Waarusha,ni sub tribe ya Maasai ambapo kihistoria kabila lao lilitokana na wamasai walioasi mila na desturi za kimasai kwa kufanya baadhi ya mambo ambayo sio mafundisho wala mapokeo ya kimasai,na neno 'waarusa'kwa kimasai ni waliokengeuka kwa tafsri rahisi,...moja ya makengeuko ya enzi hizo ni kuooana na wanawake wa kibantu,......wanaishi pembezoni mwa jiji la Arusha ni viunga vyake..koo maarufu ni Laizer,mollel,na lukumay..
N:B..wana tabia za wivu,husda,ubinafi,kupenda kesi na kujiona wajanja pindi ukiingia kwenye kona zao.