Mzimu wa Kolelo
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 2,790
- 8,330
Leta ushaidi kuwa alikufa kwa CORONACorona ilishindwa? Pamoja na kuua Rais wako wewe unaona ilishindwa?
Kweli ujinga ni mzigo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leta ushaidi kuwa alikufa kwa CORONACorona ilishindwa? Pamoja na kuua Rais wako wewe unaona ilishindwa?
Kweli ujinga ni mzigo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unataka kuaminisha mtu wenu kaondoka na kisichoonekana? Mbona alichanja tena hadharani wananchi tukioneshwa? hilo wimbi lako ni la ngapi? Maana mawimbi yanatakiwa yawe kuanzia 1-12 na jina la wimbi linaitwaje? Je, mitungi ya gesi ya kusaidia kupumua ndio kiashiria chako cha kuwepo kwa wimbi la kisichoonekana? Unataka mwenye kiti cha enzi afanye 'Lock down'?Nimepita pita baadhi ya mikoa ikiwemo Dar, Dodoma, Manyara kwenye Hospital nyingi mitingi ya oxygen ni mingi sana.
Jamani kuna corona chukueni Tahadhali ya haraka sana.
Na upo hai !.sasa nini tena.Hiyo ngoma ilipiga December na January kimyakimya hata mimi haikiniacha
Mtanzania mpaka afe yeye au ndugu yake wa karibu ndiyo atasema ni pigo. Huu ni ubinafsi mkubwa sana. Korona iliua watanzania wengi sana mpaka rais wa nchi na mawaziri halafu mtu anakoroma kama chungu eti ilishindwa! Labda alitaka nchi nzima ife.Corona ilishindwa? Pamoja na kuua Rais wako wewe unaona ilishindwa?
Kweli ujinga ni mzigo🤣🤣🤣
#covid19 is the most deadliest disease, watu walichanjwa lakini bado haohao waliochanjwa ndio wanaokufa
Kabisa kwani nimekuwa nasikia kifua kubana kwa wiki moja sasa nahisi kuna upepo mmbaya unapita. Tuwe waangalifu.Nimepita pita baadhi ya mikoa ikiwemo Dar, Dodoma, Manyara kwenye Hospital nyingi mitingi ya oxygen ni mingi sana.
Jamani kuna corona chukueni Tahadhali ya haraka sana.
Kweli wajinga nchi hii wengi mno! Nilishangaa jinsi Magufuli alivyokuwa anawadanganya watu kuhusu korona, watu ni wajinga mno!Mtanzania mpaka afe yeye au ndugu yake wa karibu ndiyo atasema ni pigo. Huu ni ubinafsi mkubwa sana. Korona iliua watanzania wengi sana mpaka rais wa nchi na mawaziri halafu mtu anakoroma kama chungu eti ilishindwa! Labda alitaka nchi nzima ife.
Nimepita pita baadhi ya mikoa ikiwemo Dar, Dodoma, Manyara kwenye Hospital nyingi mitingi ya oxygen ni mingi sana.
Jamani kuna corona chukueni Tahadhali ya haraka sana.
Niliona watu wanavaa mask kimyakimya kumbe mambo yameyumbaNimepita pita baadhi ya mikoa ikiwemo Dar, Dodoma, Manyara kwenye Hospital nyingi mitingi ya oxygen ni mingi sana.
Jamani kuna corona chukueni Tahadhali ya haraka sana.
Napambana na upepo huu kifua kinabana nahisi ni kirus kipya ila naamini ni manageable ila lazima tu kila mtu ataambukizwa walio dhaifu kiafya wataenguliwa ila wenye kinga nzuri wataendelea.Ukirejea toka mihangaiko yako oga maji ya moto/uvuguvu na hasa km kunahali ya mvua. ..hawa wadudu wnatembea km upepo kukiwa nahali hio. ..nawa mikono mara kwa mara in short whenever unapoenda public places kua makini.
Jilock down mkuu.. maana kuna watu mnapendaga ujinga sana..Nimepita pita baadhi ya mikoa ikiwemo Dar, Dodoma, Manyara kwenye Hospital nyingi mitingi ya oxygen ni mingi sana.
Jamani kuna corona chukueni Tahadhali ya haraka sana.
Ni kweli. Pitia bugando na muhimbili ndio utaujua ukweli. Mitungi na sanitizer kila kona.Nimepita pita baadhi ya mikoa ikiwemo Dar, Dodoma, Manyara kwenye Hospital nyingi mitingi ya oxygen ni mingi sana.
Jamani kuna corona chukueni Tahadhali ya haraka sana.