Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Hii Corona ya sasa ni kali zaidi ama?
Sielewi
Sielewi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawajielewei.Mtanzania mpaka afe yeye au ndugu yake wa karibu ndiyo atasema ni pigo. Huu ni ubinafsi mkubwa sana. Korona iliua watanzania wengi sana mpaka rais wa nchi na mawaziri halafu mtu anakoroma kama chungu eti ilishindwa! Labda alitaka nchi nzima ife.
Tunamsubiria Dada Ummy atoe tamkoNimepita pita baadhi ya mikoa ikiwemo Dar, Dodoma, Manyara kwenye Hospital nyingi mitingi ya oxygen ni mingi sana.
Jamani kuna corona chukueni Tahadhali ya haraka sana.