Tanzania kuna uhaba mkubwa sana wa Competent Computer Scientist

Nimefuatilia michango mingi sana, nachokiona watu wengi wana mu attack mtoa uzi. Tukubaliane kwamba hatufanani katika mitazamo ya kila kitu kwa 100%.
Mimi naamini;
Watanzania wengi bado hatujaweza ku excel ktk sekta nyingi kama sio zote.
Hakuna watu competent to the level waweze ku compete na Nigerians,SA,Egypt,Kenya hapo siongelei nje ya Africa.
Ili kuweza kuthibitisha kwamba Mtanzania ni mahiri kazima aonyeshe kitu alichofanya ktk ngazi ya kitaifa na kimataifa na ni cha mfano kwa watu wote.
Nyie watu wa IT mmejitahidi sana mmeunda App,Website,Blog, Database(ARIS) nk.
Project kubwa nyingi kama Ubber,Tiktok,Facebook, Zoom,Tweeter , github,quora hazijawahi kuanzia TZ bali hukopiwa/implemented na watanzania tu.
Leo tuna crpto currency, Digital school, AI nk vyote vimeanzia Ulaya,USA na Asia.
Unawezaje kunishawishi kuna watanzania ni mahiri huku hawana innovation kubwa iliotokisa dunia hata moja.
Wazungu leo wakifungia Software zao kum#@mae tutatafutana kwa tochi. Acheni kukuza uongo kuwa kweli.
Kama mnazungumzia umahiri wa kuunda tumifumo ambato tuliisha undwa(copy paste) sawa ila new innovation huo umahiri hamna na bado sana.
 
Wakenya, wa SA, wa Nigeria uliowataja mbona hawajafanya kitu kilichosambaa dunia nzima, kama hiyo mitandao na apps ulizo zitaja.
 
Reactions: Cyb
Wakenya, wa SA, wa Nigeria uliowataja mbona hawajafanya kitu kilichosambaa dunia nzima, kama hiyo mitandao na apps ulizo zitaja.
M-pesa imevumbuliwa kenya imesambaa Africa na Asia unataka nini kungine. Do y ou think M-pesa is a small innivation?
 
Wakati mwingine professional certifications ni suala la uchumi wa mtu.

Kuna wengi wanakwama kwenye pesa.

Na kutokuwa serious pia inachangia. Unakuta kijana kamaliza CS degree badala ya kupambana apate certification kadhaa yeye anapambana kununua Subaru ya kuwanasia mademu.
 
Na kutokuwa serious pia inachangia. Unakuta kijana kamaliza CS degree badala ya kupambana apate certification kadhaa yeye anapambana kununua Subaru ya kuwanasia mademu.
Certification hazimaanishi chochote (atleast in some fields) project ndio zinazo matter. Sijawahi kuona tutorial yoyote ya udemy au freecodecamp ikifika mwishoni inasema "make sure you get a certification from google after finishing this android dev course" (kwa vitu nilivyosoma). kwa maoni yangu sio kila kitu kwenye tech kinahitaji certification kuna ambavyo kuwa na certification inafaa zaidi kama networking lakini sidhani kama ni lazima. Lakini vitu kama webdev ambavyo vinaonekana sidhani kama certification ni muhimu.
 
Wewe umeona mbali.
Umeona jinsi mtu anavyoweza kupata ujuzi wa kumwezesha kujiajiri pia.
Watu wa certification wameangalia upande mmoja tu wa kuajiriwa. Which is not bad but that does not mean they are highly skilled and most competent.

Kwa wabongo wengi certification wanaitumia kama endorsement na siyo njia ya kuwa competent kwenye field husika.
I had to help some friends tena kwa kunilipa pesa kwenye vitu walivyokuwa certified wakaajiriwa na mimi sikuwa certified kwa hivyo vitu. Who was competent then? Though nami nilikuwa nimeajiriwa sehemu nyingine.

But in retrospective or let say hindsight I would advice young fellas to get as many certifications as they can. Because it's the tangible proof you are a professional on that field. A professional but not necessarily a most competent person in the field. Una washawishi kirahisi wakuite kwenye interviews kirahisi kuliko kuwaeleza kwa maneno(maandishi) yako tu kwenye CV kwamba upo vizuri. First impression matters ...
 
Kweli kabisa mkuu, Kwasababu ndio game yao inabidi tuicheze ivyo ivyo. Lakini mimi muda wa kutafuta izo certification bora nijifue.
 
