peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Nimepita pita baadhi ya mikoa ikiwemo Dar, Dodoma, Manyara kwenye Hospital nyingi mitingi ya oxygen ni mingi sana.
Jamani kuna corona chukueni Tahadhali ya haraka sana.
Jamani kuna corona chukueni Tahadhali ya haraka sana.