Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Sahihisha kichwa cha habari wewe mzungu koko. What are this. Ndio nini hiyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuja Kenya kufanya utafiti wa maisha ya kibera nikagundua mambo mengi .nikajua kwanini wakenya wakiamka sura zimekunjana na wanahasira sana kumbe yote ni maisha ya slumMbona unaongea kama mtu aliyeishi Kibera na kisha kuzurura hapo Uhuru park?
Nimecheka hadi kufa uzi huu ulikuwa kila saa page mbili, baada ya hii picha ya kutest jinsi kinavyolala naona watanzania wenzangu wote wameingia mitini, jamani hii ni test pia , hawa wakenya mbona mmewaachia ukumbi hawana kitu we ar on lait trakiView attachment 1092232Huyu atatekwa tu!
Nawewe ni kajinga sana, bora walioondoka wakakuacha mwenyewe.Nimecheka hadi kufa uzi huu ulikuwa kila saa page mbili, baada ya hii picha ya kutest jinsi kinavyolala naona watanzania wenzangu wote wameingia mitini, jamani hii ni test pia , hawa wakenya mbona mmewaachia ukumbi hawana kitu we ar on lait traki
Nawewe ni kajinga sana, bora walioondoka wakakuacha mwenyewe.
Hicho kichwa mabehewa yake yako wapi, au ni kama bus!??
Endelea kucheka, muda wa kulia ukiwadia tena ulie sana.Kiamsheni kumekucha, au hulala hadi saa ngapi...jameni mbavu zangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mtungi wa GogoView attachment 1092232Huyu atatekwa tu!
Sahihisha kichwa cha habari wewe mzungu koko. What are this. Ndio nini hiyo?
Busaa container kashanguka tayari.
Burret tireini.View attachment 1092232Huyu atatekwa tu!
๐๐๐๐imechoka ikalala...
View attachment 1092293
Wakenya mnakwama wapi kwani, si wameshasema ni cha mjenzi na sio mali ya TRCView attachment 1091861
tumekwama apa mkuu
Huwa kinavuta vitu vyao vya ujenzi kikiwa kimelala hivyo?Nyie jamaa bwana hicho ni cha Yapi Merkez kwa ajili ya kuvuta vitu vyao wakati ujenzi unaendelea.Sio kwa ajili ya kubeba mizigo au abiria watani bwana mnamaneno.