Ambition plus JF-Expert Member Joined Feb 23, 2018 Posts 6,101 Reaction score 11,381 May 14, 2023 #41 Hii Corona ya sasa ni kali zaidi ama? Sielewi
Jack Palladino JF-Expert Member Joined Feb 24, 2018 Posts 7,231 Reaction score 22,494 May 14, 2023 #42
Yoda JF-Expert Member Joined Jul 22, 2018 Posts 48,475 Reaction score 70,102 May 14, 2023 #43 macho_mdiliko said: Mtanzania mpaka afe yeye au ndugu yake wa karibu ndiyo atasema ni pigo. Huu ni ubinafsi mkubwa sana. Korona iliua watanzania wengi sana mpaka rais wa nchi na mawaziri halafu mtu anakoroma kama chungu eti ilishindwa! Labda alitaka nchi nzima ife. Click to expand... Hawajielewei.
macho_mdiliko said: Mtanzania mpaka afe yeye au ndugu yake wa karibu ndiyo atasema ni pigo. Huu ni ubinafsi mkubwa sana. Korona iliua watanzania wengi sana mpaka rais wa nchi na mawaziri halafu mtu anakoroma kama chungu eti ilishindwa! Labda alitaka nchi nzima ife. Click to expand... Hawajielewei.
Mapank JF-Expert Member Joined Mar 8, 2011 Posts 4,130 Reaction score 6,097 May 14, 2023 #44 peno hasegawa said: Nimepita pita baadhi ya mikoa ikiwemo Dar, Dodoma, Manyara kwenye Hospital nyingi mitingi ya oxygen ni mingi sana. Jamani kuna corona chukueni Tahadhali ya haraka sana. Click to expand... Tunamsubiria Dada Ummy atoe tamko
peno hasegawa said: Nimepita pita baadhi ya mikoa ikiwemo Dar, Dodoma, Manyara kwenye Hospital nyingi mitingi ya oxygen ni mingi sana. Jamani kuna corona chukueni Tahadhali ya haraka sana. Click to expand... Tunamsubiria Dada Ummy atoe tamko