Tanzania kuleta faru kutoka Afrika Kusini baada ya kutokomea kwa ujangili

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Katika jitihada za kuvutia watalii, hifadhi ya Mikumi ina mpango wa kurejesha faru ambao walotokomezwa na ujangili miaka ya 1980 na 90.

Faru ambao wako kwenye kundi la wanyama watano wakubwa zaidi wanakosekana Mikumi. Faru wawili wa mwisho walionekana mikumi zaidi ya miaka 30 iliyopita upoteaji wake ukichagizwa na ujangili.

Hii sio mara ya kwanza, mwaka 2010, faru walipelekwa mbuga ya Serengeti kutoka Afrika Kusini na mwaka 2019 faru tisa walipelekwa tena Serengeti kutoka Afrika Kusini.

 
Wao wakiwachukua twiga wetu tunapiga kelele lakini sisi tunaona ni haki yetu kuchukua faru wao.
 
Makamu mwenyekiti wa CCM ndio tishio kubwa kwa Tembo, vifaru,Twiga, Simba na wanyama wengine. Karibuni kuthibiti Huyo Kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…