M-pesa imevumbuliwa kenya imesambaa Africa na Asia unataka nini kungine. Do y ou think M-pesa is a small innivation?
M-pesa imeanza kutumika kenya lakini sidhani kama imetengenezwa kenya wala na wakenya(sina uhakika), lakini quick google search inaonyesha founder wake ni Nick Hughes. Na Safaricom na Vodacom wanalipa licensing fee kwa vodafone.
 
Elimu ya Tanzania ni general,plus njaa ili uweze kuwa bingwa wa software kwenye eneo flani lazima utumie mda mwingi sana kupambana
Sasa kula kwa shida uwezi kukaa na computer masaa wala 16 kwa siku njaa lazima ikukomeshe

Wengi tumemaliza hiyo kozi ila uwezi kuangaika na code wakati tumetengeneza software kibao kama stock management kila nikipita maduka makubwa hawana mpango wa kutumia hii ndio Tz technology kulipa bado kidogo
Waliopo wanakula shavu tu kama system support walioajiliwa

Kutoboa na kuwa bigwa wa software na njaa ni ngumu mno nawajua watu tulio soma nao kwa sasa wana fanya kazi tofauti na kile walichosomea
 
M-pesa imevumbuliwa kenya imesambaa Africa na Asia unataka nini kungine. Do y ou think M-pesa is a small innivation?
M pesa imevumbuliwa kenya??, system ya lipa kwa control number i etengenezwa na watanzania je ni small innivation?
Tunajadili umahiri wa TZ, prove their competency!
Haujui unacho kiongea, NALA imetegenezwa na wajerumani??
 
Reactions: Cyb
Farmacy tena..[emoji23][emoji23][emoji23]
 
The way ambavyo mfumo wa dunia umekuwa designed hauruhusu muafrika aje na new innovation na hata ikitokea amepambana Sana watatafuta njia ya kumbana tuu..

Ndo maana wahindi wengi wakitaka kutoboa kwenye tech industry wanalimbilia Silicone Valley Mmarekani.. hapa afrika ni sehemu inatumika kuvuna data tuu huu Ndio ukweli mchungu.

Hakuna tofauti na Zama za ukoloni..

Elon Musk angebaki Afrika asingetoboa kabisa
 
Serikali iwasaidie vijana wapate passport angalau wakapate exposure nje ya Bongo. Naona wanatishika na majina ya nchi na level za uchumi wanajidharau hata kwa level ambazo wana watu competent. Utumwa huu sijui utawatoka lini maskini!

Walianza zamani kidogo kuwananga madktari wetu, kisa tu kuna watu walichanganya upasuaji wa kichwa na miguu. Madaktari wa Bongo wakawa wote automagically vilaza na empty headed. Japo mpaka leo wanaenda kutibiwa kwao!

Sasa naona ni maIT wa Bongo.
Hii nchi kazi kweli kweli!
 
Elon musk angepewa sapoti angetoboa shida ni urasimu na umangi meza wa waafrika.
China haikuwa na tech kama Afrika ila wamefanikiwa kwa jitihada zao pamoja na kupigwa vita na west.
Hatuna viongozi wenye maono hayo, wanajali zaidi vitu vidogo vidogo mambo makubwa wamewaachia wazungu.
Wahindi nao wanamfumo wa hovyo kama Africa japo angalau wao.
India ina maono kiliko Afrika mfano sasa hivi wanawekeza kwenye chip technology waweze kujitegemea.
Wana teknolojia za kijeshi kwa kiasi fulani wanajitegemea kuliko sisi.
Wanakampuni kama TATA inafanya vizuri na sasa inawekeza ktk magari ya umeme AI nk.
India wakiachana na caste system itatoboa.
Waafrika tusipende kusingizia wazungu, wachawi ni sisi wenyewe.
Imagine mtu kama msukuma anakuwa mbunge ktk globalization world unatarajia nini !
Wakorea wameweza kuwekeza teknolojia za kijeshi pamoja na vitisho vya wazungu, sisi tunakwama wapi?
Sababu kubwa sisi waafrika hatujajitambua, tukijitambua hakuna wa kutuzuia, hata weza.
Wake up Africa!
 
Acah hzo mm Nina jamaa namfahamu Happ alisoma C's lkn mpk sas Ni mwalimu wa physicas na hesabu ndio inamuweka mjini Happ C's kakoza kazi kbsa ilibid apige. Post graduate ya education ndio akapata kibarua Cha hesabu na physics
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…