Tanzania Kujeni Hapa... What are this? SGR update

Nilifikiri mtakuwa na vichwa poa kuliko zetu kumbe nyinyi ni bure kabisa, afu mnadanganywa kuwa ni ya testing[emoji23][emoji23][emoji23]
Mwaswat akili zako ni nzito kama huyo jamaa kwenye avatar yako.
 
Wanajua sema tu ni wanapenda kubishana, wanaonaga just because haiwezekani kule kwao basi wanazani na huku pia haiwezekani
Huwezi kununua locomotives kabla reli haijakamilika, huwezi kuhifadhi locomotives za SGR katika MGR, kwasasa Tanzania hatuna SGR, tukinunua na kuleta locomotives kwa sasa yatakaa wapi?, tumieni akili japo kidogo.
 
To be honest sijawahi kuona mtu mwenye natural personal hate na nchi ya Tanzania kama raia wa Kenya. Wao always wapo negative kwa kila hatua ya kimaendeleo inayopigwa na Tanzania. Vichwa vikubwa kumbe ndani hamna kitu. Misaada yenye masharti na rushwa iliyo kithiri vitawachanganya vichwa zaidi. Fikirieni mtakuza vipi uchumi. Shirika la ndege au kuuza maua hakuwezi kusaidia uchumi wenu kukua. TANZANIA imejipanga kiume na rasilimali zimewekewa mikakati ili kukuza uchumi wa nchi. Kaeni mna piga kelele nchi wanakula akina Kenyatta na washirika wao. Ninyi mtafikia stage mnatiana vigunzi vya Matako wenyewe. Hela mmekopshwa kujenga reli ni ndefu na reli ambayo haina tija baadaye zaidi ya kusafirisha wakamba up and down. Mtaisoma namba. Nawapeni 5yrs mtakimbia forums zote. Karibuni mje muone TZ sio kupumbaa na majengo aliwaachia mkoloni.
 
Aisee. Haya wacha nikuache ukijipanga na maumivu hapo july. Sio mbali.

Nitakuwa hapa kukufuta mchozi ya uchungu.

Ahaaa haaa haaa
Bro muache huyo jamaa mk254 ndo ana pata afueni tangu apigwe na MChina kwa MAPARACHICHI.
 
Mojawapo wa sifa kubwa kwa Watanzania ni misifa hata kwa kitu hawana uwezo nacho, muda wote nilijua wataibuka na kituko kama hiki hivyo kwangu mimi sioni ajabu.
Ficha upumbavu wako hii Mada utaikimbia yani hata wewe umekurupuka!!
 
Waaah. Ni kama zile honeysuckers za Githurai. I die
 
Mojawapo wa sifa kubwa kwa Watanzania ni misifa hata kwa kitu hawana uwezo nacho, muda wote nilijua wataibuka na kituko kama hiki hivyo kwangu mimi sioni ajabu.
Usilie sasa ,jikaze tu huu ni mwanzo tu bado hatujaanza
 
Monkey wai Uhuru park ukavute hewa safi upate akili hewa ya kibera nisumu ya maviii mkenya awezi kuwa na akili timamu hadi aka refresh hewa chafu aliyo vuta usiku kucha hapo kibera
Mbona unaongea kama mtu aliyeishi Kibera na kisha kuzurura hapo Uhuru park?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…