hujatokwa na lote, bullet mnayoita bureti train made in Bongo, yaani nyie full kituko, binafsi sitashangaa maana nawafahamu sana Wabongo mlivyo.
Mbongo atakuaminisha kwamba Tanzania ina submarine na usipokua makini unaingia mkenge, yaani kwa umaskini wenu huo bureti train.
 
Hehehe na bado hujatokwa na lote, bullet mnayoita bureti train made in Bongo, yaani nyie full kituko, binafsi sitashangaa maana nawafahamu sana Wabongo mlivyo.
Mbongo atakuaminisha kwamba Tanzania ina submarine na usipokua makini unaingia mkenge, yaani kwa umaskini wenu huo bureti train.
Aisee. Haya wacha nikuache ukijipanga na maumivu hapo july. Sio mbali.

Nitakuwa hapa kukufuta mchozi ya uchungu.
 
Sisi hujisifu kwa kitu tulichonacho, uwezo tulionawo, kwa kifupi ni kama baunsa avae fulana inayombana atembee huku amevimba, ni wazi anajisifu lakini ukiangalia unaona pia ana hizo sababu za kujisifu.
Nyie hamnazo, maskini wa kutupwa lakini mnajitutumua kujisifu eti bullet train, subiri zije utaona mtakavyong'aka humu.
Weka akiba ya maneno mzee, utaambia nini watu???
 
Huwezi kununua locomotives kabla reli haijakamilika, huwezi kuhifadhi locomotives za SGR katika MGR, kwasasa Tanzania hatuna SGR, tukinunua na kuleta locomotives kwa sasa yatakaa wapi?, tumieni akili japo kidogo.
 
Jamaa ulivyofurahi unatamani zifanane na zenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] NEVER subiri KITU KAMA CHA ETHIOPIA AND EVEN MORE
Bullet train ya kibongo inafanana na zilr steam engine za kitambo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Aisee kwa hili bandiko na michango yenu, nimewadharau mara dufu[emoji22][emoji22][emoji22], ni dhahiri mko kwenye wakati mgumu mno.

Yaani ni kweli kabisa mna maanisha mlichokiandika wakenya[emoji848][emoji848]
Usiwe na chuki, Wakenya wanatania tu. Tunalipiza kisasi, akina Geuza walitukana yetu sana.
 
Jamaa ulivyofurahi unatamani zifanane na zenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] NEVER subiri KITU KAMA CHA ETHIOPIA AND EVEN MORE
Nilifikiri mtakuwa na vichwa poa kuliko zetu kumbe nyinyi ni bure kabisa, afu mnadanganywa kuwa ni ya testing😂😂😂
 
Back
Top Bottom